Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo hekima-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo hekima-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 23 Machi 2019
Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III” Sehemu ya Pili
Machi 23, 2019hekima-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Tabia-ya-Mungu, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III” Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu anasema, “Hakuna kizuizi chochote katika kazi Yake na kile Anachokifanya, na haitawekewa kizuizi chochote na binadamu yeyote, kitu chochote, au kifaa chochote, na haitakatizwa na nguvu zozote za kikatil...
Alhamisi, 20 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini
Desemba 20, 2018hekima-ya-Mungu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukweli, VitabuNo comments

Kwa Mungu, mwanadamu ni kama mtu anayechezewa katika mshiko Wake, kama nudo inyoshwayo kwa mkono katika mikono Yake—inayoweza kufanywa nyembamba au nzito kama apendavyo Mungu, kuifanyia Apendavyo. Ni haki kusema kwamba mwanadamu kwa kweli ni mtu anayechezewa mikononi mwa Mungu, kama paka wa Uajemi ambaye bibi amemnunua kutoka sokoni. Bila shaka,...
Jumatano, 19 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Thelathini na Sita
Desemba 19, 2018hekima-ya-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, VitendoNo comments

Inasemekana kwamba Mungu ameanza sasa kuwaadibu watu, lakini hakuna yeyote anayeweza kusema kwa hakika, hakuna yeyote anayeweza kutoa jibu dhahiri iwapo kusudi la asili la kuadibu huku limewafika wanadamu. Kwani Mungu asema, "Mwanadamu hajawahi kugundua chochote katika kuadibu Kwangu, kwani hafanyi chochote ila kushika nira inayozunguka shingo kwa...
Jumatatu, 22 Oktoba 2018
Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Sura ya 113
Oktoba 22, 2018hekima-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Sayuni, Umeme-wa-Mashariki, Vitabu, wazaliwa-wa-kwanzaNo comments


Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Sura ya 113
Mwenyezi Mungu alisema, Kila kitendo Ninachokifanya kina hekima Yangu ndani yake, lakini mwanadamu hawezi kukielewa kamwe; mwanadamu anaweza tu kuona matendo Yangu na maneno Yangu, lakini hawezi kuuona utukufu...
Jumatatu, 8 Oktoba 2018
Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Sabini
Oktoba 08, 2018hekima-ya-Mungu, Mwenyezi-Mungu, neema-na-huruma, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Sabini
Kwamba siri Yangu imefichuliwa na kuonyeshwa bayana, pasi kufichwa tena, ni kwa njia ya neema Yangu na huruma kabisa. Kwamba neno Langu linaonekana miongoni mwa wanadamu, pasi kufichwa tena, hata zaidi ni...
Jumapili, 20 Mei 2018
70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana!
Mei 20, 2018hekima-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, ukamilifu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments

70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana!
Shiji Jiji la Ma’anshan , Mkoa wa Anhui
Wakati wa kufanya kazi kwangu kama kiongozi katika kanisa, kiongozi wangu mara nyingi angeshirikiana mifano ya kushindwa kwa wengine ili kutumikia kama somo kwetu. Kwa mfano: Viongozi wengine walizungumza tu kuhusu elimu na mafundisho lakini walikosa kutaja...