Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo upendo-kwa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo upendo-kwa-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 1 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa

Wimbo wa Kuabudu | Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa Ⅰ Moyo wangu unapaa nje, unapaa nje. Nitalipiza upendo wa Mungu, sitakosa kuonyesha hisia tena. Wakati mmoja nilisoma visivyo mapenzi ya Mungu na sikujali kumhusu Yeye. Lakini sasa nimeona kuwa Mungu anangoja...

Jumapili, 6 Januari 2019

Kazi Ya Mungu Ikipingana na Fikira za Wanadamu Huwakamilisha Vyema Zaidi

I Kama unamwamini Mungu, lazima umtii, utende ukweli na kutimiza wajibu wako wote, aa, aa. Lazima uelewe mambo unayopaswa kupitia. Kama unapitia tu hukumu na nidhamu, aa, aa, lakini huwezi kujua Mungu anapokushughulikia  au kukufundisha nidhamu, basi hili halitoshi kamw...

Jumanne, 25 Desemba 2018

Ahadi kwa Wale Ambao Wamekamilishwa

Ni njia gani ambayo Mungu hutumia kumkamilisha mwanadamu? Ni vipengele vipi vinavyojumuishwa? Je, uko tayari kukamilishwa na Mungu? Je, uko tayari kukubali hukumu na kuadibu kwa Mungu? Unajua nini kuhusu maswali haya? Kama huwezi kuzungumzia maarifa kama haya, basi hii inaonyesha kwamba bado huijui kazi ya Mungu na hujapatiwa nuru katu na Roho ...

Jumanne, 18 Desemba 2018

Ufafanuzi wa Tamko la Thelathini na Moja

Tabia ya Mungu hujumuishwa katika matamko yote ya Mungu, lakini wazo kuu la maneno Yake ni kufichua uasi wa wanadamu wote na kufunua mambo kama kutotii, kuasi, utovu wa haki, udhalimu, na kutoweza kumpenda Mungu kweli. Ni kiasi kwamba, maneno ya Mungu yamefikia kiwango ambacho Yeye husema kwamba kila kinyweleo katika miili ya watu kina upingaji kwa...

Jumamosi, 15 Desemba 2018

Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini

Ni kitu gani ambacho mwanadamu amepokea tangu alipomwamini Mungu mara ya kwanza? Umejua kitu gani kumhusu Mungu? Umebadilika kiasi gani kwa sababu ya imani yako kwa Mungu? Sasa mnajua nyote ya kwamba imani ya mwanadamu katika Mungu si kwa ajili ya wokovu wa roho na ustawi...