Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo hukumu-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo hukumu-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 14 Septemba 2019
Maneno ya Mungu : Sura ya 90
Septemba 14, 2019hukumu-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu : Sura ya 90
Wote walio vipofu lazima waondoke kutoka Kwangu na wasiwepo kwa muda zaidi hata kidogo, kwani wale ambao Nataka ni wale ambao wanaweza kunijua, wanaoweza kuniona na wanaoweza kupata vitu vyote kutoka Kwangu. Na wanaoweza kweli kupata vitu vyote kutoka Kwangu ni nani? Hakika kuna wachache sana wa mtu wa aina hii na hakika...
Jumanne, 2 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 108
Julai 02, 2019hukumu-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 108
Ndani Yangu, wote wanaweza kupata raha na wote wanaweza kuwa huru. Wale walio nje Yangu hawawezi kupata uhuru na furaha kwa sababu Roho Wangu hayuko pamoja na watu hawa. Watu hawa wanaitwa wafu wasio na roho. Nami Nawaita wale walio ndani Yangu watu walio hai wenye roho. Wao ni Wangu, na watarudi kwenye kiti...
Jumatano, 26 Juni 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 111
Juni 26, 2019hukumu-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 111
Mataifa yote yatabarikiwa kwa sababu Yako; watu wote watanikaribisha kwa shangwe na kunisifu kwa sababu Yako. Ufalme Wangu utafanikiwa na kukua, na utabaki milele. Hakuna mtu ataruhusiwa kuukanyaga na hakuna kitu kitaruhusiwa kuwepo ambacho hakikubaliani na Mimi, kwa sababu Mimi ni Mungu mwenye uadhama na asiyekosewa...
Jumamosi, 22 Juni 2019
neno la Mungu | Sura ya 115
Juni 22, 2019hukumu-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Mungu-katika-Mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ushuhuda, VitabuNo comments

Neno la Mungu | Sura ya 115
Moyo Wangu utakufurahia mno, Nitacheza kwa furaha juu yako, na Nitakupa baraka zisizo na mwisho, kwa kuwa kabla ya uumbaji, ulitoka Kwangu, na leo lazima urejee upande Wangu, kwa kuwa wewe si wa dunia ama ulimwengu bali, badala yake, wewe ni Wangu. Nitakupenda milele, Nitakubariki milele na Nitakulinda milele. Ni...
Alhamisi, 20 Juni 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | sura ya 117
Juni 20, 2019hukumu-ya-Mungu, kumjua-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | sura ya 117
Wewe Ndiwe ambaye hufungua kitabu, Wewe Ndiwe ambaye hufungua mihuri saba, kwa sababu siri zote hutoka Kwako na baraka zote hufichuliwa na Wewe. Mimi sina budi kukupenda Wewe milele, na Mimi sina budi kuwafanya watu wote wakuabudu Wewe, kwa sababu Wewe...