Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ufalme. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ufalme. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 23 Mei 2019

Wimbo Wa Ufalme (I) Ufalme Umeshuka Duniani

Wimbo Wa Ufalme (I) Ufalme Umeshuka Duniani Ⅰ Ufalme wa Mungu umekuja duniani; Mtu wa Mungu ameshiba na ni tajiri. Nani anaweza kusimama imara na asifurahie? Nani anaweza kusimama imara na asicheze? Ⅱ Ee Zayuni, inua bango lako la ushindi ili kusheherekea kwa aijili Mungu. Imba wimbo wako wa ushindi kueneza jina Lake takatifu duniani. Watu...

Alhamisi, 18 Aprili 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 104

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 104 Watu, matukio na vitu vyote nje Yangu vitakufa na kuwakatika hali ya kutokuwepo, ilhali watu, matukio na vitu vyote vilivyo ndani Yangu vitapata kila kitu kutoka Kwangu na kuingia katika utukufu pamoja na Mimi, kuingia katika Mlima...

Jumapili, 7 Aprili 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 65

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 65 Maneno Yangu daima yanaendeleza barabara, yaani yanaonyesha udhaifu wenu wa jaala, vinginevyo bado mgekuwa mnakokota visigino vyenyu, bila wazo la muda gani ulioko sasa. Fahamu hili! Mimi Hutumia njia ya upendo ili kuwaokoa. Bila...

Jumamosi, 6 Aprili 2019

Wimbo wa Injili "Mwana wa Adamu Ameonekana" | Sifu Kurudi kwa Yesu Mwokozi | Watoto Wanacheza Ngoma

Wimbo wa Injili "Mwana wa Adamu Ameonekana" | Sifu Kurudi kwa Yesu Mwokozi | Watoto Wanacheza Ngoma Kutoka Mashariki ya ulimwengu (Mashariki ... Mashariki ...), mwale wa mwanga unatokea (mwanga ... mwanga ...), ukiangaza njia yote kwenda magharibi. Mwana wa Adamu ameshuka duniani. Mwokozi amerejea, Yeye ni Mwenyezi Mungu. Akionyesha ukweli,...

Alhamisi, 4 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance

Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance Safi na mwaminifu, kama mtoto bila hatia, mchangamfu na mwenye nguvu za ujana, wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni. Bila udanganyifu, na mioyo iliyo wazi tu, wao ni waadilifu. Wanatoa mioyo yao kwa Mungu na kupata imani Yake. Wao ni watu waaminifu...

Jumatano, 3 Aprili 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97 Mwenyezi Mungu anasema, Nitafanya kila mtu aone matendo Yangu ya ajabu na kusikia maneno Yangu ya hekima. Ni lazima iwe kila mtu na ni lazima iwe juu ya kila suala. Hii ni amri Yangu ya utawala na ni ghadhabu Yangu. Nitahusisha kila...

Jumatano, 27 Machi 2019

Wimbo wa Dini | Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani

Wimbo wa Dini | Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani Ⅰ Nimerejea katika familia ya Mungu, nikiwa mwenye msisimko na furaha. Nina bahati ya kukujua Wewe Mwenyezi Mungu, nimekupa moyo wangu. Ingawa nimepitia katika Dunia ya Mateso, nimeona jinsi Mungu anavyopendez...

Jumatano, 20 Machi 2019

Wimbo wa dini | Mwenyezi Mungu, Sasa Niko na Wewe

 Wimbo wa dini | Mwenyezi Mungu, Sasa Niko na Wewe Ⅰ Mwenyezi Mungu, sasa kwa sababu tuko na Wewe, masumbuko yanabadilika kuwa furaha. Kula, kunywa, kufurahia maneno Yako, tuko na Wewe kila siku. Maji Yako ya uzima yanatustawisha, tuna ukarimu kwa vyote. Jua ukweli, ingia katika ukweli, yote yanakutegemea Wew...

Jumatatu, 11 Machi 2019

wimbo wa kuabudu | Ufalme Takatifu Umeonekana

wimbo wa kuabudu | Ufalme Takatifu Umeonekana Ⅰ Jua la haki hung’aa juu ya nchi zote, linarejesha viumbe vyote vilivyo hai. Watu wa Mungu wanakusanyika kwa furaha, ili kusifu mafanikio Yake makubw...

Alhamisi, 28 Februari 2019

Wimbo wa Kusifu na Kuabudu 2019 “Watu wa Mungu wa Mataifa Yote Huonyesha Hisia Zao Kama Mtu Mmoja”

Wimbo wa Kusifu na Kuabudu 2019 “Watu wa Mungu wa Mataifa Yote Huonyesha Hisia Zao Kama Mtu Mmoja” | Praise and Thank God's Love Uangalie ufalme wa Mungu, ambako Mungu anatawala juu ya yote. Kutoka wakati uumbaji ulipoanza mpaka siku ya sasa, wana wa Mungu waliongozwa wakipitia taabu. Katika milima na mabonde walienda. Lakini sasa katika nuru...

Jumatano, 26 Desemba 2018

Je, Wajua? Mungu Amefanya Jambo Kubwa Miongoni Mwa Wanadamu

Enzi ya zama ishaenda, na enzi mpya imefika. Mwaka baada ya mwaka na siku baada ya siku, Mungu amefanya kazi nyingi. Alikuja duniani, kisha Akaondoka. Mzunguko kama huu umeendelea kwa vizazi vingi. Siku ya leo, Mungu anaendelea kama mbeleni kufanya kazi Anayopaswa kufanya, kazi ambayo bado Hajaikamilisha, kwani hadi leo, bado Hajaingia mapumziko...

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Amri za Enzi Mpya

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Amri za Enzi Mpya Mmeambiwa kuwa mjiandae kwa maneno ya Mungu, ya kuwa pasipo kujali kilichoandaliwa juu yenu, yote yamepangwa kwa mkono wa Mungu, na kwamba hakuna haja ya kuomba kwa bidii au kusali kwenu—haina maana. Ilhali kulingana na hali...

Ijumaa, 21 Desemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 42

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 42 Sijui kama watu wameona mabadiliko yoyote katika tamko la leo. Huenda watu wengine wameona kidogo, lakini hawathubutu kusema kwa kweli. Labda wengine hawajatambua chochote. Mbona kuna tofauti kubwa sana hivyo kati ya siku...

Jumapili, 2 Desemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko La Kwanza

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Kwanza Je, wale wanaoshuhudia maneno Yangu huyakubali kwa kweli? Je, mnanijua kwa kweli? Mmejifunza utiifu kweli? Ninyi hutumia rasilimali kwa ajili Yangu kwa uaminifu? Mmekuwa na ushuhuda thabiti, usiokubali kushindwa Kwangu...

Jumamosi, 3 Novemba 2018

Tamko la Arubaini na Sita

Yeyote anayejitumia na kujitolea kwa uaminifu kwa ajili Yangu, hakika Nitakukinga mpaka mwisho kabisa; mkono Wangu hakika utakushikilia ili kwamba daima una amani na mwenye furaha daima na kila siku una mwanga Wangu na ufunuo. Hakika Nitakupa baraka Zangu mara dufu, ili uwe...

Jumatano, 10 Oktoba 2018

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Arubaini na Moja

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Arubaini na Moja Mwenyezi Mungu alisema, Kuhusu shida zinazoibuka kanisani, usiwe na mashaka mengi. Kanisa linapojengwa haiwezekani kuepuka makosa, lakini usiwe na wasiwasi unapokabiliwa na shida hizo; kuwa mtulivu...

Jumatatu, 8 Oktoba 2018

Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven

🎼🎼     → → 🎙️🎙️  ↓↓💞💞💞💞💞@🎶@@@@🎤@🎶@@@@🎤 Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven Ufalme, mji wa watakatifu, ufalme wa Kristo. Katika ufalme, utajiri na utukufu wa Mungu hudhihirishwa. Umeme unatoka Mashariki na kuangaza hadi Magharibi. Mwanga wa kweli...

Alhamisi, 20 Septemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 14

Matamshi ya Mwenyezi Mungu  | Sura ya 14 Mwanadamu hajawahi kamwe kujifunza chochote kutoka kwa neno la Mungu. Badala yake, mwanadamu huthamini tu umbo la nje la neno la Mungu, lakini kutojua maana yake halisi. Kwa hivyo, ingawa wengi wa watu wanapenda neno...

Jumapili, 16 Septemba 2018

maneno ya Mungu | Tamko la Hamsini na Nane📖📖📖📖

maneno ya Mungu | Tamko la Hamsini na Nane Mwenyezi Mungu alisema, Ukiielewa nia Yangu, utaweza kuufikiria mzigo Wangu na unaweza kupata mwanga na ufunuo, na kupata ufunguliwaji na uhuru, kuuridhisha moyo Wangu, kuyaruhusu mapenzi Yangu kwa ajili yako kutekelezwa,...

Jumamosi, 8 Septemba 2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kazi ya Kusimamia Mwanadamu ni Gani?

Sura ya 3 Ukweli Kuhusu Awamu Tatu za Kazi ya Mungu 1. Kazi ya Kusimamia Mwanadamu ni Gani? Maneno Husika ya Mungu: Kazi ya kumsimamia mwanadamu imegawanywa katika hatua tatu, na ina maana kuwa kazi ya kumwokoa mwanadamu imegawanywa katika hatua tatu. Hatua hizi tatu hazihusishi kazi ya kuuumba ulimwengu, ila ni hatua tatu za kazi ya Enzi...