Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 25 Machi 2019

Wimbo wa kuabudu | Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

Wimbo wa kuabudu | Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu I Kama washiriki wa jamii ya wanadamu, Kama wafuasi wa Kristo wa dhati, ni wajibu wetu, ni jukumu letu kutoa akili zetu na miili yetu kwa kutimiza agizo la Mungu. Kwa maana asili yetu yote ilitoka...

Jumapili, 24 Machi 2019

Hebu Tuone ni Nani Anayemshuhudia Mungu Vema Zaidi

Ⅰ Mwenyezi Mungu wa kweli, nakupenda. Naimba wimbo wa sifa, nikicheza ngoma ya furaha na changamfu, kwa ajili Yako tu, Mwenyezi Mungu. Tunaweza kukusifu Wewe kama leo—haya Mungu ameamua kabla. Mungu wa kweli Ametushinda; sote tunakuja kumsifu Yey...

Jumapili, 17 Machi 2019

Ee Mwenyezi Mungu, Mpendwa Wangu Mzuri

Ⅰ Mwenyezi Mungu, mpendwa wangu mzuri, Una moyo wangu. Unapitia magumu, Unavumilia aibu, yote kwa ajili ya kutuokoa. Unatoa maisha Yako kwangu, naona jinsi Ulivyo mzuri. Unakuja duniani kutoka mbinguni, ukiwa mwenye mwili. Uko hapa Ukiishi na sisi, lakini hakuna anayejua...

Jumatano, 6 Machi 2019

Matokeo Yanayofanikishwa na Kumjua Mungu

I Siku moja, utahisi kuwa Muumba si kitendawili tena, Hajawahi kujificha, kamwe Hajafunika uso Wake kutoka kwako; Hayuko mbali na wewe kabisa; Yeye sio Yule unayemtamani tena usiku na mchana lakini huwezi kumfikia kwa hisia zak...

Jumatano, 16 Januari 2019

Nyimbo za dini | Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee

Nyimbo za dini | Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee I Mungu huonyesha tabia Yake ya haki kupitia mbinu na kanuni za pekee, haidhibitiwi na watu, matukio au vitu. Na hakuna awezaye kubadili fikira au mawazo Yake, au kumhimiza Atumie namna nyingin...

Jumamosi, 12 Januari 2019

nyimbo za injili | Je, Umehisi Matumaini ya Mungu Kwako?

nyimbo za injili | Je, Umehisi Matumaini ya Mungu Kwako? I Ni nani aliyetafutwa na Mungu katika ulimwengu huu usio na mwisho? Ni nani ambaye amesikia mwenyewe maneno ya Roho wa Mungu? Nani kati yenu anayeweza kumjibu Ayubu? Ni nani kati yenu ni Petro? Kwa nini Mungu amemtaja Ayubu na Petro mara nyingi? Je, umeelewa matumaini ya Mungu kwako? Eh,...

Alhamisi, 10 Januari 2019

Umeme wa Mashariki | Njia ya Kutafuta Ukweli

I Hali yako ina ushawishi katika jinsi unavyouelewa ukweli? Wewe hushangaa katika mapambano ni ukweli upi ambao ni wa kweli? Basi tafuta ukweli huu na utaona mapenzi ya Mungu katika yote ufanyay...

Jumatano, 9 Januari 2019

Mwanadamu Mwenye Uoza Anawezaje Kuishi katika Mwanga

I Mwanadamu yu mbali zaidi na mwenye kumpinga Mungu kwa kuwa mwanadamu amezaliwa katika nchi iliyo chafu, ameharibiwa na jamii, ametawaliwa na maadili ya kikabaila, na kufunzwa katika "shule za elimu ya juu;" moyo wa mwanadamu umevamiwa, dhamiri kushambuliwa na mawazo ya nyuma, maadili mapotovu, falsafa mbaya, uhai bure, desturi, maisha...

Jumanne, 8 Januari 2019

Mungu Huamua Mwisho wa Wanadamu Kutegemeza kwaKama Wanamiliki Ukweli

I Ni wakati wa Mungu kuamua mwisho wa kila mtu, si hatua ambapo Alianza kumfinyanga mwanadamu. Mungu huandika katika kitabu Chake kila neno na tendo la kila mtu. Huviandika kimoja kimoj...

Enzi Tofauti, Kazi Tofauti ya Mungu

Katika siku za mwisho, hasa ni ukweli kwamba "Neno linakuwa mwili" ambalo limetimizwa na Mungu. I Kupitia kazi Yake halisi duniani, Mungu humfanya mwanadamu kumjua, humfanya mwanadamu kushiriki naye, na humfanya mwanadamu aone matendo Yake halis...

Jumatatu, 7 Januari 2019

Njia ya Lazima Kuogopa Mungu na Kujitenga na Maovu

I Kumwogopa Mungu hakumaanishi hofu isiyo na jina, kuepuka, kuabudu kama mungu au ushirikina. Badala yake, kumcha Mungu kunamaanisha kustahi, kuamini, kuenzi, kuelewa, kutunza, kuti...

Jumapili, 6 Januari 2019

Kile Vijana Hawana Budi Kufuatilia

I Macho yanayochukiza na udanganyifu sivyo wanavyofaa kuvimiliki vijana. Njia za kuogofya na haribifu sizo wanazofaa kuzitenda vijan...

Ijumaa, 4 Januari 2019

Ukweli wa Matokeo ya Kupotoshwa kwa Mwanadamu na Shetani

I Kwa miaka mingi sana mawazo ya watu ambayo wameyategemea ili kuishi yameiharibu mioyo yao na yamewafanya waoga, wadanganyifu na wenye kustahili dharau. Hawana utashi au azimio, bali ni wenye tamaa, wenye kiburi, na wakaidi, dhaifu sana kupita mipaka ya nafsi au kujikomboa kutoka kwa ushawishi wa giza, kujikomboa kutoka kwa ushawishi wa...

Alhamisi, 3 Januari 2019

231. Matokeo ya Kukwepa Hukumu

I Unaelewa hukumu na ukweli ni nini? Kama ndivyo, basi Mungu anakusihi kuitii hukumu. Vinginevyo utapoteza nafasi ya kupongezwa na Mungu, au kuletwa na Yeye katika ufalme Wak...

Jumatano, 2 Januari 2019

174. Watu Wote Wanaishi Katika Mwanga wa Mungu

I Sasa kwa kushangilia sana, utakatifu wa Mungu na haki vinakua ulimwenguni kote, ikitukuka sana kati ya wanadamu wote. Miji ya mbinguni inacheka, falme za dunia zinacheza...

Jumanne, 1 Januari 2019

169. Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

Ⅰ Kwa kuwa Mungu alimwokoa mwanadamu, Atamwongoza; kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa; kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi. Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu, kwa kuwa Anamsimamia mtu, Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadam...

Jumatatu, 31 Desemba 2018

136. Kiini na Tabia ya Mungu Daima Vimekuwa Wazi kwa Binadamu

Ⅰ Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu, Amekuwa akifichua kwao Kiini Chake na kile Alicho na Alicho nacho, bila kukoma, kila wakati. Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa, Mungu huzungumza na kufanya kazi ili kuonyesha tabia Yake na kiin...

Jumapili, 30 Desemba 2018

128. Matokeo ya Mwisho Ambayo Kazi ya Mungu Inalenga Kufanikisha

Ⅰ Katika nyingi ya kazi ya Mungu, mtu yeyote aliye na uzoefu wa kweli anahisi uchaji na heshima Kwake, ambayo ni zaidi ya sif...

Ijumaa, 28 Desemba 2018

24. Hakuna Anayeweza Kufanya Kazi Badala Yake

Ⅰ Kazi ya Mungu hufanywa na Mungu Mwenyewe. Ni Yeye ndiye Anayeianzisha kazi Yake, na ni Yeye anayeikamilisha. Ni Yeye anayeipanga kazi. Ni yeye ndiye anayeisimamia, na zaidi kuifanikisha kazi hiy...

13. Kama Tu Binadamu Watamwabudu Mungu wa Kweli Ndiyo Wataweza Kuwa na Jaala Nzuri

Ⅰ Mungu aliumba dunia hii. Aliumba binadamu. Alikuwa mjenzi wa utamaduni wa zamani wa Ugiriki na ustaarabu wa binadamu. Mungu tu ndiye Anayefariji, Anayefariji binadamu huy...