Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siri-zote. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siri-zote. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 7 Oktoba 2018

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo | Tamko la Mia Moja na Kumi na Saba

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo | Tamko la Mia Moja na Kumi na Saba Mwenyezi Mungu alisema, Wewe Ndiwe ambaye hufungua kitabu, Wewe Ndiwe ambaye hufungua mihuri saba, kwa sababu siri zote hutoka Kwako na baraka zote hufichuliwa na Wewe. Mimi sina budi kukupenda Wewe...

Jumamosi, 6 Oktoba 2018

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Sabini na Nane

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Sabini na Nane Mwenyezi Mungu alisema, Nimesema kabla ya kuwa kazi inafanywa na Mimi, sio na mwanadamu yeyote. Kwangu, kila kitu kimetulia na kufurahi, lakini na ninyi mambo ni tofauti sana na chochote mnachofanya...