Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya. Onyesha machapisho yote
Ijumaa, 14 Septemba 2018
Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Hukumu na Kuadibu
Septemba 14, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya, Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Sura ya 4 Lazima Mjue Ukweli wa Kazi ya Mungu ya Siku za Mwisho
3. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Hukumu na Kuadibu.
Maneno Husika ya Mungu:
Kazi ya siku za mwisho ni kutenganisha vitu vyote kulingana na jinsi yavyo, kuhitimisha mpango wa usimamizi wa Mungu, kwa maana muda u karibu na siku ya Mungu imewadia. Mungu huwaleta wote ambao wameingia...
Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Kushinda📖📖
Septemba 14, 2018Hukumu, Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya, Mungu-ya-Kushinda, Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Sura ya 4 Ukweli wa Kazi ya Mungu ya Siku za Mwisho
2. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Kushinda
Maneno Husika ya Mungu:
Wanadamu kwa ajili ya kupotoshwa sana na Shetani, hawajui kuwa kuna Mungu na wameacha kumwabudu Mungu. Adamu na Hawa walipoumbwa mwanzoni, utukufu wa Yehova na Ushuhuda wa Yehova daima vilikuwepo. Lakini baada ya kupotoshwa,...
Jumatatu, 10 Septemba 2018
Lazima Mjue Nia ya Awamu Tatu za Kazi ya Mungu
Sura ya 3 Lazima Mjue Ukweli Kuhusu Awamu Tatu za Kazi ya Mungu
2. Lazima Mjue Nia ya Awamu Tatu za Kazi ya Mungu.
Maneno Husika ya Mungu:
Lengo la hatua tatu za kazi ni wokovu wa wanadamu wote—ambayo inamaanisha wokovu kamili wa mwanadamu kutoka kwa miliki ya Shetani. Ingawa kila moja ya hatua ya kazi ina madhumuni na umuhimu, kila moja...
Jumamosi, 8 Septemba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kazi ya Kusimamia Mwanadamu ni Gani?
Septemba 08, 2018Kazi-ya-Kusimamia, Kazi-ya-Mungu, Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya, Ufalme, VitabuNo comments

Sura ya 3 Ukweli Kuhusu Awamu Tatu za Kazi ya Mungu
1. Kazi ya Kusimamia Mwanadamu ni Gani?
Maneno Husika ya Mungu:
Kazi ya kumsimamia mwanadamu imegawanywa katika hatua tatu, na ina maana kuwa kazi ya kumwokoa mwanadamu imegawanywa katika hatua tatu. Hatua hizi tatu hazihusishi kazi ya kuuumba ulimwengu, ila ni hatua tatu za kazi ya Enzi...
Jumamosi, 11 Agosti 2018
Kwa Nini Mungu Anaitwa kwa Majina Tofauti katika Enzi Tofauti?
Agosti 11, 2018Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya, Mwenyezi-Mungu, Roho-Mtakatifu, Vitabu, YesuNo comments

Sura ya 2 Ukweli wa Majina ya Mungu
2. Kwa Nini Mungu Anaitwa kwa Majina Tofauti katika Enzi Tofauti?
Maneno Husika ya Mungu:
Katika kila enzi, Mungu Anafanya kazi mpya na huitwa kwa jina jipya; Je, anawezaje kufanya kazi sawa katika enzi tofauti? Itakuwaje Yeye kugandamana na yale ya zamani? Jina la Yesu lilichukuliwa kuwa la kazi ya ukombozi,...
Jumanne, 7 Agosti 2018
Kwa Nini Mungu Hutajwa Majina, na Jina Moja Linaweza Kuwakilisha Uzima wa Mungu
Agosti 07, 2018Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya, Mwenyezi-Mungu, Uzima-wa-Mungu, Vitabu, YesuNo comments

Sura ya 2 Ukweli wa Majina ya Mungu
1. Kwa Nini Mungu Hutajwa Majina, na Jina Moja Linaweza Kuwakilisha Uzima wa Mungu?
Maneno Husika ya Mungu:
Je, Jina la Yesu “Mungu pamoja nasi,” linaweza kuwakilisha tabia ya Mungu kwa ukamilifu wake? Je, linaweza kueleza Mungu kwa ukamilifu? Kama mwanadamu atasema ya kwamba Mungu Ataitwa tu Yesu,...
Ijumaa, 27 Julai 2018
Wokovu Unawezekana Tu Kupitia Imani kwa Mwenyezi Mungu

Sura ya 1 Mwenyezi Mungu Ndiye Mungu Mmoja wa Kweli Ambaye Aliumba Kila kitu
3. Wokovu Unawezekana Tu Kupitia Imani kwa Mwenyezi Mungu
Maneno Husika ya Mungu:
Yesu Alipokuja katika ulimwengu wa mwanadamu, Alileta Enzi ya Neema na Akatamatisha Enzi...
Alhamisi, 26 Julai 2018
Mwenyezi Mungu Ndiye Bwana Yesu Aliyerudi

Sura ya 1 Mwenyezi Mungu Ndiye Mungu Mmoja wa Kweli Ambaye Aliumba Kila kitu
2. Mwenyezi Mungu Ndiye Bwana Yesu Aliyerudi
Maneno Husika ya Mungu:
Baada ya kazi ya Yehova, Yesu Alipata mwili ili Afanye kazi Yake miongoni mwa wanadamu. Kazi Yake haikutekelezwa kivyake,...