Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”

Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale, na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki. Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga, wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

Je, Biblia ndiye Bwana, au ni Mungu? | “Bwana Wangu Ni Nani” ( Filamu za Injili )

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.”

Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu | Drama ya Muziki “ Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19” | Haleluya

Mungu ametutunza daima–Yeye amesikiliza maombi yetu! Anajua tumekuwa tukitamani kurejea Kwake! Sasa kwa hakika Amerejea! Tunasubiri nini bado? Tafadhali endelea kutazama drama yenye muziki ya Kanisa la Mwenyezi Mungu—Kila Taifa Humwabudu Mungu wa Vitendo!

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Wakristo wanaoteswa katika filamu hii ni watu kutoka kwa vikundi vya kidini na madhehebu tofauti ambao walitafuta ukweli, na ambao waliisikia sauti ya Mungu na hivyo wakarudi kwa Mwenyezi Mungu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Muziki wa Akapela. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Muziki wa Akapela. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 22 Novemba 2017

Toeni Nyimbo za Sifa kwa Mungu | Muziki wa Akapela "Mpende Mungu Wa Vitendo Kwa Moyo Wetu Wote"

Mpende Mungu Wa Vitendo Kwa Moyo Wetu Wote

La … la la la … la la la….
La … la la la … la la la … la….
Jua la haki lapanda kutoka Mashariki.
Ee Mungu! Utukufu wako hujaza mbingu na dunia.
Mpenzi mrembo, upendo Wako huzingira moyo wangu.
Watu wanaofuatilia ukweli wote wanampenda Mungu.
Ingawa mimi huamka peke yangu asubuhi mapema, Ninahisi furaha ninapotafakaria neno la Mungu.
Maneno mororo ni kama mama mpenzi, maneno ya hukumu kama baba mkali. (Ala….)
Sipendi chochote duniani; kwa moyo wangu wote ninampenda Mungu wangu tu.
A ala … a ala … a ala … a ala ….
Sipendi chochote duniani; kwa moyo wangu wote ninampenda Mungu wangu tu.
A ala … a ala … a ala … a ala ….
Sipendi chochote duniani; kwa moyo wangu wote ninampenda Mungu wangu tu.

La la la … la la la….
La la la … la la la … la….
Mapenzi ya Mungu yamefichuliwa—kuwatimilisha wapenzi wa kweli wa Mungu.
Watu wachangamfu na maasumu wote hutoa sifa kwa Mungu,
na tucheze ngoma nzuri pamoja kandoando ya Mungu wa kweli.
Watu wanaitwa na sauti ya Mungu kutoka sehemu mbalimbali warudi.
Tumefadhiliwa kwa maneno ya Mungu. Tumetakaswa na hukumu ya maneno ya Mungu.
Upendo wetu umepata nguvu kwa kusafishwa. Twahisi utamu kufurahia mapenzi ya Mungu. (Ala….)
Ni nani asiyempenda Mungu wa kuvutia? Kwa moyo wangu wote nampenda tu Mungu wa vitendo.
A ala … a ala … a ala … a ala ….
Ni nani asiyempenda Mungu wa kuvutia? Kwa moyo wangu wote nampenda tu Mungu wangu.
A ala … a ala … a ala … a ala ….
Ni nani asiyempenda Mungu wa kuvutia? Kwa moyo wangu wote nampenda tu Mungu wangu.
Sipendi chochote duniani; kwa moyo wangu wote ninampenda Mungu wangu tu.
Asante! (Asante!) (Asante!) (Asante!)
Tunakupenda!
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
 Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.