Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mapenzi-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mapenzi-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 20 Aprili 2019

Wimbo wa Dini | 220.Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

Wimbo wa Dini |  220.Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu I Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe wote kuja chini ya utawala Wake, na kutii utawala Wake. Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake. II Vitu hai, milima,...

Jumanne, 16 Aprili 2019

20. Katika Familia Ya Mungu, tunakutana na kila mmoja

I Tukipendana, sisi ni familia.  Aa … aa … Katika familia ya Mungu, tunakutana kila mmoja, mkusanyiko wa watu wakimpenda Mungu. Bila upendeleo, kupendana kwa karibu, furaha na utamu ukijaza mioyo yet...

Jumapili, 14 Aprili 2019

Ni Lazima Wale Wanaofaa Kukamilishwa Wapitie Usafishaji

Kama unamwamini Mungu, ni lazima umtii Mungu, uweke ukweli katika vitendo na utimize wajibu wako wote. Zaidi ya hayo, ni lazima uelewe mambo unayopaswa kupitia. Ikiwa unapitia tu kushughulikiwa, kufundishwa nidhamu na hukumu, kama wewe unaweza tu kumfurahia Mungu, lakini huwezi kuhisi wakati Mungu anakufundisha nidhamu au kukushughulikia, hili halikubaliki....

Jumatatu, 1 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa

Wimbo wa Kuabudu | Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa Ⅰ Moyo wangu unapaa nje, unapaa nje. Nitalipiza upendo wa Mungu, sitakosa kuonyesha hisia tena. Wakati mmoja nilisoma visivyo mapenzi ya Mungu na sikujali kumhusu Yeye. Lakini sasa nimeona kuwa Mungu anangoja...

Ijumaa, 1 Machi 2019

Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)

                 Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)                                       ...

Jumapili, 24 Februari 2019

Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu

I Wakati wa kazi ya Mungu ya wokovu, Atawaokoa wale wote Anaoweza kuwaokoa kwa kiasi kikubwa mno iwezekanavyo, na Hatamwacha yeyote. Lakini wale wote wasioweza kubadilisha tabia yao, au kumtii Mungu kabisa watakuwa walengwa wa adhab...

Jumatano, 20 Februari 2019

Ushuhuda wa Mkristo: Jinsi Alivyoshinda Majaribu ya Kuwa na Mpenzi wa Siri (Sehemu ya 2)

Na Xiyue, Mkoa wa Henan Katika siku chache zilizofuata, ingawa Jingru hakuwa ameanguka katika majaribu ya Shetani na alijua kwamba hangeweza kuwa mwenzi wa Wang Wei kamwe, mkutano wake na Wang Wei jioni hiyo na ungamo lake la kweli vilirudiwa akilini mwake tena na...

Ijumaa, 15 Februari 2019

Wimbo wa dini | "Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake"

Wimbo wa dini | "Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake" Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza kwa kiwango fulani, kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu, ndipo wataweza kuwa wasiri Wake, ndipo watakuwa marafiki Zake wa karib...

Jumatano, 6 Februari 2019

Ni kwa Njia ya Majaribio ya Kuumiza tu Ndipo Unaweza Kuyajua Uzuri wa Mungu

I Kufuatilia kuridhika kwa Mungu ni kutenda maneno ya Mungu kwa upendo kwa Mungu. Bila kujali wakati, kama wengine hawana nguvu, ndani, moyo wako bado unampenda Mungu hata hivyo, humtamani sana na kumkosa Mungu, hiki ni kimo halis...

Jumatatu, 4 Februari 2019

Nyimbo za injili | Watu Wanaopatwa na Mungu Wamemiliki Uhalisi

Nyimbo za injili | Watu Wanaopatwa na Mungu Wamemiliki Uhalisi I Mungu ni Mungu wa utendaji. Kazi Yake yote, kila neno Lake, ukweli alioonyesha ni wa utendaji. Vingine vyote ni vitupu na visivyo na maan...

Jumamosi, 2 Februari 2019

Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili

Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili                                                     I Kitu kikifanyika ambacho kinakuhitaji uvumilie mateso, elewa na ujali kuhusu mapenzi ya Mungu katika wakati huo. Usijiridhishe...

Ijumaa, 1 Februari 2019

Viumbe wa Mungu Wanapaswa Kutii Mamlaka Yake

I Mungu ni moto unaoangamiza ambaye hawezi kustahimili kosa. Mwanadamu hana haki ya kuingilia kati au kukosoa kazi na maneno Yake, lazima ayatii, kwa sababu mwanadamu aliumbwa na Yey...

Jumatano, 30 Januari 2019

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Majaribu Yanahitaji Imani

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Majaribu Yanahitaji Imani I Majaribu yanapokuja watu wanaweza kuwa dhaifu, hisia hasi zinaweza kuinuka ndani yao. Wanaweza kukosa uwazi kwa mapenzi ya Mungu au njia iliyo bora zaidi kwao kutend...

Jumanne, 29 Januari 2019

Kutenda Ukweli Kunahitaji Gharama ya Kweli

I Taabu zinapokuja, anza kuomba: "Ee Mungu! Ningependa kukuridhisha Wewe, kustahimili taabu ili kuufurahisha moyo Wako, bila kujali ukubwa wa taabu ninazokabil...

Jumapili, 27 Januari 2019

Nyimbo za injili | Petro Alimjua Mungu Vyema Zaidi

Nyimbo za injili | Petro Alimjua Mungu Vyema Zaidi I Petro alikuwa mwaminifu kwa Mungu kwa miaka, lakini hakuwa na moyo wa kulalamika kamwe. Hata Ayubu hakuwa sawa na yeye, sembuse watakatifu katika enzi zot...

Jumatano, 23 Januari 2019

Tafuta Kumpenda Mungu Bila Kujali Mateso Yako Ni Makubwa Vipi

I Lazima uelewe ilivyo ya thamani kazi ya Mungu leo. Watu walio wengi hawana ufahamu huo, wakifikiria mateso hayana thamani: Wanateswa kwa ajili ya imani yao, wamekataliwa na dunia, nyumba zao pia zina shida, siku zao za usoni hazina matumaini, hazina matumain...

Jumatatu, 21 Januari 2019

Nyimbo za dini | Muige Bwana Yesu

Nyimbo za dini | Muige Bwana Yesu I Yesu alikamilisha misheni ya Mungu, kazi ya ukombozi ya kila mwanadamu kwa kutoa kujali Kwake kwa mapenzi ya Mungu, bila madhumuni au mipango ya ubinafsi. Katikati Aliweka mpango wa Mung...

Alhamisi, 17 Januari 2019

Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake

I Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza Mwenyewe kwa kiwango fulani, kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu, hapo ndipo wataweza kuwa wasiri Wake, hapo ndipo wanaweza kuwa marafiki Zake wa karib...

Jumatatu, 17 Desemba 2018

Ufafanuzi wa Tamko la Thelathini

Watu wengine wanaweza kuwa na utambuzi kidogo katika maneno ya Mungu, lakini hakuna yeyote kati yao ambaye huamini hisia zake; wao huogopa sana kuingia katika ukanaji. Hivyo, wao kila mara wamegeuka kati ya furaha na huzuni. Ni haki kusema kwamba maisha ya watu wote yamejaa huzuni; kusongeza hili katika hatua nyingine zaidi, kuna usafishaji katika...

Jumapili, 16 Desemba 2018

Ufafanuzi wa Tamko la Ishirini na Nane

Hali ya watu ni kwamba kadri wanavyoelewa maneno ya Mungu kwa kiasi kidogo, ndivyo wanavyoshuku zaidi njia ya sasa ya Mungu ya kufanya kazi. Lakini hii haina athari kwa kazi ya Mungu; maneno Yake yanapofikia kiwango fulani, kwa kawaida mioyo ya watu itabadilik...