Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kumjua-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kumjua-Mungu. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 20 Juni 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | sura ya 117
Juni 20, 2019hukumu-ya-Mungu, kumjua-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | sura ya 117
Wewe Ndiwe ambaye hufungua kitabu, Wewe Ndiwe ambaye hufungua mihuri saba, kwa sababu siri zote hutoka Kwako na baraka zote hufichuliwa na Wewe. Mimi sina budi kukupenda Wewe milele, na Mimi sina budi kuwafanya watu wote wakuabudu Wewe, kwa sababu Wewe...
Jumatano, 19 Juni 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | sura ya 118
Juni 19, 2019Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, kumjua-Mungu, makala, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | sura ya 118
Yeyote atakayeinuka kumshuhudia Mwana Wangu, Nitampa neema; yeyote ambaye hatainuka kumshuhudia Mwana Wangu, ila badala yake apinge na kutumia dhana za mwanadamu ili Amtathmini, Nitamwangamiza. Lazima wote waone waziwazi! Kumshuhudia Mwana Wangu ni kitendo cha kunicha nako kunayaridhisha mapenzi Yangu. Usimheshimu...
Jumamosi, 11 Mei 2019
Neno la Mungu | “Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu” Sehemu ya Pili
Mei 11, 2019Kazi-ya-Mungu, kumjua-Mungu, neno-la-Mungu, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Neno la Mungu | “Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu” Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu anasema, “Hatua tatu za kazi ndizo kiini cha usimamizi mzima wa Mungu, na ndani yazo zimeelezwa tabia ya Mungu na kile Alicho. Wale wasiojua kuhusu hatua tatu za kazi ya Mungu hawana uwezo wa kutambua jinsi Mungu anavyoonyesha tabia...
Ijumaa, 3 Mei 2019
3. Uhusiano Kati ya Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
Mei 03, 2019Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, kumjua-Mungu, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

II. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Hatua Tatu za Kazi ya Wokovu wa Mungu kwa Wanadamu
3. Uhusiano Kati ya Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
Maneno Husika ya Mungu:
Kutoka kwa kazi ya Yehova mpaka ile ya Yesu, na kutoka kwa kazi ya Yesu hadi kwa kazi iliyoko kwa awamu hii ya sasa, awamu hizi tatu zinajumlisha upana...
Jumanne, 30 Aprili 2019
10. Kwa nini ni kwa kupitia na kuitii kazi ya Mungu mwenye mwili pekee ndipo mtu anaweza kumjua Mungu?
Aprili 30, 2019kumjua-Mungu, Kupata-Mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
10. Kwa nini ni kwa kupitia na kuitii kazi ya Mungu mwenye mwili
pekee ndipo mtu anaweza kumjua Mungu?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Na Neno alifanywa kuwa mwili, na akakaa kati yetu, (nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule wa Mwana wa pekee aliyezaliwa...
Jumatatu, 15 Aprili 2019
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V Utakatifu wa Mungu II” Sehemu ya Nne
Aprili 15, 2019kumjua-Mungu, maisha, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, Video, WokovuNo comments

Mwenyezi Mungu anasema, “Kuelewa kiini cha Mungu na kujua kiini cha Mungu kinapeana msaada usioweza kupimika kwa kuingia kwa watu katika maisha. Natumai kwamba hamtapuuza haya ama kuyaona kama mchezo; kwa sababu kumjua Mungu ni msingi muhimu na msingi wa imani ya mwanadamu kwa Mungu na ufuatiliaji wa mwanadamu wa ukweli na wokovu na kitu ambacho...
Ijumaa, 22 Machi 2019
Matamshi ya Kristo | Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX
Machi 22, 2019Kazi-ya-Mungu, kumjua-Mungu, neema-na-huruma, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX
Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (III)
Kwa kipindi hiki chote, tumezungumza juu ya mambo mengi yanayohusiana na kumjua Mungu na hivi karibuni tulizungumza kuhusu kitu fulani muhimu sana juu ya mada hii: Mungu ni Chanzo cha Uhai...
Jumanne, 19 Machi 2019
Matamshi ya Kristo | Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
Machi 19, 2019Kazi-ya-Mungu, kumjua-Mungu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (IV)
Leo, tunafanya ushirika juu ya mada maalum. Kwa kila mmoja wenu, kuna vitu viwili vikuu tu ambavyo mnapaswa kujua, kuvipitia na kuvielewa—na vitu hivi viwili ni vipi? Cha kwanza ni kuingia binafsi...
Jumatano, 6 Machi 2019
Matokeo Yanayofanikishwa na Kumjua Mungu
Machi 06, 2019kumjua-Mungu, maisha, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Nyimbo, VitabuNo comments


I
Siku moja, utahisi kuwa Muumba si kitendawili tena,
Hajawahi kujificha, kamwe Hajafunika uso Wake kutoka kwako;
Hayuko mbali na wewe kabisa;
Yeye sio Yule unayemtamani tena usiku na mchana
lakini huwezi kumfikia kwa hisia zak...
Jumatano, 13 Februari 2019
Nyimbo za dini | Dhana na Fikira Hazitawahi Kukusaidia Kumjua Mungu
Februari 13, 2019kumjua-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

Nyimbo za dini | Dhana na Fikira Hazitawahi Kukusaidia Kumjua Mungu
I
Maarifa ya Mungu hayategemei uzoefu wala mawazo.
Hivi havipaswi kamwe kuwekwa juu ya Mungu.
Kwani haijalishi jinsi uzoefu wa binadamu ulivyo mkuu na matamanio,
hivyo ni vidogo, hivyo sio uhakika wala ukweli,
pia kuwa havikubaliani na tabia halisi ya Mungu,
vikiwa pia ni...
Jumanne, 5 Februari 2019
Nia ya Mungu ya Kumwokoa Mwanadamu Haitabadilika
Februari 05, 2019kumjua-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, ukweli, VitabuNo comments

I
Sasa mwanadamu anajua kidogo tabia za Mungu,
kile Mungu alicho nacho na kile alicho, kazi anazofanya Yeye.
lakini bado mengi ya anayofahamu
sio chochote zaidi ya maneno juu ya ukurasa, nadharia akilin...
Jumapili, 27 Januari 2019
Nyimbo za injili | Petro Alimjua Mungu Vyema Zaidi
Januari 27, 2019kumjua-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments


Nyimbo za injili | Petro Alimjua Mungu Vyema Zaidi
I
Petro alikuwa mwaminifu kwa Mungu kwa miaka,
lakini hakuwa na moyo wa kulalamika kamwe.
Hata Ayubu hakuwa sawa na yeye,
sembuse watakatifu katika enzi zot...
Alhamisi, 13 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Matamko ya Ishirini na Nne na Ishirini na Tano
Desemba 13, 2018kumjua-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

Bila kusoma kwa makini, haiwezekani kugundua kitu chochote katika matamko ya siku hizi mbili; kwa kweli, yangepaswa kunenwa kwa siku moja, lakini Mungu aliyagawanya kwa siku mbili. Hiyo ni kusema, matamko ya siku hizi mbili yanaunda moja kamili, lakini ili iwe rahisi kwa watu kuyakubali, Mungu aliyagawanya kwa siku mbili ili kuwapa watu nafasi ya...
Alhamisi, 20 Septemba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 13
Septemba 20, 2018Kumcha-Mungu, kumjua-Mungu, Mwenyezi-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


neno la Mungu | Sura ya 13
Mwenyezi Mungu alisema, Mungu anachukia urithi wote wa joka kubwa jekundu, na Hulichukia joka kubwa jekundu hata zaidi. Huu ni mzizi wa ghadhabu iliyo ndani ya moyo wa Mungu. Inaonekana kwamba Mungu anataka kutupa vitu vyote ambavyo...
Jumatano, 25 Aprili 2018
"Mji Utaangushwa" (4) - Je, Kufafanua Biblia ni Sawa na Kutukuza na Kutoa Ushuhuda kwa Mungu?
"Mji Utaangushwa" (4) - Je, Kufafanua Biblia ni Sawa na Kutukuza na Kutoa Ushuhuda kwa Mungu?
Watu wengi katika ulimwengu nzima wa dini huamini kwamba wale ambao wanaweza zaidi kueleza Biblia ni watu wanaomjua Mungu, na kwamba kama wao pia wanaweza kufafanua siri za Biblia na kueleza unabii, basi wao ni watu ambao hufuata mapenzi ya Mungu, na...
Jumamosi, 10 Machi 2018
Wale Wanaomjua Mungu Pekee Ndio Wanaoweza Kuwa na Ushuhuda Kwa Mungu

Wale Wanaomjua Mungu Pekee Ndio Wanaoweza Kuwa na Ushuhuda Kwa Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Ni sheria ya Mbinguni na kanuni za duniani kumwamini Mungu na kumjua Mungu, na leo—wakati wa enzi ambapo Mungu mwenye mwili Anafanya kazi Yake mwenyewe—ndio wakati mwafaka...
Jumatano, 21 Februari 2018
Ninaona njia ya kumjua Mungu

9. Ninaona njia ya kumjua Mungu
Xiaocao Mji wa Changzhi, Mkoa wa Shanxi
Siku moja, niliona kifungu hiki kifuatacho cha neno la Mungu kwa maandishi “Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu”: “Kwenye kipindi kile alichomfuata Yesu, Petro alitazama na kutia moyoni kila kitu...