
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo neno la Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo neno la Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 17 Desemba 2017
Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu

Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu | Matamshi ya Mwenyezi Mungu
Katika kipindi kile ambacho Petro alikuwa na Yesu, aliona sifa nyingi za kupendeza ndani ya Yesu, hali nyingi zenye za kustahili kuigwa, na nyingi ambazo zilimkimu. Ingawa Petro aliona nafsi ya Mungu ndani...
Jumanne, 5 Desemba 2017
Umuhimu na Mazoezi ya Sala | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Sura ya 34. Umuhimu na Mazoezi ya Sala
Je, mnaomba vipi kwa sasa? Ni maendeleo kwa sala za kidini jinsi gani? Mnaelewa nini hasa kuhusu umuhimu wa sala? Je mmechunguza maswali haya? Kila mtu ambaye hafanyi sala ako mbali na Mungu, kila mtu ambaye hasali anafuata mapenzi...
Alhamisi, 30 Novemba 2017
Kuijua Kazi ya Mungu Leo

Kuijua Kazi ya Mungu Leo
Mwenyezi Mungu alisema, Kuijua kazi ya Mungu katika nyakati hizi, kwa sehemu kubwa, ni kumjua Mungu katika mwili wa siku za mwisho, kile ambacho ni huduma Yake kuu, na kile ambacho Amekuja kufanya duniani. Hapo mwanzoni Nimesema katika maneno...
Jumanne, 28 Novemba 2017
Enzi ya Ufalme Ndiyo Enzi ya Neno | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Novemba 28, 2017Enzi ya Ufalme, Matamshi ya Kristo, Matamshi ya Mwenyezi Mungu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Mungu, neno la Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Enzi ya Ufalme Ndiyo Enzi ya Neno
Katika Enzi ya Ufalme, Mungu anatumia neno ili kukaribisha enzi mpya, ili kubadilisha mbinu za kazi Yake, na kuweza kufanya kazi katika enzi nzima. Hii ndiyo kanuni ambayo Mungu hufanyia kazi katika Enzi ya...
Kuonekana kwa Mungu Kumeleta Enzi Mpya
Novemba 28, 2017Bwana-Yesu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, neno la Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti ya Mungu, VitabuNo comments


Kuonekana kwa Mungu Kumeleta Enzi Mpya
Mpango wa Mungu wa miaka elfu sita ya usimamizi unaelekea kikomo, na lango la ufalme limefunguliwa kwa wale ambao wanatafuta kuonekana kwa Mungu. Ndugu wapendwa, mnasubiri nini? Mnatafuta nini? Mnasubiri kuonekana kwa Mungu? Mnazitafuta...