
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-Maneno-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-Maneno-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 9 Oktoba 2018
Nyimbo za Maneno ya Mungu | Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote
Oktoba 09, 2018fikira-za-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Nyimbo, Nyimbo-za-Maneno-ya-Mungu, utaratibu-0wa-MunguNo comments


Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote
I
Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia,
unaanza kutenda wajibu wako.
Katika mpango na utaratibu wa Mungu,
unachukua nafasi yako,
na unaanza safari ya mais...
Nyimbo za Maneno ya Mungu | Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu
Oktoba 09, 2018Hukumu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Nyimbo, Nyimbo-za-Maneno-ya-Mungu, WokovuNo comments


Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu
I
Mungu anatazama chini juu ya vitu vyote kutoka juu,
na Anatawala vitu vyote kutoka juu.
Wakati huo huo,
Mungu ametuma wokovu Wake juu ya dunia.
Mungu anaangalia kutoka mahali Pake pa siri kila wakati,
kila hatua ya...
Jumatatu, 10 Septemba 2018
Wimbo wa Maneno ya Mungu | Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?

Unapaswa Kupokeaje
Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?
I
Mwili wa Mungu utajumlisha
kiini cha Mungu na maonyesho Yake.
Atakapofanywa mwili,
Ataleta
matunda ya kazi Aliyopewa
ajidhihirishe na Alete Ukweli kwa wote,
awape uhai na awaonyeshe nj...
Jumapili, 9 Septemba 2018
Wimbo wa Maneno ya Mungu | Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu

Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu
ni Kumwokoa Binadamu
Upendo na huruma za Mungu
hupenyeza kazi Yake
ya usimamizi kwa utondoti.
I
Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,
Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufan...
Ijumaa, 17 Agosti 2018
Wimbo wa Maneno ya Mungu | Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili

I
Mungu alikuja duniani hasa kutimiza
ukweli wa “Neno kuwa mwili.”
(tofauti na Agano la Kale, katika siku za Musa,
Mungu alizingumza moja kwa moja kutoka mbinguni).
Kisha, yote yatatimizwa
katika enzi ya Ufalme wa Mile...