
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwendelezo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwendelezo. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 6 Mei 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V (Sehemu ya Nne)

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V
Utakatifu wa Mungu (II)
Sehemu ya Nne
E. Jinsi Ambavyo Shetani Anatumia Mienendo ya Kijamii Kumpotosha Mwanadamu
Mwenyezi Mungu alisema, Je, mienendo ya kijamii ni kitu kipya? (La.) Hivyo ilianza li...
Jumapili, 15 Aprili 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I (Sehemu ya Pili)

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
Sehemu ya Pili
Ili kuelewa tabia ya Mungu na Mungu Mwenyewe lazima muanzie na jambo dogo sana. Jambo hilo dogo sana mnalopaswa kuanzia ni nini? Kwanza kabisa, Nimezikusanya baadhi ya sura kutoka kwenye Biblia. Taarifa...
Ijumaa, 13 Aprili 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
Mhutasari wa Mamlaka ya Mungu, Tabia ya Haki ya Mungu, na Utakatifu wa Mungu
Mwenyezi Mungu: Mnapomaliza maombi yenu, je, mioyo yenu inahisi utulivu katika uwepo wa Mungu? (Ndiyo.) Ikiwa moyo wa mtu unaweza kutulizwa, ataweza...
Jumatano, 11 Aprili 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III (Sehemu ya Pili)

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III
Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu
alisema, Tumezungumza tu kuhusu kazi yote ambayo Mungu amekamilisha, misururu ya mambo Aliyoyafanya kwa mara ya kwanza. Kila mojawapo ya mambo haya yanahusiana na mpango wa Mungu wa usimamizi...
Jumanne, 10 Aprili 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V (Sehemu ya Kwanza)

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V
Utakatifu wa Mungu (II)
Sehemu ya Kwanza
Habari za jioni kila mtu! (Habari ya jioni Mwenyezi Mungu!) Leo, kaka na dada, hebu tuimbe wimbo. Tafuta mmoja ambao mnapenda na ambao mmeimba mara nyingi kabla. (Tungependa kuimba wimbo wa neno...
Jumapili, 8 Aprili 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee II (Sehemu ya Pili)

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee II
Tabia ya Haki ya Mungu
Sehemu ya Pili
Ingawaje Hasira ya Mungu ni Fiche na Haijulikani kwa Binadamu, Haivumilii Kosa Lolote
Mwenyezi Mungu alisema, Namna Mungu alivyoshughulikia ubinadamu wote wa ujinga na kutojua ulitokana kimsingi...
Jumanne, 3 Aprili 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I (Sehemu ya Pili)

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I
Mamlaka ya Mungu (I)
Sehemu ya Pili
Kwenye Siku ya Nne, Misimu, Siku, na Miaka ya Mwanadamu Iliumbika Huku Mungu Akionyesha Mamlaka Yake kwa Mara Nyingine Tena
Mwenyezi Mungu alisema, Muumba alitumia matamshi Yake kutimiza mpango...
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III (Sehemu ya Kwanza)

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III
Mamlaka ya Mungu (II)
Sehemu ya Kwanza
Mwenyezi Mungu alisema, Leo tutaendelea na ushirika wetu kuhusu mada ya “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee.” Tayari tumekuwa na ushirika mara mbili katika mada hii, wa kwanza kuhusiana na mamlaka...
Ijumaa, 30 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee II (Sehemu ya Kwanza)

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee II
Tabia ya Haki ya Mungu
Sehemu ya Kwanza
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa vile sasa mumesikiliza kikao cha ushirika uliopita kuhusu mamlaka ya Mungu, Ninao ujasiri kwamba mumejihami vilivyo na mseto wa maneno kuhusu suala hil...
Alhamisi, 29 Machi 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III (Sehemu ya Kwanza)

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III
Sehemu ya Kwanza
Mwenyezi Mungu alisema, Vikao hivi kadhaa vya ushirika vimekuwa na athari kubwa kwa kila mmoja wa watu. Kwa sasa, watu wanaweza hatimaye kuhisi uwepo wa kweli wa Mungu na kwamba Mungu kwa hakika...
Jumatatu, 26 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I (Sehemu ya Kwanza)

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I
Mamlaka ya Mungu (I)
Sehemu ya Kwanza
Vikao vyangu mbalimbali vya ushirika vilivyopita vilikuwa vinahusu kazi ya Mungu, tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe. Baada ya kuvisikiliza vikao hivi vya ushirika, je, unahisi kuwa umefaidi na kupata...
Jumatatu, 5 Machi 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I (Sehemu ya Nne)

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
Sehemu ya Nne
3. Mungu Atumia upinde wa mvua kuasisi agano na mwanadamu.
(Mwa 9:11-13) Na Nitalithibitisha agano langu nanyi, wala kila chenye mwili hakitafutwa tena kwa maji ya gharika; wala hakutakuwa tena gharika...
Alhamisi, 22 Februari 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
Mwenyezi Mungu alisema, Leo tunawasiliana kuhusu mada muhimu. Hii ni mada ambayo imezungumziwa tangu kuanza kwa kazi ya Mungu mpaka sasa, na inayo umuhimu mkuu kwa kila mtu. Kwa maneno mengine, hili ni suala ambalo kila...
Jumapili, 19 Novemba 2017
Kumjua Mungu Ndiyo Njia ya Kumcha Mungu na Kuepuka Maovu

Kumjua Mungu Ndiyo Njia ya Kumcha Mungu na Kuepuka Maovu
Mwenyezi Mungu alisema, Kila mmoja anapaswa kuchunguza maisha yake upya ya kumwamini Mungu ili kuona iwapo, katika kumtafuta Mungu, ameelewa kwa dhati, amefahamukwa dhati, na kuja kumjua Mungukwa dhati, iwapo...
Jumamosi, 18 Novemba 2017
Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake

Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake
Mwenyezi Mungu alisema, Kwanza, hebu na tuuimbe wimbo wa kumsifu Mungu: Wimbo wa Ufalme (I) Ufalme Umeshuka katika Ulimwengu
Kisaidizi ala cha muziki: Watu wanashangilia Mungu kwa furaha, watu wanamsifu Yeye, sauti...