Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumpenda-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumpenda-Mungu. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 4 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance

Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance Safi na mwaminifu, kama mtoto bila hatia, mchangamfu na mwenye nguvu za ujana, wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni. Bila udanganyifu, na mioyo iliyo wazi tu, wao ni waadilifu. Wanatoa mioyo yao kwa Mungu na kupata imani Yake. Wao ni watu waaminifu...

Jumatano, 27 Machi 2019

Wimbo wa Dini | Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani

Wimbo wa Dini | Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani Ⅰ Nimerejea katika familia ya Mungu, nikiwa mwenye msisimko na furaha. Nina bahati ya kukujua Wewe Mwenyezi Mungu, nimekupa moyo wangu. Ingawa nimepitia katika Dunia ya Mateso, nimeona jinsi Mungu anavyopendez...

Jumatano, 20 Machi 2019

Wimbo wa dini | Mwenyezi Mungu, Sasa Niko na Wewe

 Wimbo wa dini | Mwenyezi Mungu, Sasa Niko na Wewe Ⅰ Mwenyezi Mungu, sasa kwa sababu tuko na Wewe, masumbuko yanabadilika kuwa furaha. Kula, kunywa, kufurahia maneno Yako, tuko na Wewe kila siku. Maji Yako ya uzima yanatustawisha, tuna ukarimu kwa vyote. Jua ukweli, ingia katika ukweli, yote yanakutegemea Wew...

Jumatatu, 27 Agosti 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | swahili worship songs | Nitampenda Mungu Milele

Nitampenda Mungu Milele I Ee Mungu! Maneno Yako yameniongoza kukurudia Wewe. Nakubali kufundishwa katika ufalme Wako mchana na usiku. Majaribu mengi na uchungu, dhiki nyingi sana. Mara nyingi nilitoa machozi na kuhuzunika sana, mara nyingi nimeanguka katika mtego...

Jumatano, 27 Desemba 2017

Kumpenda Mungu Tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli

Kumpenda Mungu  tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli Mwenyezi Mungu alisema, Mnapotaka kumpenda na kumjua Mungu leo, kwa upande mmoja ni lazima mstahimili mateso, usafishaji, na kwa ule upande mwingine, ni lazima mgharamike. Hakuna funzo lililo kubwa kuliko lile la...