Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 3 Septemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Sitini

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Sitini Si jambo rahisi kwa maisha kukua; yanahitaji mchakato, na aidha, kwamba muweze kulipa gharama na kwamba mshirikiane na Mimi kwa uwiano, na hivyo mtapata sifa Yangu. Mbingu na dunia na vitu vyote vinaanzishwa na kufanywa...

Ijumaa, 10 Agosti 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu Vitabu | Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Saba

Kanisa la Mwenyezi Mungu Vitabu | Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Saba Kwa kweli, maneno yote kutoka katika kinywa cha Mungu ni mambo ambayo wanadamu hawayajui; yote ni lugha ambayo watu hawajasikia, kwa hiyo inaweza kusemwa hivi: Maneno ya Mungu yenyewe ni siri. Watu...

Jumanne, 31 Julai 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Arubaini na Sita

Matamshi ya Mwenyezi Mungu  | Tamko la Arubaini na Sita Sijui jinsi watu wanavyoendelea katika kuyafanya maneno Yangu kuwa msingi wa kuweko kwao. Nimehisi wasiwasi kila mara kwa ajili ya majaliwa ya mwanadamu, lakini watu hawaonekani kuwa na fahamu yoyote kuhusu...

Jumatatu, 26 Machi 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ufafanuzi wa Tamko la Nne

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Ufafanuzi wa Tamko la Nne Ili kuwazuia watu wote kutiwa kiburi na kujisahau baada ya mabadiliko yao kutoka kwa ubaya hadi kwa uzuri, katika fungu la maneno la mwisho la matamshi ya Mungu, mara tu Mungu akishazungumza kuhusu matakwa yake ya...

Jumapili, 25 Machi 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Pili

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Pili Kufuata kuanza kazi kwa mtazamo mpya, kutakuwa na hatua mpya katika kazi Yangu. Kama ilivyo katika ufalme, Nitafanya mambo moja kwa moja kupitia kwa uungu, Nikiongoza kila hatua ya njia, sahihi hadi kwa maelezo madogo, na bila kutiwa najisi na nia za binadamu hata kidog...

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wewe U Mwaminifu kwa Nani?

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Wewe U Mwaminifu kwa Nani? Kila siku unayoiishi sasa ni ya maana sana na muhimu sana kwa hatima yako na majaliwa yako, kwa hivyo unapaswa kufurahia kila ulicho nacho na kila dakika inayopita. Unapaswa kutumia muda wako vizuri ili uweze kujinufaisha,...