Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi ya Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi ya Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumatano, 23 Januari 2019
Tafuta Kumpenda Mungu Bila Kujali Mateso Yako Ni Makubwa Vipi
Januari 23, 2019Kazi ya Mungu, Kazi-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Lazima uelewe ilivyo ya thamani kazi ya Mungu leo.
Watu walio wengi hawana ufahamu huo,
wakifikiria mateso hayana thamani:
Wanateswa kwa ajili ya imani yao,
wamekataliwa na dunia, nyumba zao pia zina shida,
siku zao za usoni hazina matumaini, hazina matumain...
Alhamisi, 14 Desemba 2017
Ni Wale Tu Wanaoijua Kazi ya Mungu Leo Wanaoweza Kumhudumia Mungu

Ni Wale tu Wanaoijua Kazi ya Mungu Leo Wanaoweza Kumhudumia Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Ili uwe na ushuhuda kwa Mungu na kuliaibisha joka jekundu ni sharti uwe na kanuni, na sharti: Katika moyo wako ni lazima umpende Mungu na uingie katika maneno ya Mungu. Kama...
Ijumaa, 8 Desemba 2017
Uchaguzi Kutoka kwa Vifungu Vitatu vya Neno la Mungu juu ya “Maono ya Kazi ya Mungu”
Desemba 08, 2017Kazi ya Mungu, majina ya Mungu, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, Vitabu, YesuNo comments

Uchaguzi Kutoka kwa Vifungu Vitatu vya Neno la Mungu juu ya "Maono ya Kazi ya Mungu"
1. Yohana alianza kueneza injili ya ufalme wa mbinguni miaka saba kabla ya ubatizo wa Yesu. Kwa watu, kazi aliyoifanya ilionekana kuwa juu zaidi ya kazi ya baadaye ya Yesu, ilhali yeye alikuwa, hata hivyo, nabii tu. Hakufanya kazi au kuzungumza ndani ya hekalu,...