Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”

Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale, na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki. Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga, wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

Je, Biblia ndiye Bwana, au ni Mungu? | “Bwana Wangu Ni Nani” ( Filamu za Injili )

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.”

Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu | Drama ya Muziki “ Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19” | Haleluya

Mungu ametutunza daima–Yeye amesikiliza maombi yetu! Anajua tumekuwa tukitamani kurejea Kwake! Sasa kwa hakika Amerejea! Tunasubiri nini bado? Tafadhali endelea kutazama drama yenye muziki ya Kanisa la Mwenyezi Mungu—Kila Taifa Humwabudu Mungu wa Vitendo!

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Wakristo wanaoteswa katika filamu hii ni watu kutoka kwa vikundi vya kidini na madhehebu tofauti ambao walitafuta ukweli, na ambao waliisikia sauti ya Mungu na hivyo wakarudi kwa Mwenyezi Mungu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Upendo wa Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Upendo wa Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 2 Machi 2019

Kwaheri kwa Zile Siku za Kushindana na Majaliwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Wokovu wa Mungu


Kijiji cha kishamba kilichojikokota kimaendeleo, wazazi wangu waliochoka kwa sababu ya kazi zao, maisha ya shida za kifedha … kumbukumbu hizi za huzuni zilitia alama kwa mawazo yangu machanga, zilikuwa ni hisia yangu ya kwanza ya “majaliwa.”

Ijumaa, 1 Desemba 2017

Roho Ya Majivuno Kabla ya Kuanguka | Kanisa la Mwenyezi Mungu

7. Roho Ya Majivuno Kabla ya Kuanguka

Baixue Mji wa Shenyang
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi, nilihamishiwa hadi sehemu nyingine ya kazi. Wakati huo, nilikuwa na shukurani sana kwa Mungu. Nilihisi kwamba nilikuwa ninapungukiwa sana, lakini kwa njia ya ukuzwaji mtakatifu na Mungu, nilipewa nafasi ya kutimiza wajibu wangu katika eneo la kazi la ajabu hivyo. Niliweka nadhiri kwa Mungu moyoni mwangu: Ningefanya lote ninaloweza kumlipa Mungu.

Alhamisi, 16 Novemba 2017

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Kama Nisingeokolewa na Mungu

Smiley face

Kama Nisingeokolewa na Mungu

I
Kama nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu, nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimepondwa chini ya miguu ya shetani, kama nimenaswa katika dhambi na starehe zake, bila kujua maisha yangu yangekuwaje. Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu leo, wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu, nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani. Hatimaye nimeelewa mikono ya upendo ya Mungu imeshika yangu safarini. Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa. Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu. Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
II
Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu hapa leo, wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu, nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani. Hatimaye nimeelewa mkono wa upendo wa Mungu umeushika wangu safarini. Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa. Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu. Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu

Smiley face

Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu

I
Mandhari iliyochorwa katika Biblia "Amri ya Mungu kwa Adamu" ni ya kugusa na yenye kutia moyo. Ingawa hiyo picha ina Mungu na mtu tu, uhusiano kati ya hao wawili ni wa ndani sana tunaanza kuhisi mshangao, mshangao na uvutiwaji.

Upendo wa Mungu Huushinda Moyo wa Mwanadamu | "Wimbo wa Kifuasi cha Dhati" Video Rasmi ya Muziki


Wimbo wa Kifuasi cha Dhati

Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili.
Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli.
Hekima Yake, Uadilifu Wake, nayapenda yote.
Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana.
Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili.
Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli.
Hekima Yake, uadilifu Wake, nayapenda yote.
Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana.
Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe.
Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu.
Nampenda, najihisi mtamu, teseka kwa ajili Yake.
Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.

Moyo wangu, Alioupewa, nahisi furaha.
Nafsi yangu nzima kuishi kwa ajili Yake, haya ni maisha yangu.
Kumpenda, kumtumikia, heshima kubwa kwangu.
Moyo wangu hautaki kingine chochote, nimetosheka.
Yajali mapenzi Yake, fikra zake, na mahangaiko Yake.
Ni mapenzi yangu kumpendeza na kumtosheleza Mungu.
Mimi huhudumu katika nyumba ya Mungu, nikitimiza wajibu.
Humtii, kuwa mwaminifu kwake, na kujitolea.
Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe.
Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu.
Nampenda, najihisi mtamu, nateseka kwa ajili Yake.
Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,

Jumapili, 12 Novemba 2017

Upendo wa Mungu | "Kama Nisingeokolewa na Mungu" | Swahili Gospel Music Video



Kama Nisingeokolewa na Mungu

I
Kama nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu, nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimepondwa chini ya miguu ya shetani, kama nimenaswa katika dhambi na starehe zake, bila kujua maisha yangu yangekuwaje. Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu leo, wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu, nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani. Hatimaye nimeelewa mikono ya upendo ya Mungu imeshika yangu safarini. Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa. Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu. Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo,

II
Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu hapa leo, wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu. Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu, nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani. Hatimaye nimeelewa mkono wa upendo wa Mungu umeushika wangu safarini. Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa. Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu. Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya