Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”

Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale, na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki. Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga, wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

Je, Biblia ndiye Bwana, au ni Mungu? | “Bwana Wangu Ni Nani” ( Filamu za Injili )

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.”

Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu | Drama ya Muziki “ Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19” | Haleluya

Mungu ametutunza daima–Yeye amesikiliza maombi yetu! Anajua tumekuwa tukitamani kurejea Kwake! Sasa kwa hakika Amerejea! Tunasubiri nini bado? Tafadhali endelea kutazama drama yenye muziki ya Kanisa la Mwenyezi Mungu—Kila Taifa Humwabudu Mungu wa Vitendo!

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Wakristo wanaoteswa katika filamu hii ni watu kutoka kwa vikundi vya kidini na madhehebu tofauti ambao walitafuta ukweli, na ambao waliisikia sauti ya Mungu na hivyo wakarudi kwa Mwenyezi Mungu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 25 Machi 2019

Wimbo wa kuabudu | Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu


  • Wimbo wa kuabudu | Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu
    • I
    • Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,
    • Kama wafuasi wa Kristo wa dhati,
    • ni wajibu wetu, ni jukumu letu
    • kutoa akili zetu na miili yetu
    • kwa kutimiza agizo la Mungu.
    • Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
    • na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

Jumapili, 24 Machi 2019

Hebu Tuone ni Nani Anayemshuhudia Mungu Vema Zaidi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo,
Mwenyezi Mungu wa kweli, nakupenda. Naimba wimbo wa sifa,
nikicheza ngoma ya furaha na changamfu, kwa ajili Yako tu, Mwenyezi Mungu.
Tunaweza kukusifu Wewe kama leo—haya Mungu ameamua kabla.
Mungu wa kweli Ametushinda; sote tunakuja kumsifu Yeye.

Jumapili, 17 Machi 2019

Ee Mwenyezi Mungu, Mpendwa Wangu Mzuri

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo,
Mwenyezi Mungu, mpendwa wangu mzuri, Una moyo wangu.
Unapitia magumu, Unavumilia aibu, yote kwa ajili ya kutuokoa.
Unatoa maisha Yako kwangu, naona jinsi Ulivyo mzuri.
Unakuja duniani kutoka mbinguni, ukiwa mwenye mwili.
Uko hapa Ukiishi na sisi, lakini hakuna anayejua Wewe ni nani.

Jumatano, 6 Machi 2019

Matokeo Yanayofanikishwa na Kumjua Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, kumjua Mungu
I
Siku moja, utahisi kuwa Muumba si kitendawili tena,
Hajawahi kujificha, kamwe Hajafunika uso Wake kutoka kwako;
Hayuko mbali na wewe kabisa;
Yeye sio Yule unayemtamani tena usiku na mchana
lakini huwezi kumfikia kwa hisia zako.

Jumatano, 16 Januari 2019

Nyimbo za dini | Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee

Nyimbo za dini | Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee

I
Mungu huonyesha tabia Yake ya haki kupitia mbinu na kanuni za pekee,
haidhibitiwi na watu, matukio au vitu.
Na hakuna awezaye kubadili fikira au mawazo Yake,
au kumhimiza Atumie namna nyingine.

Jumamosi, 12 Januari 2019

nyimbo za injili | Je, Umehisi Matumaini ya Mungu Kwako?

nyimbo za injili | Je, Umehisi Matumaini ya Mungu Kwako?

I
Ni nani aliyetafutwa na Mungu katika ulimwengu huu usio na mwisho?
Ni nani ambaye amesikia mwenyewe maneno ya Roho wa Mungu?
Nani kati yenu anayeweza kumjibu Ayubu? Ni nani kati yenu ni Petro?
Kwa nini Mungu amemtaja Ayubu na Petro mara nyingi?
Je, umeelewa matumaini ya Mungu kwako?
Eh, unapaswa kutumia muda mwingi kutafakari, eh, kutafakari.

Alhamisi, 10 Januari 2019

Umeme wa Mashariki | Njia ya Kutafuta Ukweli

I
Hali yako ina ushawishi katika jinsi unavyouelewa ukweli?
Wewe hushangaa katika mapambano ni ukweli upi ambao ni wa kweli?
Basi tafuta ukweli huu na utaona mapenzi ya Mungu katika yote ufanyayo.

Jumatano, 9 Januari 2019

Mwanadamu Mwenye Uoza Anawezaje Kuishi katika Mwanga

I
Mwanadamu yu mbali zaidi na mwenye kumpinga Mungu
kwa kuwa mwanadamu amezaliwa katika nchi iliyo chafu,
ameharibiwa na jamii,
ametawaliwa na maadili ya kikabaila,
na kufunzwa katika "shule za elimu ya juu;"
moyo wa mwanadamu umevamiwa, dhamiri kushambuliwa
na mawazo ya nyuma, maadili mapotovu,
falsafa mbaya, uhai bure,
desturi, maisha potovu, na maoni mabaya juu ya maisha.

Jumanne, 8 Januari 2019

Mungu Huamua Mwisho wa Wanadamu Kutegemeza kwaKama Wanamiliki Ukweli

I
Ni wakati wa Mungu kuamua mwisho wa kila mtu,
si hatua ambapo Alianza kumfinyanga mwanadamu.
Mungu huandika katika kitabu Chake
kila neno na tendo la kila mtu.
Huviandika kimoja kimoja.

Enzi Tofauti, Kazi Tofauti ya Mungu

Katika siku za mwisho, hasa ni ukweli
kwamba "Neno linakuwa mwili"
ambalo limetimizwa na Mungu.
I
Kupitia kazi Yake halisi duniani,
Mungu humfanya mwanadamu kumjua,
humfanya mwanadamu kushiriki naye,
na humfanya mwanadamu aone matendo Yake halisi.

Jumatatu, 7 Januari 2019

Njia ya Lazima Kuogopa Mungu na Kujitenga na Maovu

I
Kumwogopa Mungu hakumaanishi
hofu isiyo na jina, kuepuka, kuabudu kama mungu au ushirikina.
Badala yake, kumcha Mungu kunamaanisha
kustahi, kuamini, kuenzi, kuelewa, kutunza, kutii.

Jumapili, 6 Januari 2019

Kile Vijana Hawana Budi Kufuatilia

I
Macho yanayochukiza na udanganyifu
sivyo wanavyofaa kuvimiliki vijana.
Njia za kuogofya na haribifu
sizo wanazofaa kuzitenda vijana.

Ijumaa, 4 Januari 2019

Ukweli wa Matokeo ya Kupotoshwa kwa Mwanadamu na Shetani

I
Kwa miaka mingi sana mawazo ya watu
ambayo wameyategemea ili kuishi yameiharibu mioyo yao
na yamewafanya waoga, wadanganyifu na wenye kustahili dharau.
Hawana utashi au azimio,
bali ni wenye tamaa, wenye kiburi, na wakaidi,
dhaifu sana kupita mipaka ya nafsi
au kujikomboa kutoka kwa ushawishi wa giza,
kujikomboa kutoka kwa ushawishi wa giza.

Alhamisi, 3 Januari 2019

231. Matokeo ya Kukwepa Hukumu

I
Unaelewa hukumu na ukweli ni nini?
Kama ndivyo, basi Mungu anakusihi kuitii hukumu.
Vinginevyo utapoteza nafasi ya kupongezwa na Mungu,
au kuletwa na Yeye katika ufalme Wake.

Jumatano, 2 Januari 2019

174. Watu Wote Wanaishi Katika Mwanga wa Mungu

nyimbo za injili, Nyimbo, amani,
I
Sasa kwa kushangilia sana,
utakatifu wa Mungu na haki
vinakua ulimwenguni kote,
ikitukuka sana kati ya wanadamu wote.
Miji ya mbinguni inacheka,
falme za dunia zinacheza.

Jumanne, 1 Januari 2019

169. Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

Kwa kuwa Mungu alimwokoa mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu, kwa kuwa Anamsimamia mtu,
Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.

Jumatatu, 31 Desemba 2018

136. Kiini na Tabia ya Mungu Daima Vimekuwa Wazi kwa Binadamu

Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu, Amekuwa akifichua kwao
Kiini Chake na kile Alicho na Alicho nacho, bila kukoma, kila wakati.
Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa,
Mungu huzungumza na kufanya kazi ili kuonyesha tabia Yake na kiini.

Jumapili, 30 Desemba 2018

128. Matokeo ya Mwisho Ambayo Kazi ya Mungu Inalenga Kufanikisha

Katika nyingi ya kazi ya Mungu,
mtu yeyote aliye na uzoefu wa kweli anahisi uchaji na heshima Kwake,
ambayo ni zaidi ya sifa.

Ijumaa, 28 Desemba 2018

24. Hakuna Anayeweza Kufanya Kazi Badala Yake

Kazi ya Mungu hufanywa na Mungu Mwenyewe.
Ni Yeye ndiye Anayeianzisha kazi Yake, na ni Yeye anayeikamilisha.
Ni Yeye anayeipanga kazi.
Ni yeye ndiye anayeisimamia, na zaidi kuifanikisha kazi hiyo.

13. Kama Tu Binadamu Watamwabudu Mungu wa Kweli Ndiyo Wataweza Kuwa na Jaala Nzuri

Mungu aliumba dunia hii. Aliumba binadamu.
Alikuwa mjenzi wa utamaduni wa zamani wa Ugiriki na ustaarabu wa binadamu.
Mungu tu ndiye Anayefariji, Anayefariji binadamu huyu.