
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Amri. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Amri. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 20 Aprili 2019
Wimbo wa Dini | 220.Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu
Aprili 20, 2019Amri, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments


Wimbo wa Dini | 220.Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu
I
Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe wote
kuja chini ya utawala Wake, na kutii utawala Wake.
Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake.
II
Vitu hai, milima,...
Jumanne, 18 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Thelathini na Tatu

Mwenyezi Mungu
alisema, Kwa ukweli, kutegemea kile ambachoMungu amefanya ndani ya watu, na kuwapa, na vilevile kile ambacho watu wanacho, inaweza kusemwa kwamba matakwa Yake kwa watu sio makubwa mno, kwamba hataki mengi kutoka kwa...
Alhamisi, 13 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Ishirini na Sita
Desemba 13, 2018Amri, Hukumu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Kutoka kwa maneno yote yaliyonenwa na Mungu, inaweza kuonekana kwamba siku ya Mungu inakaribia kila siku inapopita. Ni kama kwamba siku hii iko mbele ya macho ya watu, kama kwamba itafika kesho. Hivyo, baada ya kusoma maneno ya Mungu, watu wote wanajawa na hofu, na pia wana hisia kiasi fulani ya ukiwa wa dunia. Ni kama kwamba, jinsi majani yanavyoanguka...
Alhamisi, 9 Novemba 2017
Amri za Enzi Mpya | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Amri za Enzi Mpya | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mmeambiwa kuwa mjiandae kwa maneno ya Mungu, ya kuwa pasipo kujali kilichoandaliwa juu yenu, yote yamepangwa kwa mkono wa Mungu, na kwamba hakuna haja ya kuomba kwa bidii au kusali kwenu—haina maana. Ilhali kulingana na hali...