Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Roho-Mtakatifu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Roho-Mtakatifu. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 20 Oktoba 2019
Maneno ya Roho Mtakatifu | “Kiini Cha Kristo Ni Utiifu kwa Mapenzi ya Baba wa Mbinguni” (Dondoo 1)
Maneno ya Roho Mtakatifu | “Kiini Cha Kristo Ni Utiifu kwa Mapenzi ya Baba wa Mbinguni” (Dondoo 1)
Mwenyezi Mungu anasema, “Mungu mwenye mwili Anaitwa Kristo, na Kristo ni mwili uliovishwa na Roho wa Mungu. Mwili huu ni tofauti na wa mwanadamu yeyote aliye wa nyama. Tofauti hii ni kwa sababu Kristo sio wa mwili na damu bali ni mwili wa Roho....
Jumamosi, 5 Oktoba 2019
Neno la Mungu: Sura ya 87
Oktoba 05, 2019Kazi-ya-Mungu, Mwendelezo-wa Neno-Laonekana-katika-Mwili, neno-la-Mungu, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Neno la Mungu: Sura ya 87
Lazima uharakishe hatua na ufanye kile Nataka kufanya. Hii ni kusudi Langu lenye hamu kwenu. Inawezekana kuwa kwa wakati huu bado hamjaelewa maana ya maneno Yangu? Inawezekana kuwa bado hamjui kusudi Langu? Nimezungumza wazi zaidi na zaidi, na kusema mengi zaidi, lakini, je, ninyi hamjajitahidi kujaribu kuelewa maana ya...
Alhamisi, 5 Septemba 2019
Sauti ya Mungu : Sura ya 93
Septemba 05, 2019Kazi-ya-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu : Sura ya 93
Ukweli unatimizwa mbele ya macho ya mtu na mambo yote yametimizwa. Kazi Yangu inapata hatua, ikipanda juu kama roketi iliyofyatuliwa, ambayo hakuna mtu aliwahi kutarajia. Ni baada ya vitu kufanyika ndipo mtaelewa maana ya kweli ya maneno Yangu. Watoto wa joka kubwa jekundu si wa pekee na lazima wafanywe kushuhudia matendo...
Jumatatu, 2 Septemba 2019
Maneno ya Mungu : Sura ya 94
Septemba 02, 2019Kazi-ya-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu : Sura ya 94
Narudi Sayuni pamoja na wazaliwa Wangu wa kwanza—kweli mnaelewa maana ya kweli ya maneno haya? Nimewakumbusha tena na tena kwamba Mimi nataka mkue haraka ili mtawale na Mimi. Je, mnakumbuka? Vitu hivi vyote vinahusiana moja kwa moja na kupata mwili Kwangu. Kutoka Sayuni Nilikuja duniani katika nyama ili Nipate kupitia...
Jumanne, 27 Agosti 2019
Sauti ya Mungu : Sura ya 96
Sauti ya Mungu : Sura ya 96
Nitamwadibu kila mtu aliyezaliwa kutoka Kwangu ambaye bado hanijui ili kuonyesha ghadhabu Yangu yote, kuonyesha nguvu Zangu kuu, na kuonyesha hekima Yangu kamili. Ndani Yangu kila kitu ni chenye haki na bila shaka hakuna udhalimu, hakuna udanganyifu, na hakuna upotovu; yeyote ambaye ni mpotovu na mdanganyifu lazima awe...
Jumamosi, 3 Agosti 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 97
Agosti 03, 2019neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 97
Nitafanya kila mtu aone matendo Yangu ya ajabu na kusikia maneno Yangu ya hekima. Ni lazima iwe kila mtu na ni lazima iwe juu ya kila suala. Hii ni amri Yangu ya utawala na ni ghadhabu Yangu. Nitahusisha kila mtu na kila jambo ili watu wote kutoka mwisho mmoja wa ulimwengu hadi mwingine wataona kwa macho yao wenyewe,...
Jumapili, 28 Julai 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 98
Julai 28, 2019Kazi-ya-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 98
Mambo yote yatakuja juu ya kila mmoja wenu, na yatawawezesha kujua zaidi juu Yangu na kuwa na uhakika zaidi juu Yangu. Yatawawezesha kunijua, Mungu mmoja Mwenyewe, kunijua Mimi Mwenye uweza, kunijua Mimi Mungu Mwenyewe mwenye mwili. Baadaye, Nitatoka katika mwili, Nirudi Sayuni, Nirudi katika nchi nzuri ya Kanaani,...
Jumatatu, 22 Julai 2019
Sauti ya Mungu | sura ya 99
Julai 22, 2019neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | sura ya 99
Kwa sababu mwendo wa kazi Yangu unaongeza kasi, hakuna anayeweza kuenda mwendo sawa na nyayo Zangu, na hakuna anayeweza kupenya akili Yangu, lakini hii ndiyo njia tu ambayo lazima isafiriwe. Hii ni “wafu” yaani wakati Ninapoongea kuhusu kufufuliwa kutoka kwa wafu (inarejelea kukosa uwezo wa kufahamu mapenzi Yangu, kukosa...
Jumanne, 16 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 101
Julai 16, 2019Kazi-ya-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 101
Sitakuwa mwenye huruma kwa yeyote anayeingilia usimamizi Wangu ama anayejaribu kuiharibu mipango Yangu. Kila mtu anapaswa kuelewa kile Ninachomaanisha kutoka kwa maneno Ninayosema na lazima aelewe vizuri kile Ninachozungumzia. Kwa kuzingatia hali iliyopo, kila mtu anapaswa kujichunguza: Ni wajibu gani unaotekeleza?...
Jumamosi, 13 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 102
Julai 13, 2019neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, Ushuhuda, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 102
Nimeongea hadi kwa kiwango fulani na kufanya kazi hadi kwa kiwango fulani; ninyi nyote mnapaswa kuelewa mapenzi Yangu na kwa viwango tofauti muweze kuzingatia mzigo Wangu. Sasa ndicho kipindi muhimu kutoka katika mwili kuingia katika dunia ya roho, na ninyi ndio watangulizi kwa kutagaa enzi, wanadamu wa ulimwengu...
Jumatano, 10 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 103
Julai 10, 2019Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, sauti-ya-Mungu, ukweli, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 103
Sauti ya mngurumo inatoka, ikiutetemesha ulimwengu mzima, ikiwahanikiza watu, na kuwafanya wachelewe kukwepa, na wengine wanauawa, baadhi wanaangamizwa, na wengine wanahukumiwa. Kweli ni kioja ambacho hakuna yeyote amewahi kukiona awali. Sikiliza kwa makini, milio ya radi inafuatana na sauti za kuomboleza,...
Ijumaa, 5 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 105
Julai 05, 2019Kazi-ya-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 105
Kwa sababu ya kanuni za maneno Yangu, kwa sababu ya utaratibu wa kazi Yangu, watu hunikana; hili ndilo kusudi Langu la kuzungumza kwa muda mrefu (imezungumzwa kuhusu wazao wote wa joka kubwa jekundu). Ni njia ya hekima ya kazi Yangu; ni hukumu Yangu ya joka kubwa jekundu; huu ni mkakati Wangu, hakuna mtu hata...
Alhamisi, 4 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 106
Julai 04, 2019Kazi-ya-Mungu, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 106
Wale wasioyajua maneno Yangu, wale wasioujua ubinadamu Wangu wa kawaida, na wale wanaokataa uungu Wangu wote wataangamizwa hadi wasikuwepo. Hakuna atakayeachiliwa kutokana na hili, na wote lazima wapitie hili kwa sababu ni amri Yangu ya utawala, na ndicho kifungu kikali zaidi cha amri Yangu. Wale wasioyajua...
Jumatano, 3 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 107
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 107
Wakati maneno Yangu ni makali kwa kiwango fulani, watu wengi huondoka kwa sababu ya maneno Yangu. Ni wakati huu hasa ambapo wazaliwa Wangu wa kwanza wanafichuliwa. Nimesema kuwa Sitafanya lolote, lakini Nitatumia tu maneno Yangu kutimiza mambo yote. Ninatumia maneno Yangu kuwaangamiza wote ambao Ninawachukia,...
Jumanne, 2 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 108
Julai 02, 2019hukumu-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 108
Ndani Yangu, wote wanaweza kupata raha na wote wanaweza kuwa huru. Wale walio nje Yangu hawawezi kupata uhuru na furaha kwa sababu Roho Wangu hayuko pamoja na watu hawa. Watu hawa wanaitwa wafu wasio na roho. Nami Nawaita wale walio ndani Yangu watu walio hai wenye roho. Wao ni Wangu, na watarudi kwenye kiti...
Ijumaa, 21 Juni 2019
Neno la Mungu | Sura ya 116
Juni 21, 2019Matamshi-ya-Kristo, neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Neno la Mungu | Sura ya 116
Kati ya maneno Yangu, mengi huwafanya watu kuhisi woga, mengi huwafanya watu watetemeke kwa hofu; bado mengine mengi sana huwafanya watu kuteseka na kukata tamaa, na bado mengine mengi husababisha uangamizaji wa watu. Wingi wa maneno Yangu, hakuna mtu anayeweza kuelewa au kufahamu vizuri. Ni wakati tu Ninapowaambia...
Jumamosi, 8 Juni 2019
Kuzaliwa Upya
Juni 08, 2019Roho-Mtakatifu, ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, Wokovu-wa-MunguNo comments


Yang Zheng Mkoa wa Heilongjiang
Nilizaliwa katika familia maskini ya vijijini iliyokuwa nyuma kimaendeleo katika kufikiri kwao. Nilikuwa ovyo kutoka utotoni na hamu yangu ya hadhi ilikuwa hasa yenye nguvu. Baada ya muda, kupitia ushawishi wa jamii na mafunzo ya kitamaduni,...
Jumapili, 26 Mei 2019
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kuzing’uta Pingu za Roho
Wu Wen Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan
Nilikuwa mtu dhaifu na mwenye tabia nyepesi kuhisi. Wakati sikumwamini Mungu, mara kwa mara ningejihisi mwenye huzuni na masikitiko kutokana na mambo yaliyokuja katika maisha. Kulikuwa na nyakati nyingi kama hizi, na siku zote nilihisi kwamba maisha yangu yalikuwa magumu; hapakuwa na furaha, hamkuwa na ridhisho...
Jumatano, 22 Mei 2019
26. Mtu anawezaje kupata kazi ya Roho Mtakatifu?
Mei 22, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, neno-la-Mungu, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

26. Mtu anawezaje kupata kazi ya Roho Mtakatifu?
Maneno Husika ya Mungu:
Kazi ya Roho Mtakatifu inabadilika kutoka siku hadi siku, ikipanda juu kwa kila hatua; ufunuo wa kesho unakuwa hata juu kuliko wa leo, hatua kwa hatua ukikwea hata juu zaidi. Hii ndiyo kazi anayotumia Mungu kumkamilisha mwanadamu. Iwapo mwanadamu hawezi kwenda sambamba, basi...