Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Roho- Mtakatifu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Roho- Mtakatifu. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 1 Julai 2019

"Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance

  Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance Safi na mwaminifu, kama mtoto bila hatia, mchangamfu na mwenye nguvu za ujana, Bila udanganyifu, na mioyo iliyo wazi tu, wao ni waadilifu. wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni. Wao ni watu waaminifu ambao Mungu anapenda. Wanatoa mioyo...

Jumapili, 30 Juni 2019

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 109

Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 109 Ninatoa matamko kila siku, kuzungumza kila siku, na kufichua ishara Zangu kuu na shani kila siku. Haya yote ni kazi ya Roho Wangu. Machoni pa watu Mimi ni mwanadamu tu, lakini hasa ni katika mwanadamu huyu ndipo Ninafichua vyote Vyangu na nguvu Yangu kuu. Kwa kuwa watu humpuuza mwanadamu Niliye na huyapuuza...

Jumanne, 5 Juni 2018

Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli

Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli 1. Uhusiano Kati ya Ubinadamu na Uwezo wa Kutenda Ukweli Mwenyezi Mungu alisema, Watu husema kuwa kutenda ukweli ni vigumu kabisa. Basi mbona watu wengine wanaweza kutenda ukweli? Watu wengine husema ni kwa sababu...