
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mapenzi-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mapenzi-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 20 Aprili 2019
Wimbo wa Dini | 220.Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu
Aprili 20, 2019Amri, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments


Wimbo wa Dini | 220.Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu
I
Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe wote
kuja chini ya utawala Wake, na kutii utawala Wake.
Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake.
II
Vitu hai, milima,...
Jumanne, 16 Aprili 2019
20. Katika Familia Ya Mungu, tunakutana na kila mmoja
Aprili 16, 2019Kazi-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Upendo-wa-Mungu, VitabuNo comments


I
Tukipendana, sisi ni familia.
Aa … aa …
Katika familia ya Mungu, tunakutana kila mmoja,
mkusanyiko wa watu wakimpenda Mungu.
Bila upendeleo, kupendana kwa karibu,
furaha na utamu ukijaza mioyo yet...
Jumapili, 14 Aprili 2019
Ni Lazima Wale Wanaofaa Kukamilishwa Wapitie Usafishaji
Aprili 14, 2019Kazi-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Usafishaji, VitabuNo comments

Kama unamwamini Mungu, ni lazima umtii Mungu, uweke ukweli katika vitendo na utimize wajibu wako wote. Zaidi ya hayo, ni lazima uelewe mambo unayopaswa kupitia. Ikiwa unapitia tu kushughulikiwa, kufundishwa nidhamu na hukumu, kama wewe unaweza tu kumfurahia Mungu, lakini huwezi kuhisi wakati Mungu anakufundisha nidhamu au kukushughulikia, hili halikubaliki....
Jumatatu, 1 Aprili 2019
Wimbo wa Kuabudu | Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa
Aprili 01, 2019furaha, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, upendo-kwa-Mungu, VitabuNo comments


Wimbo wa Kuabudu | Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa
Ⅰ
Moyo wangu unapaa nje, unapaa nje.
Nitalipiza upendo wa Mungu, sitakosa kuonyesha hisia tena.
Wakati mmoja nilisoma visivyo mapenzi ya Mungu na sikujali kumhusu Yeye.
Lakini sasa nimeona kuwa Mungu anangoja...
Ijumaa, 1 Machi 2019
Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)
Machi 01, 2019kutoka-katika-Imani-na-Maisha, maneno-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, ukweli, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I) ...
Jumapili, 24 Februari 2019
Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu
Februari 24, 2019Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments

I
Wakati wa kazi ya Mungu ya wokovu,
Atawaokoa wale wote Anaoweza kuwaokoa
kwa kiasi kikubwa mno iwezekanavyo,
na Hatamwacha yeyote.
Lakini wale wote wasioweza
kubadilisha tabia yao,
au kumtii Mungu kabisa
watakuwa walengwa wa adhab...
Jumatano, 20 Februari 2019
Ushuhuda wa Mkristo: Jinsi Alivyoshinda Majaribu ya Kuwa na Mpenzi wa Siri (Sehemu ya 2)

Na Xiyue, Mkoa wa Henan
Katika siku chache zilizofuata, ingawa Jingru hakuwa ameanguka katika majaribu ya Shetani na alijua kwamba hangeweza kuwa mwenzi wa Wang Wei kamwe, mkutano wake na Wang Wei jioni hiyo na ungamo lake la kweli vilirudiwa akilini mwake tena na...
Ijumaa, 15 Februari 2019
Wimbo wa dini | "Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake"
Februari 15, 2019Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Video, Video-za-Nyimbo-za-Dini, WokovuNo comments

Wimbo wa dini | "Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake"
Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza kwa kiwango fulani,
kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu,
ndipo wataweza kuwa wasiri Wake,
ndipo watakuwa marafiki Zake wa karib...
Jumatano, 6 Februari 2019
Ni kwa Njia ya Majaribio ya Kuumiza tu Ndipo Unaweza Kuyajua Uzuri wa Mungu
Februari 06, 2019maneno-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments


I
Kufuatilia kuridhika kwa Mungu
ni kutenda maneno ya Mungu kwa upendo kwa Mungu.
Bila kujali wakati, kama wengine hawana nguvu,
ndani, moyo wako bado unampenda Mungu hata hivyo,
humtamani sana na kumkosa Mungu,
hiki ni kimo halis...
Jumatatu, 4 Februari 2019
Nyimbo za injili | Watu Wanaopatwa na Mungu Wamemiliki Uhalisi
Februari 04, 2019maneno-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

Nyimbo za injili | Watu Wanaopatwa na Mungu Wamemiliki Uhalisi
I
Mungu ni Mungu wa utendaji.
Kazi Yake yote, kila neno Lake,
ukweli alioonyesha ni wa utendaji.
Vingine vyote ni vitupu na visivyo na maan...
Jumamosi, 2 Februari 2019
Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili
Februari 02, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili
I
Kitu kikifanyika ambacho kinakuhitaji uvumilie mateso,
elewa na ujali kuhusu mapenzi ya Mungu katika wakati huo.
Usijiridhishe...
Ijumaa, 1 Februari 2019
Viumbe wa Mungu Wanapaswa Kutii Mamlaka Yake
Februari 01, 2019maneno-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Mungu ni moto unaoangamiza ambaye hawezi kustahimili kosa.
Mwanadamu hana haki ya kuingilia kati au kukosoa
kazi na maneno Yake,
lazima ayatii, kwa sababu mwanadamu aliumbwa na Yey...
Jumatano, 30 Januari 2019
Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Majaribu Yanahitaji Imani
Januari 30, 2019Kazi-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Mwenyezi-Mungu, VitabuNo comments


Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Majaribu Yanahitaji Imani
I
Majaribu yanapokuja watu wanaweza kuwa dhaifu, hisia hasi zinaweza kuinuka ndani yao.
Wanaweza kukosa uwazi kwa mapenzi ya Mungu
au njia iliyo bora zaidi kwao kutend...
Jumanne, 29 Januari 2019
Kutenda Ukweli Kunahitaji Gharama ya Kweli
Januari 29, 2019kutenda-ukweli, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Taabu zinapokuja, anza kuomba:
"Ee Mungu! Ningependa kukuridhisha Wewe,
kustahimili taabu ili kuufurahisha moyo Wako,
bila kujali ukubwa wa taabu ninazokabil...
Jumapili, 27 Januari 2019
Nyimbo za injili | Petro Alimjua Mungu Vyema Zaidi
Januari 27, 2019kumjua-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments


Nyimbo za injili | Petro Alimjua Mungu Vyema Zaidi
I
Petro alikuwa mwaminifu kwa Mungu kwa miaka,
lakini hakuwa na moyo wa kulalamika kamwe.
Hata Ayubu hakuwa sawa na yeye,
sembuse watakatifu katika enzi zot...
Jumatano, 23 Januari 2019
Tafuta Kumpenda Mungu Bila Kujali Mateso Yako Ni Makubwa Vipi
Januari 23, 2019Kazi ya Mungu, Kazi-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Lazima uelewe ilivyo ya thamani kazi ya Mungu leo.
Watu walio wengi hawana ufahamu huo,
wakifikiria mateso hayana thamani:
Wanateswa kwa ajili ya imani yao,
wamekataliwa na dunia, nyumba zao pia zina shida,
siku zao za usoni hazina matumaini, hazina matumain...
Jumatatu, 21 Januari 2019
Nyimbo za dini | Muige Bwana Yesu
Januari 21, 2019Bwana-Yesu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

Nyimbo za dini | Muige Bwana Yesu
I
Yesu alikamilisha misheni ya Mungu,
kazi ya ukombozi ya kila mwanadamu
kwa kutoa kujali Kwake kwa mapenzi ya Mungu,
bila madhumuni au mipango ya ubinafsi.
Katikati Aliweka mpango wa Mung...
Alhamisi, 17 Januari 2019
Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake
Januari 17, 2019baraka, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

I
Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza Mwenyewe kwa kiwango fulani,
kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu,
hapo ndipo wataweza kuwa wasiri Wake,
hapo ndipo wanaweza kuwa marafiki Zake wa karib...
Jumatatu, 17 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Thelathini
Desemba 17, 2018baraka, Mapenzi-ya-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Watu wengine wanaweza kuwa na utambuzi kidogo katika maneno ya Mungu, lakini hakuna yeyote kati yao ambaye huamini hisia zake; wao huogopa sana kuingia katika ukanaji. Hivyo, wao kila mara wamegeuka kati ya furaha na huzuni. Ni haki kusema kwamba maisha ya watu wote yamejaa huzuni; kusongeza hili katika hatua nyingine zaidi, kuna usafishaji katika...
Jumapili, 16 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Ishirini na Nane
Desemba 16, 2018maombi, Mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-MasharikiNo comments

Hali ya watu ni kwamba kadri wanavyoelewa maneno ya Mungu kwa kiasi kidogo, ndivyo wanavyoshuku zaidi njia ya sasa ya Mungu ya kufanya kazi. Lakini hii haina athari kwa kazi ya Mungu; maneno Yake yanapofikia kiwango fulani, kwa kawaida mioyo ya watu itabadilik...