
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 25 Agosti 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu Vitabu maneno ya Mungu | Maana ya Kuwa Mwanaadamu Halisi
Agosti 25, 2018Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Mwanaadamu-Halisi, Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, Vitabu, Yesu-KristoNo comments


Maana ya Kuwa Mwanadamu Halisi
Kumsimamia mwanadamu ndio Kazi Yangu, na ushindi Wangu dhidi yake ni kitu ambacho kilikuwa hata zaidi kimeshaamuliwa kabla Nilipoiumba dunia. Watu huenda hawajui kwamba Nitashinda kabisa katika siku za mwisho na pia huenda hawajui kwamba...
Jumanne, 21 Agosti 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Inapofikia Mungu, Ufahamu Wako ni Upi?
Agosti 21, 2018Enzi-ya-Neema, Hukumu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Ushuhuda, VitabuNo comments


Kanisa la Mwenyezi Mungu | Inapofikia Mungu, Ufahamu Wako ni Upi?
Mwenyezi Mungu alisema, Watu wamemwamini Mungu kwa muda mrefu, ilhali wengi wao hawaelewi maana ya neno “Mungu”. Wanafuata tu bila kufahamu vyema. Hawajui sababu ya ni kwa nini binadamu anafaa kumwamini...
Jumatatu, 20 Agosti 2018
Dondoo kutoka kwa Vifungu Vinne vya Neno La Mungu Kuhusu "Fumbo la Kupata Mwili (4)"
Agosti 20, 2018Kupata-Mwili, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Roho-Mtakatifu, Vitabu, YesuNo comments


Dondoo kutoka kwa Vifungu Vinne vya Neno la Mungu Kuhusu "Fumbo la Kupata Mwili (4)"
Mnapaswa kujua kuhusu hadithi ya ndani na uumbaji wa Biblia. Ufahamu huu haushikiliwi na wale ambao hawajakubali kazi mpya ya Mungu. Wao hawajui. Waelezee mambo haya ya kiini,...
Jumapili, 19 Agosti 2018
Wafaa Kujua Namna Ambavyo Binadamu Wote Wameendelea Hadi Siku ya Leo
Agosti 19, 2018Kazi-ya-Mungu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Roho-Mtakatifu, Vitabu, YesuNo comments


Mwenyezi Mungu alisema, Uzima wa kazi ya miaka 6,000 yote umebadilika kwa utaratibu kuambatana na nyakati. Mabadiliko katika kazi hii kumefanyika kulingana na hali zinazozunguka ulimwengu mzima. Kazi ya usimamizi ya Mungu imebadilika tu kwa utaratibu kulingana na mitindo...
Alhamisi, 16 Agosti 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kuhusu Majina na Utambulisho
Agosti 16, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Roho-Mtakatifu, Vitabu, YesuNo comments


Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kuhusu Majina na Utambulisho
Iwapo unataka kufaa kwa ajili ya matumizi na Mungu, lazima uijue kazi ya Mungu; lazima uijue kazi Aliyofanya awali (katika Agano Jipya na la Kale), na, zaidi ya hayo, lazima uijue kazi Yake ya leo. Ndiyo kusema,...
Jumatano, 15 Agosti 2018
Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote
Agosti 15, 2018Kazi-ya-Mungu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Mwenyezi-Mungu, Vitabu, Yehova, YesuNo comments


Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote
Mwenyezi Mungu alisema, Hatua moja ya kazi ya enzi mbili za awali ilifanyika Israeli; nyingine ilifanyika Uyahudi. Kuzungumza kwa jumla, hakuna hatua ya kazi hii iliyotoka Israeli; zilikuwa ni hatua za kazi zilizofanywa miongoni mwa...
Jumanne, 14 Agosti 2018
Utakapouona Mwili wa Kiroho wa Yesu ndio Utakuwa Wakati Ambao Mungu Ametengeneza Upya Mbingu na Dunia
Agosti 14, 2018Kupata-Mwili, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, ukweli, Vitabu, YesuNo comments


Utakapouona Mwili wa Kiroho wa Yesu Ndio Utakuwa Wakati Ambao Mungu Ametengeneza Upya Mbingu na Dunia
Je, ungependa kumwona Yesu? Je, ungependa kuishi na Yesu? Je, ungependa kusikia maneno yaliyonenwa na Yesu? Iwapo ni hivyo, basi utakaribishaje, kurudi kwa Yesu? Je, uko...
Jumamosi, 9 Desemba 2017
Uchaguzi Kutoka katika Mafungu Manne ya Neno la Mungu Juu ya “Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Ushindi”
Desemba 09, 2017Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Mungu, Ushindi, Vitabu, WokovuNo comments

Uchaguzi Kutoka katika Mafungu Manne ya Neno la Mungu Juu ya "Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Ushindi"
1. Mwenyezi Mungu alisema, Wanadamu kwa kupotoshwa sana na Shetani, hawajui kuwa kuna Mungu na wameacha kumwabudu Mungu. Adamu na Hawa walipoumbwa mwanzoni, utukufu wa Yehova na Ushuhuda wa Yehova daima vilikuwepo. Lakini baada ya kupotoshwa, mwanadamu...
Ijumaa, 8 Desemba 2017
Uchaguzi Kutoka kwa Vifungu Vitatu vya Neno la Mungu juu ya “Maono ya Kazi ya Mungu”
Desemba 08, 2017Kazi ya Mungu, majina ya Mungu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Vitabu, YesuNo comments

Uchaguzi Kutoka kwa Vifungu Vitatu vya Neno la Mungu juu ya "Maono ya Kazi ya Mungu"
1. Yohana alianza kueneza injili ya ufalme wa mbinguni miaka saba kabla ya ubatizo wa Yesu. Kwa watu, kazi aliyoifanya ilionekana kuwa juu zaidi ya kazi ya baadaye ya Yesu, ilhali yeye alikuwa, hata hivyo, nabii tu. Hakufanya kazi au kuzungumza ndani ya hekalu,...
Jumanne, 28 Novemba 2017
Enzi ya Ufalme Ndiyo Enzi ya Neno | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Novemba 28, 2017Enzi ya Ufalme, Matamshi ya Kristo, Matamshi ya Mwenyezi Mungu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Mungu, neno la Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Enzi ya Ufalme Ndiyo Enzi ya Neno
Katika Enzi ya Ufalme, Mungu anatumia neno ili kukaribisha enzi mpya, ili kubadilisha mbinu za kazi Yake, na kuweza kufanya kazi katika enzi nzima. Hii ndiyo kanuni ambayo Mungu hufanyia kazi katika Enzi ya...
Kuonekana kwa Mungu Kumeleta Enzi Mpya
Novemba 28, 2017Bwana-Yesu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, neno la Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti ya Mungu, VitabuNo comments


Kuonekana kwa Mungu Kumeleta Enzi Mpya
Mpango wa Mungu wa miaka elfu sita ya usimamizi unaelekea kikomo, na lango la ufalme limefunguliwa kwa wale ambao wanatafuta kuonekana kwa Mungu. Ndugu wapendwa, mnasubiri nini? Mnatafuta nini? Mnasubiri kuonekana kwa Mungu? Mnazitafuta...