Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu-na-Kuadibu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu-na-Kuadibu. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 9 Mei 2019
4. Umuhimu wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho unaweza kuonekana katika matokeo yaliyofanikishwa na kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho
Mei 09, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, maneno-ya-Mungu, VitabuNo comments

III. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kazi ya Mungu ya Hukumu katika Siku za Mwisho
4. Umuhimu wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho unaweza kuonekana katika matokeo yaliyofanikishwa na kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho
(1) Kazi ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho inafanywa kumtakasa, kumwokoa na kumkamilisha...
Jumapili, 5 Mei 2019
1. Mungu aliwakomboa wanadamu katika Enzi ya Neema, hivyo kwa nini bado anahitaji kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho?
Mei 05, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, neema, VitabuNo comments

III. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kazi ya Mungu ya Hukumu katika Siku za Mwisho
1. Mungu aliwakomboa wanadamu katika Enzi ya Neema, hivyo kwa nini bado anahitaji kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Kwa hivyo mtakuwa watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu” (Walawi 11:45).
“Utakatifu,...
Jumatatu, 29 Aprili 2019
9. Ni jinsi gani Mungu anayepata mwili ili kufanya kazi ya hukumu huimaliza imani ya wanadamu katika Mungu asiye yakini na enzi ya giza ya utawala wa Shetani?
Aprili 29, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Kupata-Mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
9. Ni jinsi gani Mungu anayepata mwili ili kufanya kazi ya hukumu huimaliza imani ya wanadamu katika Mungu asiye yakini na enzi ya giza ya utawala wa Shetani?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Na...
Ijumaa, 14 Septemba 2018
Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Hukumu na Kuadibu
Septemba 14, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya, Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Sura ya 4 Lazima Mjue Ukweli wa Kazi ya Mungu ya Siku za Mwisho
3. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Hukumu na Kuadibu.
Maneno Husika ya Mungu:
Kazi ya siku za mwisho ni kutenganisha vitu vyote kulingana na jinsi yavyo, kuhitimisha mpango wa usimamizi wa Mungu, kwa maana muda u karibu na siku ya Mungu imewadia. Mungu huwaleta wote ambao wameingia...
Jumanne, 17 Julai 2018
hukumu la Neno la Mwenyezi Mungu | Nilifurahia karamu kubwa
Julai 17, 2018Hukumu-na-Kuadibu, maneno-ya-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


hukumu la Neno la Mwenyezi Mungu | Nilifurahia karamu kubwa
Xinwei Mkoa wa Zhejiang
Juni 25 na 26 zilikuwa siku zisizohaulika. Eneo letu la Zhejiang lilipata tukio kubwa, viongozi wengi na wafanyakazi wa eneo wakiwa wamekamatwa na joka kubwa jekundu. Ni wachache...
Jumatatu, 21 Mei 2018
Maigizo Yaliyosimuliwa ya Hadithi za Kweli "Upendo wa Kweli wa Mungu" (Swahili Subtitles)
Mei 21, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Maisha-ya-Kanisa—Mfululizo-wa-Maonyesho-Mbalimbali, makusudi-ya-Mungu, Upendo-wa-Mungu, VideoNo comments

Maigizo Yaliyosimuliwa ya Hadithi za Kweli "Upendo wa Kweli wa Mungu" (Swahili Subtitles)
Ili kujitengenezea nafasi yake mwenyewe duniani, mhusika mkuu alilazimika kufuata mwenendo wa duniani humu, akihangaika na kufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya umaarufu na hadhi. Maisha yake yalilikuwa hasa matupu na yenye maumiv...
Alhamisi, 17 Mei 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | 71. Ambua Barakoa, na Uanze Maisha Upya
Mei 17, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Roho-Mtakatifu, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 71. Ambua Barakoa, na Uanze Maisha Upya
Chen Dan Mkoa wa Hunan
Mwishoni mwa mwaka jana, kwa sababu sikuweza kuzindua kazi ya injili katika eneo langu, familia ya Mungu ilimhamisha ndugu mmoja wa kiume kutoka eneo jingine ili kuchukua kazi yangu. Kabla ya haya sikuwa nimearifiwa, bali nilisikia kwa njia...
Alhamisi, 10 Mei 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Niko Tayari Kukubali Usimamizi wa Wote
Mei 10, 2018Hukumu-na-Kuadibu, makusudi-ya-Mungu, ndugu-na-dada, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Niko Tayari Kukubali Usimamizi wa Wote
Xianshang Mji wa Jinzhong, Mkoa wa Shanxi
Muda mfupi uliopita, kila wakati niliposikia kwamba wahubiri wa wilaya walikuwa wakija kwa kanisa letu, ningehisi kutaharaki kiasi. Sikufichua hisia zangu kwa nje, lakini moyo wangu ulijaa upinzani wa siri. Nilidhani:...