
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wokovu-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wokovu-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 11 Juni 2019
Ndio Nimeanza Tu Kutembea Njia Sahihi ya Uzima
Juni 11, 2019Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments


Shi Han Mkoa wa Hebei
Nilizaliwa kwa familia maskini ya wakulima. Nimekuwa mwenye busara tangu utotoni, ikimaanisha sijawahi kupigana na watoto wengine na niliwatii wazazi wangu, jambo lililonifanya “msichana mzuri” wa kawaida machoni mwa watu wazima. Wazazi wengine wote...
Jumamosi, 8 Juni 2019
Kuzaliwa Upya
Juni 08, 2019Roho-Mtakatifu, ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments


Yang Zheng Mkoa wa Heilongjiang
Nilizaliwa katika familia maskini ya vijijini iliyokuwa nyuma kimaendeleo katika kufikiri kwao. Nilikuwa ovyo kutoka utotoni na hamu yangu ya hadhi ilikuwa hasa yenye nguvu. Baada ya muda, kupitia ushawishi wa jamii na mafunzo ya kitamaduni,...
Jumatano, 24 Aprili 2019
4. Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima apate mwili na kuifanya Mwenyewe?
Aprili 24, 2019Hukumu, Kupata-Mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
4. Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya
hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima
apate mwili na kuifanya Mwenyewe?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Kwa kuwa Baba hamhukumu mwanadamu yeyote, ila amekabidhi hukumu...
Jumamosi, 2 Machi 2019
Kwaheri kwa Zile Siku za Kushindana na Majaliwa
Machi 02, 2019kutoka-katika-Imani-na-Maisha, neno-la-Mungu, Upendo wa Mungu, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments


Kijiji cha kishamba kilichojikokota kimaendeleo, wazazi wangu waliochoka kwa sababu ya kazi zao, maisha ya shida za kifedha … kumbukumbu hizi za huzuni zilitia alama kwa mawazo yangu machanga, zilikuwa ni hisia yangu ya kwanza ya “majaliwa...
Jumapili, 24 Februari 2019
Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu
Februari 24, 2019Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments

I
Wakati wa kazi ya Mungu ya wokovu,
Atawaokoa wale wote Anaoweza kuwaokoa
kwa kiasi kikubwa mno iwezekanavyo,
na Hatamwacha yeyote.
Lakini wale wote wasioweza
kubadilisha tabia yao,
au kumtii Mungu kabisa
watakuwa walengwa wa adhab...
Jumatatu, 11 Februari 2019
Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Unaijua Kazi ya Mungu?
Februari 11, 2019Kazi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Unaijua Kazi ya Mungu?
I
Kazi ya Mungu katika mwili si ya kuvutia, wala haijazingirwa na mafumbo.
Ni ya kweli na hakika, kama vile moja ikiongezwa moja ni mbili;
haijafichwa na haina unafik...
Ijumaa, 8 Februari 2019
Watu Ambao Wamepatwa na Mungu Watafurahia Baraka za Milele
Februari 08, 2019Kazi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments

I
Kazi ya Mungu huendelea kwa miaka elfu sita,
na Aliahidi kwamba udhibiti wa yule muovu kwa wanadamu wote
pia haungekuwa kwa zaidi ya miaka elfu sit...
Jumamosi, 13 Oktoba 2018
Swahili Christian Music Video | "Ni Watu Waaminifu Pekee Walio na Mfano wa Binadamu" | God Led Me Onto the Right Path of Life
Oktoba 13, 2018Msururu-wa-MV-za-Ufalme, Mwenyezi-Mungu, Upendo-wa-Mungu, Video, Wokovu-wa-MunguNo comments

🎼🎼 → → 🎙️🎙️ ↓↓🎻🎻🎻🎻@@@@
swahili gospel music | "Ni Watu Waaminifu Pekee Walio na Mfano wa Binadamu" | God Led Me Onto the Right Path of Life
I
Kwa ajili ya faida niliacha viwango vyote vya mwenendo,
na bila haya nikatumia udanganyifu kutafuta riziki yangu.
Sikujali chochote kuhusu dhamiri au maadili,...
Jumanne, 25 Septemba 2018
Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki
Septemba 25, 2018Mwenyezi-Mungu, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments


Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki
Chen Lu Wilaya ya Tonglu, Mkoa wa Zhejiang
Baada ya mlo mkuu wa siku, polisi waliongeza mkazo wa masaili yao. Walinitisha vikali, wakisema: "Tuambie! Ni nani kiongozi wa kanisa lako? Kama hutuambii, tuna njia zingine, tunaweza...