Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”

Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale, na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki. Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga, wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

Je, Biblia ndiye Bwana, au ni Mungu? | “Bwana Wangu Ni Nani” ( Filamu za Injili )

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.”

Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu | Drama ya Muziki “ Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19” | Haleluya

Mungu ametutunza daima–Yeye amesikiliza maombi yetu! Anajua tumekuwa tukitamani kurejea Kwake! Sasa kwa hakika Amerejea! Tunasubiri nini bado? Tafadhali endelea kutazama drama yenye muziki ya Kanisa la Mwenyezi Mungu—Kila Taifa Humwabudu Mungu wa Vitendo!

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Wakristo wanaoteswa katika filamu hii ni watu kutoka kwa vikundi vya kidini na madhehebu tofauti ambao walitafuta ukweli, na ambao waliisikia sauti ya Mungu na hivyo wakarudi kwa Mwenyezi Mungu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Umeme-wa-Mashariki. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Umeme-wa-Mashariki. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 3 Februari 2019

Wale tu Walio Watulivu Mbele ya Mungu Ndio Wanaolenga Maisha

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli,

Wale tu Walio Watulivu Mbele ya Mungu Ndio Wanaolenga Maisha

I
Wale ambao wanaweza kuwa na utulivu kweli mbele ya Mungu
ni wale ambao wanaweza kuwa huru kutokana na mahusiano ya kidunia,
na wanaweza kumruhusu Mungu akae ndani mwao.

Jumamosi, 2 Februari 2019

Hakuna Ayejali Kumwelewa Mungu kwa Utendaji

I
Mungu akikasirika, Anamkabili mwanadamu
asiyemsikiliza kwa makini Yeye,
ambaye anamfuata, anayedai kumpenda,
bado hupuuza Anachohisi.

Ijumaa, 1 Februari 2019

Viumbe wa Mungu Wanapaswa Kutii Mamlaka Yake

I
Mungu ni moto unaoangamiza ambaye hawezi kustahimili kosa.
Mwanadamu hana haki ya kuingilia kati au kukosoa
kazi na maneno Yake,
lazima ayatii, kwa sababu mwanadamu aliumbwa na Yeye.

Alhamisi, 31 Januari 2019

Umeme wa Mashariki | Unapaswa Kuyaacha Yote Kwa Ajili Ya Ukweli

Umeme wa Mashariki | Unapaswa Kuyaacha Yote Kwa Ajili Ya Ukweli

I
Lazima upitie mateso katika njia yako kuelekea kwenye ukweli.
Lazima ujitolee mwenyewe kabisa.
Uvumilie aibu, ukubali mateso zaidi.
Kufanya hivi ili kupata ukweli zaidi.

Jumanne, 29 Januari 2019

Kutenda Ukweli Kunahitaji Gharama ya Kweli

I
Taabu zinapokuja, anza kuomba:
"Ee Mungu! Ningependa kukuridhisha Wewe,
kustahimili taabu ili kuufurahisha moyo Wako,
bila kujali ukubwa wa taabu ninazokabili.

Jumatatu, 28 Januari 2019

Mungu Anatengeneza Kesho Nzuri Zaidi kwa Binadamu

Juu ya hao wakulima wa Kanaani ambao wanakaribisha kurejea kwa Mungu,
Anatoa matunda Yake mazuri na anatamani tu mbingu
na mwanadamu kuishi milele, na mwanadamu kuishi milele.

Jumamosi, 26 Januari 2019

Jinsi Mwanadamu Anavyopaswa Kutembea Katika Njia ya Mungu

I
Kutembea katika njia ya Mungu hakuhusu kufuata sheria.
Kunahusu kuona vitu vyote kama vilivyopangwa na Mungu,
jukumu lililowekwa kwako,
kitu kilichoaminiwa kwako, majaribu yaliyotolewa na Yeye.
Kutembea katika njia ya Mungu. Mwenye hadhari kutomkasirisha Mungu Mwenyewe kamwe.

Alhamisi, 24 Januari 2019

Washindi Ni Wale Wanaotoa Ushahidi Mkubwa kwa Mungu

I
Imani kwa Mungu inahitaji utiifu,
uzoefu wa kazi ya Mungu.
Ametenda mengi sana;
kazi Yake yote ni kukamilisha, usafishaji, kuadibu,
sio kile ambacho mwanadamu anatarajia.

Jumatano, 23 Januari 2019

Tafuta Kumpenda Mungu Bila Kujali Mateso Yako Ni Makubwa Vipi

I
Lazima uelewe ilivyo ya thamani kazi ya Mungu leo.
Watu walio wengi hawana ufahamu huo,
wakifikiria mateso hayana thamani:
Wanateswa kwa ajili ya imani yao,
wamekataliwa na dunia, nyumba zao pia zina shida,
siku zao za usoni hazina matumaini, hazina matumaini.

Jumanne, 22 Januari 2019

Binadamu wa Asili Walikuwa Viumbe Wanaoishi Walio na Roho

I
Hapo mwanzo Mungu aliumba binadamu.
Yaani, Aliumba baba wa binadamu Adamu,
aliyegusika na kuumbwa kikamilifu, aliyejaa uzima.
Adamu aliamka na utukufu wa Mungu ukimzunguka.
Kisha Mungu akamuumba mwanamke wa kwanza—Hawa.

Jumatatu, 21 Januari 2019

Nyimbo za dini | Muige Bwana Yesu

Nyimbo za diniMuige Bwana Yesu

I
Yesu alikamilisha misheni ya Mungu,
kazi ya ukombozi ya kila mwanadamu
kwa kutoa kujali Kwake kwa mapenzi ya Mungu,
bila madhumuni au mipango ya ubinafsi.
Katikati Aliweka mpango wa Mungu.

Jumamosi, 19 Januari 2019

Nyimbo za injili | Athari ya Maombi ya Kweli

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maombi,

Nyimbo za injili | Athari ya Maombi ya Kweli

I

Tembea katika uaminifu,
na kuomba kwamba utaondoa udanganyifu mkubwa ndani ya moyo wako.
Omba, kujitakasa mwenyewe; omba, uguswe na Mungu.
Kisha tabia yako itabadilishwa.

Ijumaa, 18 Januari 2019

Ni Wale Wanaokubali Ukweli Tu Ndio Wanaweza Kuisikia Sauti ya Mungu

I
Palipo na kuonekana kwa Mungu,
kuna maonyesho ya ukweli na sauti ya Mungu.
Ni wale tu wanaokubali ukweli
ndio wanaweza kusikia sauti ya Mungu na kushuhudia kuonekana Kwake.

Ifuate Kazi Mpya ya Roho Mtakatifu na Kupata Sifa ya Mungu

I
Lo … lo … lo …
Kuifuata kazi ya Roho Mtakatifu kunamaanisha mtu huelewa mapenzi ya Mungu ya leo,
hufanya kulingana na matakwa ya Mungu, humfuata Mungu wa leo,
hutii mahitaji Yake ya sasa na huingia kwa maneno Yake mapya zaidi.

Alhamisi, 17 Januari 2019

Ni kwa Kumcha Mungu tu Ndiyo Uovu Unaweza Kuepwa

Tabia ya Mungu ni adhimu na ya ghadhabu.
Yeye si mwanakondoo achinjwe na yeyote.
Yeye si karagosi, linalochezewa na yeyote anavyopenda.
Wala Yeye si hewa, inayoamriwa na watu pote.

Jumatano, 16 Januari 2019

Nyimbo za dini | Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee

Nyimbo za dini | Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee

I
Mungu huonyesha tabia Yake ya haki kupitia mbinu na kanuni za pekee,
haidhibitiwi na watu, matukio au vitu.
Na hakuna awezaye kubadili fikira au mawazo Yake,
au kumhimiza Atumie namna nyingine.

Jumanne, 15 Januari 2019

Nyimbo za dini | Mungu Anatarajia Kupata Imani ya Kweli Ya Mwanadamu na Upendo Kwake

Nyimbo za dini | Mungu Anatarajia Kupata Imani ya Kweli Ya Mwanadamu na Upendo KwakeI

Mungu anatarajia unapoelewa,
unapoelewa upande Wake wa kweli,
utamkaribia Yeye hata zaidi;
utathamini kwa kweli upendo Wake
na kujali Kwake kwa binadamu;
utatoa moyo wako Kwake,
bila kuwa na shaka tena,
bila kuwa na tuhuma kumhusu.

Jumatatu, 14 Januari 2019

Maneno ya Mungu ni Njia Ambayo Mwanadamu Anapaswa Kufuata

I
Katika kila enzi, Mungu anapofanya kazi Yake duniani,
kila mara Yeye hutoa maneno juu ya wanadamu, Huwaambia ukweli fulani.
Ukweli huu hutumika kama njia ambayo mwanadamu anapaswa kuzingatia,
njia ambayo mwanadamu anapaswa kufuata
Ni njia inayomwelekeza mwanadamu kumcha Mungu na kuepuka maovu,
na kitu katika maisha yao, na katika safari ya maisha
ambayo wanapaswa kutenda, wanapaswa kuzingatia.

Jumapili, 13 Januari 2019

Umeme wa Mashariki | Njia ya Kujua Mamlaka ya Mungu

Umeme wa Mashariki | Njia ya Kujua Mamlaka ya Mungu

I
Ujuzi wako wa mamlaka ya Mungu,
nguvu Zake, utambulisho na kiini
haviwezi kufanikishwa au kupatikana
kutokana na mawazo yako.

Ijumaa, 11 Januari 2019

Matamshi ya Kristo | Kuwa Mtu Anayekubali Ukweli

I
Eh~ Chagua njia yako mwenyewe, usikatae ukweli
au kumkufuru Roho Mtakatifu.
Usiwe mjinga, usiwe na kiburi.
Tii mwongozo wa Roho Mtakatifu.