Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siku-za-mwisho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siku-za-mwisho. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 17 Septemba 2019
Wimbo Mpya wa Kuabudu 2019 | “Kristo wa Siku za Mwisho Ameleta Enzi ya Ufalme” (Swahili Gospel Song)
Wimbo Mpya wa Kuabudu 2019 | “Kristo wa Siku za Mwisho Ameleta Enzi ya Ufalme” (Swahili Gospel Song)
Yesu alipokuja katika ulimwengu wa mwanadamu,
Akatamatisha Enzi ya Sheria,
Alileta Enzi ya Neema.
Mungu mara nyingine akakuwa mwili katika siku za mwisho.
Akitamatisha Enzi ya Neema,
Alileta Enzi ya Ufalme.
Wote wanaokubali kupata mwili kwa Mungu...
Jumatano, 26 Juni 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 111
Juni 26, 2019hukumu-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 111
Mataifa yote yatabarikiwa kwa sababu Yako; watu wote watanikaribisha kwa shangwe na kunisifu kwa sababu Yako. Ufalme Wangu utafanikiwa na kukua, na utabaki milele. Hakuna mtu ataruhusiwa kuukanyaga na hakuna kitu kitaruhusiwa kuwepo ambacho hakikubaliani na Mimi, kwa sababu Mimi ni Mungu mwenye uadhama na asiyekosewa...
Jumapili, 19 Mei 2019
1. Kuna tofauti ipi kati ya maneno yaliyoonyeshwa na Bwana Yesu katika Enzi ya Neema na maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu katika Enzi ya Ufalme?
Mei 19, 2019Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, neema, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

V. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Tofauti Kati ya Kazi ya Mungu ya Hukumu Katika Siku za Mwisho na Kazi Yake ya Ukombozi Katika Enzi ya Neema
1. Kuna tofauti ipi kati ya maneno yaliyoonyeshwa na Bwana Yesu katika Enzi ya Neema na maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu katika Enzi ya Ufalme?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Tubuni:...
Jumapili, 12 Mei 2019
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee II Tabia ya Haki ya Mungu” Sehemu ya Kwanza
Mei 12, 2019Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, maneno-ya-Mungu, siku-za-mwisho, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee II Tabia ya Haki ya Mungu” Sehemu ya Kwanza
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Kwa Kupinga Mungu kwa Ukaidi, Binadamu Anaangamizwa na Hasira za Mungu
Kupotoka kwa Sodoma: Kunakasirisha...
Jumatano, 8 Mei 2019
Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (III)” Sehemu ya Pili
Mei 08, 2019Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, Matamshi-ya-Kristo, siku-za-mwisho, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (III)” Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu anasema, “Vitu vyote haviwezi kutenganishwa na kanuni ya Mungu, na hakuna mtu hata mmoja ambaye anaweza kujitenganisha kwenye kanuni Yake. Kupoteza kanuni Yake na kupoteza uangalizi wake kungekuwa...
Jumamosi, 13 Aprili 2019
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII” Sehemu ya Kwanza
Aprili 13, 2019Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, Matamshi-ya-Kristo, siku-za-mwisho, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII ” Sehemu ya Kwanza
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Mhutasari wa Mamlaka ya Mungu, Tabia ya Haki ya Mungu, na Utakatifu wa Mungu
Yaliyopendekezwa: Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee...
Jumanne, 5 Machi 2019
Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VIII Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II)” Sehemu ya Kwanza
Machi 05, 2019Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, Matamshi-ya-Kristo, siku-za-mwisho, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VIII Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II)” Sehemu ya Kwanza
Mwenyezi Mungu anasema, “Mungu aliumba vitu vyote na akatumia mbinu Zake kutunga sheria za ukuaji wa vitu vyote, na vilevile njia na mpangilio wa ukuaji wa vitu hivyo, na pia alitunga njia za kuwepo kwa...
Jumatatu, 11 Februari 2019
Kazi ya Hukumu katika Siku za Mwisho Ni kwa Ajili ya Kutamatisha Enzi
Februari 11, 2019Kazi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Kazi ya Hukumu katika Siku za Mwisho Ni kwa Ajili ya Kutamatisha Enzi
I
Siku za mwisho ni tofauti sana na Enzi ya Neema na Enzi ya Sheria.
Kazi ya siku za mwisho haifanywi katika Israeli,
lakini inatekelezwa kati ya Mataifa.
Ni ushindi wa mataifa yote mbele ya kiti cha enzi cha Mungu.
Na utukufu wa Mungu utajaza ulimwengu mzim...
Jumamosi, 9 Februari 2019
Nyimbo za dini | Kizazi cha Siku za Mwisho Kimebarikiwa
Februari 09, 2019Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, neno-la-Mungu, siku-za-mwisho, Video-za-Uzoefu, VitabuNo comments

Nyimbo za dini | Kizazi cha Siku za Mwisho Kimebarikiwa
I
Yote ni neema ya Mungu kwamba tunaweza kuona uzuri wa Mungu,
kwamba leo tunatafuta kumpenda,
kwamba tunataka kukubali
mafunzo ya ufalme wa wakati wet...
Ijumaa, 8 Februari 2019
Ni Wale tu Ambao Wametakaswa Watakaoingia Katika Pumziko
Februari 08, 2019Hukumu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

I
Jamii ya wanadamu ya baadaye, ingawa imetoka kwa Adamu na Hawa,
haitaishi tena chini ya miliki ya Shetani,
lakini jamii ya waliookolewa, waliotakaswa...
Jumatano, 6 Februari 2019
Februari 06, 2019Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, neno-la-Mungu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Ni Wale tu Wenye Imani ya Kweli Hupata Kibali cha Mungu
I
Musa alipogonga mwamba na maji yakatoka,
zawadi kutoka Yehova, ilikuwa ni kwa imani.
Daudi alipocheza muziki kumsifu Yehova,
kama moyo wake ukijaa furaha, ilikuwa ni kwa iman...
Jumatano, 9 Januari 2019
Umeme wa Mashariki | Matamanio ya Pekee ya Mungu
Januari 09, 2019Kanisa, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

I
Utukufu wa Yehova, ukombozi wa Yesu,
na matendo yote ya Mungu leo, ndiyo unayoyaona leo.
Maneno ya Roho wa Mungu umeyasikia,
Hekima Yake na ajabu Yake,
Tabia Yake umeijua,
Mpango Wake wa usimamizi umeambiw...
Jumamosi, 22 Desemba 2018
"Nimewahi Treni ya Mwisho" (5) : Matokeo Yanayofikiwa na Kazi ya Mungu Aliyepata Mwili
"Nimewahi Treni ya Mwisho" (5) : Matokeo Yanayofikiwa na Kazi ya Mungu Aliyepata Mwili
Bwana Yesu alitabiri kwamba katika zile siku za mwisho, ngano itatenganishwa na matawi, kondoo na mbuzi, na watumishi wema kutoka kwa watumishi waovu...
Ijumaa, 14 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Ishirini na Saba
Desemba 14, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Leo, maneno ya Mungu yamefikia kilele chake, ambako ni kusema, sehemu ya pili ya enzi ya hukumu imefikia kilele chake. Lakini sio kilele cha juu kabisa. Wakati huu, sauti ya Mungu imebadilika, si ya kudhihaki wala ya ucheshi, na haigongi au kulaani; Mungu ametuliza sauti ya maneno Yake. Sasa, Mungu anaanza "kubadilishana maoni" na mwanadamu. Mungu...
Alhamisi, 22 Novemba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 22
Novemba 22, 2018Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwisho, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 22
Kumwamini Mungu si jambo rahisi kufanya. Ninyi mnajiboronga, mkiteketeza kila kitu mbele yenu mkifikiri kuwa haya yote ni ya kuvutia sana, matamu mno! Kuna baadhi ambao bado wanashangilia—wao tu hawana utambuzi katika roho...
Jumanne, 20 Novemba 2018
Neno la Mungu "Je, Kazi ya Mungu ni Rahisi Jinsi Mwanadamu Anavyodhania?" (Official Video)
Novemba 20, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, utukufu, VideoNo comments

Neno la Mungu "Je, Kazi ya Mungu ni Rahisi Jinsi Mwanadamu Anavyodhania?"(Official Video)
Mwenyezi Mungu anasema, "Unapaswa kuona kuwa mapenzi Yake na kazi Yake si rahisi kama ilivyokuwa katika kuumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo. Kwa sababu kazi ya leo ni kubadilisha wale waliopotoshwa, wale waliokufa ganzi, na kutakasa walioumbwa...
Alhamisi, 1 Novemba 2018
Maneno ya Roho Mtakatifu | "Kuijua Kazi ya Mungu Leo"
Maneno ya Roho Mtakatifu | "Kuijua Kazi ya Mungu Leo"
Mwenyezi Mungu anasema, "Kwa upande mmoja, Mungu katika mwili katika siku za mwisho Anaondoa nafasi iliyochukuliwa na Mungu asiye yakini katika dhana za mwanadamu, ili taswira ya Mungu asiye yakini isiwepo kabisa katika moyo wa mwanadamu. Kwa kutumia maneno Yake halisi na kazi Yake halisi,...
Jumatano, 24 Oktoba 2018
Swahili Christian Skit | "Baba Yangu, Mchungaji" | A Debate on the Bible in a Family
Utambulisho
Swahili Christian Skit | "Baba Yangu, Mchungaji" | A Debate on the Bible in a Family
Chi Shou, mchungaji wa dini ambaye amekuwa muumini wa Bwana kwa miaka arubaini, daima ameshikilia mitazamo kwamba "maneno na kazi yote ya Bwana yako ndani ya Biblia," na kwamba "imani katika Bwana haiwezi kuacha Biblia, na kuiamini...
Swahili Christian Video "Bwana Anakuja Kwa Namna Gani Hasa?" | The Son of Man Has Come to Earth
Oktoba 24, 2018Bwana-Yesu, Mfululizo-wa-Maonyesho-Mbalimbali, siku-za-mwisho, Umeme-wa-Mashariki, VideoNo comments

Utambulisho
Swahili Christian Video "Bwana Anakuja Kwa Namna Gani Hasa?" (Mazungumzo Chekeshi) | The Son of Man Has Come to Earth
Katika siku za mwisho, hali ya moyo ya Wakristo wanaongoja kurudi kwa Bwana Yesu inakuwa kali sana, lakini ni kwa vipi, hasa, Bwana atarudi? Baadhi wanasema, "Bwana Yesu atakuja na mawingu." Wengine...
Jumanne, 23 Oktoba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Mia Moja na Kumi
Oktoba 23, 2018Hukumu, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, Ushuhuda, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Mia Moja na Kumi
Kila kitu kitakapofichuliwa utakuwa wakati ambapo Nitapumzika, na hata zaidi, utakuwa wakati ambapo kila kitu kitakuwa sawa. Mimi hufanya kazi Yangu binafsi; Mimi hupanga kila kitu na kusafidi kila kitu Mwenyewe. Nitakapotoka Sayuni na Nitakaporejea, wazaliwa Wangu wa kwanza watakapokuwa...