Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumpenda-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumpenda-Mungu. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 4 Aprili 2019
Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance
Aprili 04, 2019furaha, Kumpenda-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Ufalme, VideoNo comments

Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance
Safi na mwaminifu, kama mtoto bila hatia,
mchangamfu na mwenye nguvu za ujana,
wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni.
Bila udanganyifu, na mioyo iliyo wazi tu, wao ni waadilifu.
Wanatoa mioyo yao kwa Mungu na kupata imani Yake.
Wao ni watu waaminifu...
Jumatano, 27 Machi 2019
Wimbo wa Dini | Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani
Machi 27, 2019furaha, Kumpenda-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Ufalme, VitabuNo comments


Wimbo wa Dini | Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani
Ⅰ
Nimerejea katika familia ya Mungu, nikiwa mwenye msisimko na furaha.
Nina bahati ya kukujua Wewe Mwenyezi Mungu, nimekupa moyo wangu.
Ingawa nimepitia katika Dunia ya Mateso, nimeona jinsi Mungu anavyopendez...
Jumatano, 20 Machi 2019
Wimbo wa dini | Mwenyezi Mungu, Sasa Niko na Wewe
Machi 20, 2019Kumpenda-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, neema, Ufalme, VitabuNo comments

Wimbo wa dini | Mwenyezi Mungu, Sasa Niko na Wewe
Ⅰ
Mwenyezi Mungu, sasa kwa sababu tuko na Wewe, masumbuko yanabadilika kuwa furaha.
Kula, kunywa, kufurahia maneno Yako, tuko na Wewe kila siku.
Maji Yako ya uzima yanatustawisha, tuna ukarimu kwa vyote.
Jua ukweli, ingia katika ukweli, yote yanakutegemea Wew...
Jumatatu, 27 Agosti 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | swahili worship songs | Nitampenda Mungu Milele
Agosti 27, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kumpenda-Mungu, maneno-ya-Mungu, Nyimbo, Wimbo-wa-Uzoefu-wa-MaishaNo comments


Nitampenda Mungu Milele
I
Ee Mungu! Maneno Yako yameniongoza kukurudia Wewe.
Nakubali kufundishwa katika ufalme Wako mchana na usiku.
Majaribu mengi na uchungu, dhiki nyingi sana.
Mara nyingi nilitoa machozi na kuhuzunika sana,
mara nyingi nimeanguka katika mtego...
Jumatano, 27 Desemba 2017
Kumpenda Mungu Tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli

Kumpenda Mungu tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli
Mwenyezi Mungu alisema, Mnapotaka kumpenda na kumjua Mungu leo, kwa upande mmoja ni lazima mstahimili mateso, usafishaji, na kwa ule upande mwingine, ni lazima mgharamike. Hakuna funzo lililo kubwa kuliko lile la...