Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo maisha. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo maisha. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 6 Agosti 2019

"Kwaya ya Kichina Onyesho la 13" Clip 1 Matukio ya Kuzimu | Kwaya za Injili

  "Kwaya ya Kichina Onyesho la 13" Clip 1 Matukio ya Kuzimu | Kwaya za Injili Je, unafikiria kuna kuzimu? Je, kuzimu iko namna gani hasa? Tafadhali fuatilia dondoo hii ya video! Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho....

Ijumaa, 19 Julai 2019

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 100

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 100 Ninawachukia wale wote ambao hawajajaaliwa na kuchaguliwa na Mimi. Kwa hiyo ni lazima Niwafukuze watu hawa kutoka katika nyumba Yangu mmoja baada ya mwingine, hivyo hekalu Langu litakuwa takatifu na bila doa, nyumba Yangu itakuwa mpya daima na haitakuwa nzee kamwe, jina Langu takatifu litaenezwa milele na watu...

Alhamisi, 2 Mei 2019

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu (II)” Sehemi ya Tatu

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu (II)” Sehemi ya Tatu Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”. Maudhui ya video hii: Uhuru: Awamu ya Tatu 1. Baada ya Kuwa Huru, Mtu Huanza Kupitia Ukuu wa Muumba 2. Kuwaacha Wazazi wa Mtu na Kuanza kwa Bidii Kuendeleza Wajibu Wako Kwenye...

Jumatatu, 15 Aprili 2019

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V Utakatifu wa Mungu II” Sehemu ya Nne

Mwenyezi Mungu anasema, “Kuelewa kiini cha Mungu na kujua kiini cha Mungu kinapeana msaada usioweza kupimika kwa kuingia kwa watu katika maisha. Natumai kwamba hamtapuuza haya ama kuyaona kama mchezo; kwa sababu kumjua Mungu ni msingi muhimu na msingi wa imani ya mwanadamu kwa Mungu na ufuatiliaji wa mwanadamu wa ukweli na wokovu na kitu ambacho...

Ijumaa, 12 Aprili 2019

18. Meupe na Safi ni Maji yaliyo Kando ya Kiti cha Enzi cha Mungu

Ⅰ Maji yaliyo kando ya kiti cha enzi cha Mungu, safi na meupe, yanatulisha sisi. Neno la Mungu, maji ya uzima, mtiririko unaostawisha mioyo yetu. Mwenyezi Mungu, tunakusifu Wewe. Shukrani ziwe Kwako na mwanga Wako! Kutoka kwa upotovu Ulituokoa, hivyo sasa tunaishi katika mwanga Wak...

Jumanne, 9 Aprili 2019

Wimbo wa Injili | 16. Wimbo wa Upendo Mtamu

Wimbo wa Injili | 16. Wimbo wa Upendo Mtamu Ⅰ Ndani ya moyo wangu, kuna upendo Wako. Mtamu sana, nasonga karibu na Wewe. Kujali kukuhusu Wewe kunaufanya moyo wangu kuwa mtamu; kukutumikia Wewe kwa mawazo yangu yote. Kinachouongoza moyo wangu, ni upendo Wako; nafuata...

Jumamosi, 30 Machi 2019

Wimbo wa Kuabudu | Hatimaye Nimemwona Mungu

Wimbo wa Kuabudu | Hatimaye Nimemwona Mungu Ⅰ Nilikuja katika uwepo Wako siku hiyo, moyo wangu ukiwa umejaa tamaa ya kina. Macho yangu yalipojawa na machozi, mkono Wako ulinipapasa. Majonzi na huzuni ulimwagika kutoka moyoni mwangu. Maisha yangu ya awali yakipita mbele ya macho yangu; majonzi na uchungu vikigongana kwa kutanafus...

Jumanne, 26 Machi 2019

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VI Utakatifu wa Mungu III” Sehemu ya Pili

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VI Utakatifu wa Mungu (III)” Sehemu ya Pili Mwenyezi Mungu anasema, “Zaidi ya mwanadamu kutafuta kwa tamaa umaarufu na faida, daima anaendelea kutekeleza uchunguzi wa sayansi na utafiti wa kina, kisha bila kikomo huridhisha mahitaji yake ya mwili na tamaa; yapi tena ni matokeo ya mwanadamu?...

Jumatatu, 18 Machi 2019

Matamshi ya Mungu | “Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima Tamko la Kumi na Moja”

Matamshi ya Mungu | “Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima Tamko la Kumi na Moja” Mwenyezi Mungu anasema, “Je, nani kati ya wanadamu wote hatunzwi mbele ya macho ya Mwenyezi? Nani haishi maisha kati ya majaaliwa ya Mwenyezi? Kuzaliwa na kufa kwa nani kulitokana na kuchagua kwao? Je, mwanadamu anadhibiti hatima yak...

Jumapili, 17 Machi 2019

Ee Mwenyezi Mungu, Mpendwa Wangu Mzuri

Ⅰ Mwenyezi Mungu, mpendwa wangu mzuri, Una moyo wangu. Unapitia magumu, Unavumilia aibu, yote kwa ajili ya kutuokoa. Unatoa maisha Yako kwangu, naona jinsi Ulivyo mzuri. Unakuja duniani kutoka mbinguni, ukiwa mwenye mwili. Uko hapa Ukiishi na sisi, lakini hakuna anayejua...

Jumapili, 10 Machi 2019

Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kufundisha Watoto Wangu (II)

                                             Xiaoxue, Malesia Siku moja baada ya mlo mkuu wa siku, nilimfundisha mwanangu mvulana mkubwa jinsi ya kusoma Kichina—maneno...

Jumatano, 6 Machi 2019

Matokeo Yanayofanikishwa na Kumjua Mungu

I Siku moja, utahisi kuwa Muumba si kitendawili tena, Hajawahi kujificha, kamwe Hajafunika uso Wake kutoka kwako; Hayuko mbali na wewe kabisa; Yeye sio Yule unayemtamani tena usiku na mchana lakini huwezi kumfikia kwa hisia zak...

Jumapili, 23 Desemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 44 na 45

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 44 na 45 Tangu Mungu alipomwambia mwanadamu kuhusu "upendo wa Mungu”—somo la maana zaidi kati ya yote—Alilenga kuzungumza juu ya mada hii katika "matamko ya Roho mara saba," kusababisha watu wote kujaribu kujua utupu wa maisha...

Jumatatu, 26 Novemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini Mwenyezi Mungu alisema, Amkeni, ndugu! Amkeni, kina dada! Siku Yangu haitakawishwa; wakati ni uhai, na kuushika wakati ni kuokoa uhai! Wakati hauko mbali sana! Mkifanya mitihani ya kuingia katika chuo kikuu...

Ijumaa, 16 Novemba 2018

Tamko la Kumi na Sita

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Kumi na Sita Baada ya ushuhudiaji wa Mwana wa Adamu, Mwenyezi Mungu alijifichua kwetu hadharani kama Jua la haki. Haya ndiyo mabadiliko mlimani! Sasa inakuwa halisi zaidi na zaidi, na zaidi kuwa jambo la uhalisi. Tumeona utaratibu...

Jumatano, 14 Novemba 2018

Tamko la Pili

 Tamko la Pili Kanisa la Filadelfia limechukua umbo, na hili limesababishwa kabisa na neema na rehema za Mungu. Watakatifu wameleta upendo wao wa Mungu mbele na kamwe hawakuyumbayumba kutoka kwa njia yao ya kiroho. Kuwa imara katika imani kwamba Mungu mmoja wa kweli...

Jumatatu, 12 Novemba 2018

Neno la Mungu | "Wale Waliofanywa Kuwa Watimilifu Ndio tu Wanaoweza Kuishi Maisha Yenye Maana"

Neno la Mungu | "Wale Waliofanywa Kuwa Watimilifu Ndio tu Wanaoweza Kuishi Maisha Yenye Maana" Mwenyezi Mungu anasema, "Wale waliofanywa kuwa watimilifu hawawezi tu kuwa watiifu baada ya kushindwa, lakini wanaweza pia kuwa na maarifa na kubadilisha tabia yao. Wanamjua Mungu, wamepitia njia ya Mungu mwenye upendo, na wamejazwa na ukweli. Wanajua...

Alhamisi, 28 Desemba 2017

Wanaompenda Mungu Wataishi Milele Katika Mwangaza Wake

Wanaompenda Mungu Wataishi Milele Katika Mwangaza Wake Mwenyezi Mungu alisema, Kiini cha imani ya watu wengi katika Mungu ni imani za kidini: Hawana uwezo wa kumpenda Mungu, na wanaweza kumfuata Mungu tu kama roboti, bila kuweza kumtamani Mungu, ama kumwabudu....