Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo huruma. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo huruma. Onyesha machapisho yote
Ijumaa, 29 Machi 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 98
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 98
Mambo yote yatakuja juu ya kila mmoja wenu, na yatawawezesha kujua zaidi juu Yangu na kuwa na uhakika zaidi juu Yangu. Yatawawezesha kunijua, Mungu mmoja Mwenyewe, kunijua Mimi Mwenye uweza, kunijua Mimi Mungu Mwenyewe mwenye mwili. Baadaye, Nitatoka katika mwili, Nirudi Sayuni, Nirudi katika nchi nzuri ya...
Ijumaa, 30 Novemba 2018
Tamko la Thelathini na Sita
Novemba 30, 2018Hukumu, huruma, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mwenyezi Mungu wa kweli, Mfalme katika kiti cha enzi, hutawala ulimwengu mzima, Anakabiliana na mataifa yote na watu wote, kila kitu chini ya mbingu hung’aa kwa utukufu wa Mungu. Viumbe vyote hai katika miisho ya ulimwengu vitaona. Milima, mito, maziwa, ardhi, bahari na viumbe vyote viishivyo, katika nuru ya uso wa Mungu wa kweli wamefungua mapazia...
Jumamosi, 10 Novemba 2018
Matamshi ya Mungu | "Unajua Nini Kuhusu Imani?"
Matamshi ya Mungu | "Unajua Nini Kuhusu Imani?"
Mwenyezi Mungu anasema, "Ninasema kwamba binadamu ana imani Kwangu kwa sababu Nampa neema nyingi kupindukia, na mambo yapo mengi sana ya kupata. Wayahudi waliniamini Mimi kwa neema Yangu, na wakanifuata Mimi popote Nilipoenda. Binadamu hawa wasiojua wenye maarifa na uzoefu finyu walitafuta tu kuona...
Jumapili, 4 Novemba 2018
Tamko la Arubaini na Nne

Mimi ni mwenye haki, Mimi ni mwaminifu, Mimi ndimi Mungu anayechunguza moyo wa ndani zaidi wa mwanadamu! Nitafichua mara moja aliye wa kweli na aliye wa uongo. Hakuna haja ya kuwa na hofu, vitu vyote hufanya kazi kwa wakati Wangu. Ni nani asiyenitaka Mimi kwa dhati, ni...
Jumamosi, 3 Novemba 2018
Tamko la Arubaini na Saba
Novemba 03, 2018huruma, Kristo, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukweli, utukufu, VitabuNo comments


Mwenyezi Mungu mwenye haki—Mwenyezi! Ndani Yako hakuna chochote kabisa kilichofichwa. Kila fumbo tangu zamani hadi milele, ambalo binadamu hawajawahi kufichua, ndani Yako linadhihirika na kwa jumla kuwa wazi. Hatuhitaji tena kutafuta na kupapasa, kwa maana leo nafsi Yako...
Jumatano, 31 Oktoba 2018
Tamko la Themanini na Sita
Oktoba 31, 2018baraka, huruma, Mwenyezi-Mungu, neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Watu husema kuwa Mimi ni Mungu mwenye huruma na wao husema kwamba Nitaoa wokovu kwa kila kitu Nilichokiumba—mambo haya yote yanasemwa kulingana na fikira za binadamu. Kunitaja Mimi kama Mungu mwenye huruma kunaelekezewa wazaliwa Wangu wa kwanza na kuletea Kwangu wokovu kunaelekezewa wazaliwa Wangu wa kwanza na watu Wangu. Kwa sababu Mimi ni Mungu...
Jumapili, 28 Oktoba 2018
Tamko la Tisini na Nne
Oktoba 28, 2018huruma, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Narudi Sayuni pamoja na wazaliwa Wangu wa kwanza—kweli mnaelewa maana ya kweli ya maneno haya? Nimewakumbusha tena na tena kwamba Mimi nataka mkue haraka ili mtawale na Mimi. Je, mnakumbuka? Vitu hivi vyote vinahusiana moja kwa moja na kupata mwili Kwangu. Kutoka Sayuni...
Jumatatu, 18 Desemba 2017
Upendo wa Mungu na wokovu | “Kutanafusi kwa Mwenye Uweza” Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho
Desemba 18, 2017huruma, Mwenyezi-Mungu, Upendo-wa-Mungu, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, Video, Video-za-hivi-pundeNo comments


“Kutanafusi kwa Mwenye Uweza” Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho
Mwenyezi Mungu alisema, "Mwanadamu, ambaye aliacha kupokea uzima wake kutoka kwa Mwenye Uweza, hajui ni kwa nini anaishi, na bado anaogopa kifo. Hukuna usaidizi, wala msaada, lakini mwanadamu bado anasita...