Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo imani. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo imani. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 31 Machi 2019
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu (I)” Sehemu ya Tano
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu (I)” Sehemu ya Tano
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Shetani Hajawahi Kuthubutu Kukiuka Mamlaka ya Muumba, na Kwa Sababu Hiyo, Vitu Vyote Vinaishi kwa Mpangilio
Mungu Pekee, Ambaye Anao Utambulisho wa Muumba,...
Jumapili, 20 Januari 2019
Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Kile Ambacho Mungu Anakamilisha Ni Imani
Januari 20, 2019imani, Kazi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Mwenyezi-Mungu, VitabuNo comments

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Kile Ambacho Mungu Anakamilisha Ni Imani
I
Imani kuu, upendo mkubwa vinahitajika kutoka kwako katika kazi ya siku za mwisho.
Unaweza kujikwaa kama wewe si mwangalifu, kwa sababu kazi hii sio kama awali.
Kile ambacho Mungu anakamilisha ni imani ya wanadam...
Jumamosi, 5 Januari 2019
Mmempa Mungu Nini Kama Malipo?
Januari 05, 2019imani, Injili, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Mungu amekuwa kati yenu
kwa majira kadhaa ya kupuputika na ya kuchipua.
Ameishi nanyi kwa muda mrefu.
Mbele Yake ni matendo yenu mangapi maovu yamenyiririka?
Maneno ya dhati mnayoyasema, yanarudisha mwangwi katika masikio ya Mung...
Ijumaa, 7 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Kumi Na Nane
Maneno yote ya Mungu yana sehemu ya tabia Yake; tabia Yake haiwezi kuonyeshwa kwa ukamilifu kwa maneno, kwa hiyo hii inaonyesha kiasi gani cha utajiri kiko ndani Yake. Kile ambacho watu wanaweza kukiona na kukigusa ni, hata hivyo, finyu, kama ulivyo uwezo wa watu. Ingawa maneno ya Mungu ni dhahiri, watu hawawezi kuyaelewa kwa ukamilifu. Kama maneno...
Alhamisi, 6 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Tano
Desemba 06, 2018imani, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukweli, VitabuNo comments

Tofauti kubwa zaidi kati ya Mungu na mwanadamu ni kwamba kila mara maneno ya Mungu hugonga ndipo, na hakuna kilichofichwa. Kwa hiyo hali hii ya tabia ya Mungu inaweza kuonekana katika maneno ya kwanza ya leo. Kipengele kimoja ni kuwa yanaonyesha tabia halisi ya mwanadamu, na kipengele kingine ni kuwa yanafichua wazi tabia ya Mungu. Hizi ni asili...
Jumatano, 5 Desemba 2018
Sura ya 8
Desemba 05, 2018imani, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Mungu anenapo neno Lake kutokana na mtazamo wa Roho, sauti Yake huelekezwa kwa wanadamu wote. Mungu anenapo neno Lake kutokana na mtazamo wa mwanadamu, sauti Yake huelekezwa kwa wote wafuatao uongozi wa Roho Wak...
Jumamosi, 1 Desemba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini na Saba

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini na Saba
Kwa kweli hamna imani mbele Yangu na mara kwa mara mnajitegemea wenyewe kufanya mambo. "Hamuwezi kufanya chochote bila Mimi!" Lakini nyinyi watu wapotovu daima mnachukua maneno Yangu ndani ya sikio moja...
Jumapili, 11 Novemba 2018
Tamko la Thelathini na Nane
Novemba 11, 2018baraka, imani, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Si kwamba imani yako ni nzuri au safi, lakini badala yake, kazi Yangu ni ya ajabu! Kila kitu ni kwa sababu ya rehema Zangu! Hupaswi kuwa na tabia potovu ya ubinafsi au kiburi hata kidogo, vinginevyo kazi Yangu kwako haitaendelea. Lazima uelewe wazi kwamba iwapo watu wanaanguka...
Jumatatu, 5 Novemba 2018
Neno la Mungu | "Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu" (Sehemu ya Kwanza)
Neno la Mungu | "Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu" (Sehemu ya Kwanza)
Mungu na kile Alicho. Wale wasiojua kuhusu hatua tatu za kazi ya Mungu hawana uwezo wa kutambua jinsi Mungu anavyoonyesha tabia Yake, wala hawajui hekima ya kazi ya Mungu, na wanasalia kutojua njia nyingi Anazomwokoa mwanadamu, na mapenzi Yake...
Ijumaa, 2 Novemba 2018
Tamko la Arubaini na Tisa
Novemba 02, 2018Hukumu, imani, Kanisa, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Ili kutumikia kwa uratibu, mtu lazima ajiunge kwa usahihi, na pia awe mchangamfu na dhahiri. Zaidi ya hayo, mtu lazima awe na uchangamfu, nguvu, na kujawa na imani, ili kwamba wengine waruzukiwe na watakuwa wakamilifu. Kunitumikia Mimi lazima utumikie Ninayonuia,...