Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”

Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale, na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki. Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga, wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

Je, Biblia ndiye Bwana, au ni Mungu? | “Bwana Wangu Ni Nani” ( Filamu za Injili )

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.”

Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu | Drama ya Muziki “ Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19” | Haleluya

Mungu ametutunza daima–Yeye amesikiliza maombi yetu! Anajua tumekuwa tukitamani kurejea Kwake! Sasa kwa hakika Amerejea! Tunasubiri nini bado? Tafadhali endelea kutazama drama yenye muziki ya Kanisa la Mwenyezi Mungu—Kila Taifa Humwabudu Mungu wa Vitendo!

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Wakristo wanaoteswa katika filamu hii ni watu kutoka kwa vikundi vya kidini na madhehebu tofauti ambao walitafuta ukweli, na ambao waliisikia sauti ya Mungu na hivyo wakarudi kwa Mwenyezi Mungu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mapenzi-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mapenzi-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 20 Aprili 2019

Wimbo wa Dini | 220.Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, mapenzi ya Mungu

Wimbo wa Dini |  220.Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

I

Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe wote
kuja chini ya utawala Wake, na kutii utawala Wake.
Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake.
II
Vitu hai, milima, mito na mwanadamu lazima vyote viwe chini ya utawala Wake.
Vitu katika anga na duniani lazima vyote vije chini ya utawala Wake.
Vyote lazima vitii, bila uchaguzi wowote.

Jumanne, 16 Aprili 2019

20. Katika Familia Ya Mungu, tunakutana na kila mmoja

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, upendo wa Mungu,
I
Tukipendana, sisi ni familia. 
Aa … aa …
Katika familia ya Mungu, tunakutana kila mmoja,
mkusanyiko wa watu wakimpenda Mungu.
Bila upendeleo, kupendana kwa karibu,
furaha na utamu ukijaza mioyo yetu.

Jumapili, 14 Aprili 2019

Ni Lazima Wale Wanaofaa Kukamilishwa Wapitie Usafishaji

Kama unamwamini Mungu, ni lazima umtii Mungu, uweke ukweli katika vitendo na utimize wajibu wako wote. Zaidi ya hayo, ni lazima uelewe mambo unayopaswa kupitia. Ikiwa unapitia tu kushughulikiwa, kufundishwa nidhamu na hukumu, kama wewe unaweza tu kumfurahia Mungu, lakini huwezi kuhisi wakati Mungu anakufundisha nidhamu au kukushughulikia, hili halikubaliki. Labda katika wakati huu wa usafishaji unaweza kushikilia msimamo wako. Hii bado haitoshi; ni lazima uendelee mbele.

Jumatatu, 1 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, furaha,

Wimbo wa Kuabudu | Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa

Moyo wangu unapaa nje, unapaa nje.
Nitalipiza upendo wa Mungu, sitakosa kuonyesha hisia tena.
Wakati mmoja nilisoma visivyo mapenzi ya Mungu na sikujali kumhusu Yeye.
Lakini sasa nimeona kuwa Mungu anangoja upendo wangu.
Nitajaribu niwezavyo kumtosheleza Mungu, na kukubali Aupate moyo wangu.

Ijumaa, 1 Machi 2019

Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)

     
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Ukweli,

           Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)                                         

      Xiaoxue, Malesia
Nina wana wawili wa kiume na wameachana na mwaka mmoja. Ili kuwalea kuwa watu waliostaarabika, wenye tabia nzuri, watu wema ambao wataweza watajijengea jina katika jamii na kufanikiwa, walipokuwa na umri wa miaka miwili, nilijadiliana na mume wangu juu ya kuwatafutia shule nzuri ya chekechea.

Jumapili, 24 Februari 2019

Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu

I
Wakati wa kazi ya Mungu ya wokovu,
Atawaokoa wale wote Anaoweza kuwaokoa
kwa kiasi kikubwa mno iwezekanavyo,
na Hatamwacha yeyote.
Lakini wale wote wasioweza
kubadilisha tabia yao,
au kumtii Mungu kabisa
watakuwa walengwa wa adhabu.

Jumatano, 20 Februari 2019

Ushuhuda wa Mkristo: Jinsi Alivyoshinda Majaribu ya Kuwa na Mpenzi wa Siri (Sehemu ya 2)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli,


Na Xiyue, Mkoa wa Henan
Katika siku chache zilizofuata, ingawa Jingru hakuwa ameanguka katika majaribu ya Shetani na alijua kwamba hangeweza kuwa mwenzi wa Wang Wei kamwe, mkutano wake na Wang Wei jioni hiyo na ungamo lake la kweli vilirudiwa akilini mwake tena na tena kama onyesho katika filamu …
Wang Wei alipompigia simu tena, moyo wa Jingru ulishtuka kidogo, naye akajiambia: “Sote wawili hatuwezi kuwa kitu kimoja, lakini bado tunaweza kuwa marafiki wa kawaida.

Ijumaa, 15 Februari 2019

Wimbo wa dini | "Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake"

Wimbo wa dini | "Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake"
Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza kwa kiwango fulani, kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu, ndipo wataweza kuwa wasiri Wake, ndipo watakuwa marafiki Zake wa karibu.

Jumatano, 6 Februari 2019

Ni kwa Njia ya Majaribio ya Kuumiza tu Ndipo Unaweza Kuyajua Uzuri wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli,
I
Kufuatilia kuridhika kwa Mungu
ni kutenda maneno ya Mungu kwa upendo kwa Mungu.
Bila kujali wakati, kama wengine hawana nguvu,
ndani, moyo wako bado unampenda Mungu hata hivyo,
humtamani sana na kumkosa Mungu,
hiki ni kimo halisi.

Jumatatu, 4 Februari 2019

Nyimbo za injili | Watu Wanaopatwa na Mungu Wamemiliki Uhalisi

Nyimbo za injili | Watu Wanaopatwa na Mungu Wamemiliki Uhalisi

I
Mungu ni Mungu wa utendaji.
Kazi Yake yote, kila neno Lake,
ukweli alioonyesha ni wa utendaji.
Vingine vyote ni vitupu na visivyo na maana.

Jumamosi, 2 Februari 2019

Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili

Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili
                                                    I
Kitu kikifanyika ambacho kinakuhitaji uvumilie mateso,
elewa na ujali kuhusu mapenzi ya Mungu katika wakati huo.
Usijiridhishe mwenyewe, jiweke kando mwenyewe.
Hakuna kitu duni kuliko mwili.

Ijumaa, 1 Februari 2019

Viumbe wa Mungu Wanapaswa Kutii Mamlaka Yake

I
Mungu ni moto unaoangamiza ambaye hawezi kustahimili kosa.
Mwanadamu hana haki ya kuingilia kati au kukosoa
kazi na maneno Yake,
lazima ayatii, kwa sababu mwanadamu aliumbwa na Yeye.

Jumatano, 30 Januari 2019

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Majaribu Yanahitaji Imani

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo,

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Majaribu Yanahitaji Imani

I
Majaribu yanapokuja watu wanaweza kuwa dhaifu, hisia hasi zinaweza kuinuka ndani yao.
Wanaweza kukosa uwazi kwa mapenzi ya Mungu
au njia iliyo bora zaidi kwao kutenda.

Jumanne, 29 Januari 2019

Kutenda Ukweli Kunahitaji Gharama ya Kweli

I
Taabu zinapokuja, anza kuomba:
"Ee Mungu! Ningependa kukuridhisha Wewe,
kustahimili taabu ili kuufurahisha moyo Wako,
bila kujali ukubwa wa taabu ninazokabili.

Jumapili, 27 Januari 2019

Nyimbo za injili | Petro Alimjua Mungu Vyema Zaidi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli,

Nyimbo za injili | Petro Alimjua Mungu Vyema Zaidi

I
Petro alikuwa mwaminifu kwa Mungu kwa miaka,
lakini hakuwa na moyo wa kulalamika kamwe.
Hata Ayubu hakuwa sawa na yeye,
sembuse watakatifu katika enzi zote.

Jumatano, 23 Januari 2019

Tafuta Kumpenda Mungu Bila Kujali Mateso Yako Ni Makubwa Vipi

I
Lazima uelewe ilivyo ya thamani kazi ya Mungu leo.
Watu walio wengi hawana ufahamu huo,
wakifikiria mateso hayana thamani:
Wanateswa kwa ajili ya imani yao,
wamekataliwa na dunia, nyumba zao pia zina shida,
siku zao za usoni hazina matumaini, hazina matumaini.

Jumatatu, 21 Januari 2019

Nyimbo za dini | Muige Bwana Yesu

Nyimbo za diniMuige Bwana Yesu

I
Yesu alikamilisha misheni ya Mungu,
kazi ya ukombozi ya kila mwanadamu
kwa kutoa kujali Kwake kwa mapenzi ya Mungu,
bila madhumuni au mipango ya ubinafsi.
Katikati Aliweka mpango wa Mungu.

Alhamisi, 17 Januari 2019

Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake

I
Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza Mwenyewe kwa kiwango fulani,
kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu,
hapo ndipo wataweza kuwa wasiri Wake,
hapo ndipo wanaweza kuwa marafiki Zake wa karibu.

Jumatatu, 17 Desemba 2018

Ufafanuzi wa Tamko la Thelathini

Watu wengine wanaweza kuwa na utambuzi kidogo katika maneno ya Mungu, lakini hakuna yeyote kati yao ambaye huamini hisia zake; wao huogopa sana kuingia katika ukanaji. Hivyo, wao kila mara wamegeuka kati ya furaha na huzuni. Ni haki kusema kwamba maisha ya watu wote yamejaa huzuni; kusongeza hili katika hatua nyingine zaidi, kuna usafishaji katika maisha ya kila siku ya watu wote, lakini Naweza kusema kwamba hakuna anayepata ufunguliwaji wowote katika roho yake kila siku, na ni kana kwamba milima mitatu mikuu inakilemea kichwa chake.

Jumapili, 16 Desemba 2018

Ufafanuzi wa Tamko la Ishirini na Nane

Hali ya watu ni kwamba kadri wanavyoelewa maneno ya Mungu kwa kiasi kidogo, ndivyo wanavyoshuku zaidi njia ya sasa ya Mungu ya kufanya kazi. Lakini hii haina athari kwa kazi ya Mungu; maneno Yake yanapofikia kiwango fulani, kwa kawaida mioyo ya watu itabadilika.