Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kupata-Mwili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kupata-Mwili. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 10 Mei 2019

5. Ni nini umuhimu na matokeo ya ulimwengu wa kidini kuikataa kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho?

III. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kazi ya Mungu ya Hukumu katika Siku za Mwisho 5. Ni nini umuhimu na matokeo ya ulimwengu wa kidini kuikataa kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho? Maneno Husika ya Mungu: Katika kila kipindi cha wakati, Mungu ataanza kazi mpya, na katika kila kipindi, patakuwepo na mwanzo mpya...

Jumatano, 1 Mei 2019

2. Kujua madhumuni na Umuhimu wa Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu

II. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Hatua Tatu za Kazi ya Wokovu wa Mungu kwa Wanadamu 2. Kujua madhumuni na Umuhimu wa Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu (1) Lengo na umuhimu wa kazi ya Mungu katika Enzi ya Sheria Maneno Husika ya Mungu: Kazi ambayo Yehova alifanya kwa Waisraeli ilianzisha mahali pa Mungu pa asili...

Jumanne, 30 Aprili 2019

10. Kwa nini ni kwa kupitia na kuitii kazi ya Mungu mwenye mwili pekee ndipo mtu anaweza kumjua Mungu?

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 10. Kwa nini ni kwa kupitia na kuitii kazi ya Mungu mwenye mwili  pekee ndipo mtu anaweza kumjua Mungu? Aya za Biblia za Kurejelea: “Na Neno alifanywa kuwa mwili, na akakaa kati yetu, (nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule wa Mwana wa pekee aliyezaliwa...

Jumatatu, 29 Aprili 2019

9. Ni jinsi gani Mungu anayepata mwili ili kufanya kazi ya hukumu huimaliza imani ya wanadamu katika Mungu asiye yakini na enzi ya giza ya utawala wa Shetani?

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 9. Ni jinsi gani Mungu anayepata mwili ili kufanya kazi ya hukumu huimaliza imani ya wanadamu katika Mungu asiye yakini na enzi ya giza ya utawala wa Shetani? Aya za Biblia za Kurejelea: “Na...

Jumapili, 28 Aprili 2019

8. Jinsi ya kuelewa kwamba Kristo ndiye ukweli, njia, na uzima?

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 8. Jinsi ya kuelewa kwamba Kristo ndiye ukweli, njia, na uzima? Aya za Biblia za Kurejelea: “Mwanzoni kulikuwa na Neno, na Neno alikuwa na Mungu, na Neno alikuwa Mungu. Hivyo ndivyo alivyokuwa mwanzoni na Mungu” (Yohana 1:1-2). “Na Neno alifanywa kuwa mwili, na...

Jumamosi, 27 Aprili 2019

7. Kwa nini husemwa kuwa kupata mwili kwili kwa Mungu hukamilish umuhimu wa kupata mwili?

Kupata Mwili Mara Mbili Kunakamilisha Umuhimu wa Kupata Mwili Kila hatua ya kazi iliyofanywa na Mungu ina umuhimu wake mkubwa. Yesu alipokuja zamani, Alikuwa mwanaume, lakini Mungu anapokuja wakati huu Yeye ni mwanamke. Kutokana na hili, unaweza kuona kwamba Mungu aliwaumba...

Ijumaa, 26 Aprili 2019

6. Kwa nini husemwa kuwa wanadamu wapotovu wanahitaji zaidi wokovu wa Mungu aliyepata mwili?

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 6. Kwa nini husemwa kuwa wanadamu wapotovu wanahitaji zaidi wokovu wa Mungu aliyepata mwili? Maneno Husika ya Mungu: Wokovu wa Mungu kwa mwanadamu haufanywi moja kwa moja kupitia...

Alhamisi, 25 Aprili 2019

5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu? Aya za Biblia za Kurejelea: “Mimi nawabatiza na maji ili mtubu. Lakini yule ajaye baada ya mimi ni mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, ambaye sistahili kuvichukua viatu vyake. Atawabatiza...

Jumatano, 24 Aprili 2019

4. Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima apate mwili na kuifanya Mwenyewe?

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 4. Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya  hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima  apate mwili na kuifanya Mwenyewe? Aya za Biblia za Kurejelea: “Kwa kuwa Baba hamhukumu mwanadamu yeyote, ila amekabidhi hukumu...

Jumanne, 23 Aprili 2019

3. Tofauti ni ipi kati ya kazi ya Mungu mwenye mwili na kazi ya Roho?

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 3. Tofauti ni ipi kati ya kazi ya Mungu mwenye mwili na kazi ya  Roho? Aya za Biblia za Kurejelea: “Naye akasema, nakuomba, nionyeshe utukufu wako. Na Yehova alisema, … Huwezi kuuona uso wangu: kwani hakuna mtu atakayeniona, na kisha aishi” (Kutoka 33:18-20). “Na...

Jumatatu, 22 Aprili 2019

2. Kupata Mwili Ni Nini? Ni Nini Kiini cha Kupata Mwili?

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 2. Kupata Mwili Ni Nini? Ni Nini Kiini cha Kupata Mwili? Aya za Biblia za Kurejelea: “Mwanzoni kulikuwa na Neno, na Neno alikuwa na Mungu, na Neno alikuwa Mungu” (Yohana1:1). “Na Neno alifanywa kuwa mwili, na akakaa kati yetu, (nasi tukautazama utukufu wake, utukufu...

Jumapili, 21 Aprili 2019

1. Bwana Yesu Mwenyewe alitabiri ya kwamba Mungu angepata mwili katika siku za mwisho na kuonekana kama Mwana wa Adamu ili kufanya kazi

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu 1. Bwana Yesu Mwenyewe alitabiri ya kwamba Mungu angepata mwili katika siku za mwisho na kuonekana kama Mwana wa Adamu ili kufanya kazi Aya za Biblia za Kurejelea: “Na ninyi pia muwe tayari: maana katika saa kama hii msiyofikiria kuwa Mwana wa Adamu atakuja” (Luka...

Jumatano, 3 Aprili 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97 Mwenyezi Mungu anasema, Nitafanya kila mtu aone matendo Yangu ya ajabu na kusikia maneno Yangu ya hekima. Ni lazima iwe kila mtu na ni lazima iwe juu ya kila suala. Hii ni amri Yangu ya utawala na ni ghadhabu Yangu. Nitahusisha kila...

Jumamosi, 16 Machi 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Fumbo la Kupata Mwili (3)

Wakati ambapo Mungu huitekeleza kazi Yake, Yeye haji kujishughulisha katika ujenzi wowote au mabadiliko; Yeye huja kutimiza huduma Yake. Kila wakati Anapopata mwili, ni kwa ajili tu ya kufanikisha hatua ya kazi na kuifungua enzi mpya. Sasa Enzi ya Ufalme imefika, na mafundisho...

Jumanne, 12 Machi 2019

Matamshi ya Kristo | Fumbo la Kupata Mwili (2)

Katika wakati ambapo Yesu Alifanya kazi Uyahudi, Aliifanya wazi, lakini sasa, Nazungumza na Kufanya kazi kati yenu kwa siri. Wasioamini hawana ufahamu wowote. Kazi Yangu kati yenu imetengwa kutoka kwa nyingine. Maneno haya, kuadibu huku na hukumu hii, vinajulikana tu kwako na sio mwingin...

Alhamisi, 7 Machi 2019

Nyimbo za kuabudu | Joka Kuu Jekundu Linaanguka Kadiri Watu wa Mungu Wanavyokomaa

Nyimbo za kuabudu | Joka Kuu Jekundu Linaanguka Kadiri Watu wa Mungu Wanavyokomaa I Wakati ambapo watu wote watakuwa wamefanywa kamili, na mataifa yote ni ufalme wa Kristo, ngurumo saba zitasikika. Leo ni hatua kuelekea hatua hiyo. Moto umetolewa. Huu ni mpango wa Mungu. Hivi karibuni utafanikishwa. II Ili kukamilisha mpango wa Mungu, malaika...

Jumapili, 3 Machi 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 12

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 12 Watu wote wanapotilia maanani, wakati vitu vyote vinafanywa upya na kuhuishwa, wakati kila mtu anamtii Mungu bila shaka, na yuko tayari kubeba jukumu zito la mzigo wa Mungu—hapa ndipo wakati umeme wa mashariki unatoka, ukiangaza yote...

Jumamosi, 23 Februari 2019

Ni Nini Maana ya Krismasi, na Je, Unamwabudu Bwana Yesu Kweli?

Na Siyuan Vyanzo vya Krismasi Kila mwaka, Krismasi inapokaribia, maduka kwenye mitaa hutayarisha maonyesho yang’aayo ya zawadi za Krismasi, pamoja na Baba Krismasi na miti ya Krismasi, na kadhalika. Kuna taa nyingi za rangi nyingi zilizoning’inizwa katika miti na kwenye...

Jumapili, 10 Februari 2019

Mungu Ndiye Mkuu wa Mpango wa Usimamizi wa Miaka Elfu Sita

I Kazi ya Mungu hufanywa na Mungu Mwenyewe. Ni Yeye ndiye Anayeianzisha kazi Yake, na ni Yeye anayeikamilisha. Ni Yeye anayeipanga kazi. Ni yeye ndiye anayeisimamia, na zaidi kuifanikisha kazi hiy...

Jumamosi, 29 Desemba 2018

64. Mungu Anapata Mwili ili Tu Kumshinda Shetani na Kuwaokoa Binadamu

I Wakati wa kupata mwili huku kwa Mungu duniani, Anafanya kazi Yake miongoni mwa wanadamu. Kazi hii yote ina kusudi moja—kumshinda ibilisi Shetani. Atamshinda Shetani kupitia kumshinda mwanadamu, pia kupitia kukufanya mkamilif...