
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Injili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Injili. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 15 Juni 2019
Kuzaliwa Upya Kupitia Neno la Mungu

Wang Gang Mkoa wa Shandong
Mimi ni mkulima na kwa sababu familia yangu ni maskini, daima ilinibidi nisafiri kwenda kote kutafuta kazi za muda ili kupata pesa; nilidhani kuwa ningeweza kujipatia maisha mazuri kupitia kazi yangu ya kimwili. Hata hivyo, kwa uhalisi, niliona...
Ijumaa, 24 Mei 2019
Maneno ya Mungu Yaliniongoza Kutoka Katika Matatizo
Mei 24, 2019Injili, Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu Yaliniongoza Kutoka Katika Matatizo
Xiao Rui Mji wa Panzhihua, Mkoa wa Sichuan
Nilipokuwa nikihubiri injili nilikutana na viongozi wa dini ambao walisema uongo ili kupinga na kuvuruga, na kuwaita polisi. Hili lilisababisha wale niliokuwa nikihubiria kutothubutu kuwasiliana nasi, na wale ambao walikuwa tu wameikubali injili kutoweza...
Jumamosi, 5 Januari 2019
Mmempa Mungu Nini Kama Malipo?
Januari 05, 2019imani, Injili, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Mungu amekuwa kati yenu
kwa majira kadhaa ya kupuputika na ya kuchipua.
Ameishi nanyi kwa muda mrefu.
Mbele Yake ni matendo yenu mangapi maovu yamenyiririka?
Maneno ya dhati mnayoyasema, yanarudisha mwangwi katika masikio ya Mung...
Jumamosi, 29 Desemba 2018
29. Mungu Ameonekana Mashariki mwa Dunia na Utukufu
Desemba 29, 2018Injili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Nyimbo-za-injili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Mungu anafanya kazi ulimwenguni kote.
Kelele za radi ya Mashariki hazipungui,
Zikitikisa madhehebu na makundi yote.
Ni sauti ya Mungu iliyoleta vyote wakati wa sasa.
Ni sauti Yake ndiyo itashinda kila kitu.
Wanaanguka katika mtiririko huu, na kumtii Yey...
Jumamosi, 22 Desemba 2018
"Nimewahi Treni ya Mwisho" (4) : Hukumu Mbele ya Kiti Kikuu Cheupe cha Mungu Imeanza
"Nimewahi Treni ya Mwisho" (4) : Hukumu Mbele ya Kiti Kikuu Cheupe cha Mungu Imeanza
Unajua jinsi hukumu ya kiti cha enzi kikuu cheupe iliyotabiriwa katika Ufunuo inatimizwa? Je, hukumu ya kiti cha enzi kuu cheupe iko mbinguni, au duniani? Je, inafanywa na Mungu aliyepata mwili, au kwa Roh...
Jumatano, 12 Desemba 2018
Best Swahili Full Christian Movie | "Wimbo wa Ushindi" | Preaching the Gospel of the Last Days
Best Swahili Full Christian Movie | "Wimbo wa Ushindi" | Preaching the Gospel of the Last Days
Kazi ya hukumu ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho imevuma katika kila farakano na kikundi. Kufuatia kuenea kwa injili ya ufalme, maneno ya Mwenyezi Mungu yanakubaliwa na kuenezwa na watu zaidi na zaidi, waumini wa kweli katika Mungu ambao wana...
Jumanne, 11 Desemba 2018
Sauti na maneno ya Roho Mtakatifu | "Unapaswa Kushughulikiaje Wito Wako wa Mustakabali?"
Sauti na maneno ya Roho Mtakatifu | "Unapaswa Kushughulikiaje Wito Wako wa Mustakabali?"
Mwenyezi Mungu anasema, "Hata ingawa wamenusurika mpaka siku hii, ni nani angefikiri kuwa wamepewa sumu na yule mwovu kwa muda mrefu? Je, umesahau kuwa wewe ni mmoja wa waathiriwa? Kwa ajili ya upendo wako kwa Mungu, una nia ya kufanya kila uwezalo kuwaokoa...
Ijumaa, 7 Desemba 2018
Maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa | "Enzi ya Ufalme Ndiyo Enzi ya Neno" (Official Video)
Maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa | "Enzi ya Ufalme Ndiyo Enzi ya Neno" (Official Video)
Mwenyezi Mungu anasema, "Katika Enzi ya Ufalme, Mungu anatumia neno ili kukaribisha enzi mpya, ili kubadilisha mbinu za kazi Yake, na kuweza kufanya kazi katika enzi nzima. Hii ndiyo kanuni ambayo Mungu hufanyia kazi katika Enzi ya Nen...
Jumatano, 24 Oktoba 2018
Swahili Christian Skit | "Baba Yangu, Mchungaji" | A Debate on the Bible in a Family
Utambulisho
Swahili Christian Skit | "Baba Yangu, Mchungaji" | A Debate on the Bible in a Family
Chi Shou, mchungaji wa dini ambaye amekuwa muumini wa Bwana kwa miaka arubaini, daima ameshikilia mitazamo kwamba "maneno na kazi yote ya Bwana yako ndani ya Biblia," na kwamba "imani katika Bwana haiwezi kuacha Biblia, na kuiamini...
Jumatano, 3 Oktoba 2018
Dondoo za Filamu za Injili "Sauti Nzuri Ajabu" (1) - Je, Ni Vipi Unabii wa Kurudi kwa Bwana Yesu Unatimia?
🎬👀~~~~🌻🌻🌻🌻🌻****** 💓💓💓
Dondoo za Filamu za Injili "Sauti Nzuri Ajabu" (1) - Je, Ni Vipi Unabii wa Kurudi kwa Bwana Yesu Unatimia?
Watu wengi katika ulimwengu wa kidini hufuata unabii unaosema kwamba Bwana atashuka akiwa juu ya wingu na wanamsubiria Yeye kuja kwa njia hiyo kisha kuwanyakua hadi...
Jumanne, 25 Septemba 2018
Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki(I)
Septemba 25, 2018Injili, Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki(I)
Chen Lu Wilaya ya Tonglu, Mkoa wa Zhejiang
Nilizaliwa miaka ya 1980 katika kijiji—tulikuwa tumekuwa familia ya wakulima kwa vizazi vingi. Nilijiingiza katika masomo yangu ili niweze kuhitimu kuingia katika chuo na kuepuka maisha...
Jumapili, 23 Septemba 2018
ushuhuda wa Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kuinuka Kupitia Ukandamizaji wa Giza(I)
Septemba 23, 2018Injili, Mwenyezi-Mungu, Ushuhuda, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Kuinuka Kupitia Ukandamizaji wa Giza(I)
Mo Zhijian Mkoa wa Guangdong
Nilizaliwa katika eneo maskini, la mbali lenye milima ambako tumefukiza na kumwabudu Budha kwa vizazi vingi. Kuna hekalu za Budha sehemu hiyo kote ambako familia zote zingekwenda kuchoma uvumba; hakuna...
Ijumaa, 7 Septemba 2018
Swahili Praise and Worship Song "Ushuhuda wa Maisha" | Overcomers' Testimonies
Septemba 07, 2018Injili, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, maneno-ya-Mungu, Mfululizo-wa-Maonyesho-Mbalimbali, Ushuhuda, VideoNo comments

Utambulisho
Swahili Praise and Worship Song "Ushuhuda wa Maisha" | Overcomers' Testimonies
Siku moja huenda nikakamatwa na kuteswa na CCP,
kuteseka huku ni kwa ajili ya haki, ambayo najua moyoni mwangu.
Maisha yangu yakitoweka mara moja ghafla bin vu,
bado nitasema kwa fahari kwamba nimemkubali Kristo wa siku za mwish...
Jumapili, 5 Agosti 2018
Upendo wa Mungu ni wa Kweli Kabisa
Agosti 05, 2018Injili, Maswali-na-Majibu-Mia-Moja-Kuhusu-Kuichunguza-Njia-ya-Kweli, Mwenyezi-Mungu, Upendo-wa-Mungu, Vitabu, WokovuNo comments


Upendo wa Mungu ni wa Kweli Kabisa
@page { margin: 2cm }
p { margin-bottom: 0.25cm; line-height: 120% }
a:link { so-language: zxx }
🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌻 *************
🌺🌺🌺🌺
@page { margin: 2cm }
p { margin-bottom:...
Jumanne, 24 Julai 2018
Shahidi uzoefu wa Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mabadiliko ya Mtu Aliyeanguka(1)
Julai 24, 2018Injili, Kanisa, Mwenyezi-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Shahidi uzoefu wa Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mabadiliko ya Mtu Aliyeanguka
Tong Xin Mkoa wa Fujian
@page { margin: 2cm }
p { margin-bottom: 0.25cm; line-height: 120% }
a:link { so-language: zxx }
💓💓💓💓 *************
...
Ijumaa, 6 Julai 2018
Vigezo vya Mtu Mwema Kwa Dhati

Vigezo vya Mtu Mwema Kwa Dhati
Moran Mji wa Linyi, Mkoa wa Shandong
Tangu nilipokuwa mtoto, siku zote nilishikiza umuhimu mkubwa kwa jinsi watu wengine walivyoniona na ukadiriaji wao kwangu. Ili niweze kupata sifa kutoka kwa wengine kwa kila kitu nilichokifanya,...
Jumatatu, 2 Julai 2018
Sura ya 32. Ni Watu wa Aina Gani Watakaoadhibiwa
Julai 02, 2018Injili, Kanisa, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Sura ya 32. Ni Watu wa Aina Gani Watakaoadhibiwa
Mwenyezi Mungu alisema, Kukufuru na kashfa dhidi ya Mungu ni dhambi ambayo haitasamehewa kwa enzi hii na enzi ijayo na wale wanaofanya dhambi hii hawatazaliwa upya kamwe. Hili linamaanisha kwamba tabia ya Mungu...
Jumanne, 19 Juni 2018
Umeme wa Mashariki | Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
Juni 19, 2018Injili, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
Xiaoxiao Jijini Xuzhou, Mkoani Jiangsu
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi ya kanisa, nilihamishwa mpaka mahali pengine ili kutimiza wajibu wangu. Wakati huo, kazi ya injili mahali pale ilikuwa katika hali duni,...
Jumamosi, 16 Juni 2018
Sura ya 27. Ni Nini Maana ya “Kumkosea Mungu”
Juni 16, 2018Injili, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Sura ya 27. Ni Nini Maana ya “Kumkosea Mungu”
Mwenyezi Mungu alisema, Ukilibadilisha au kulikanganya neno la Mungu Mwenyewe, basi hiyo ni sawa na uasi wa Mungu, kukufuru dhidi Yake na usaliti. Hii ni sawa tu na malaika mkuu kusema:"Mungu, Unaweza kuumba mbingu...
Jumatatu, 4 Juni 2018
Umeme wa Mashariki | Kuvunja Pingu

Umeme wa Mashariki | Kuvunja Pingu
Zhenxi Jijini Zhenzhou, Mkoani Hena
Miaka kumi iliyopita, nikiendeshwa na asili yangu ya kiburi, sikuweza kamwe kutii kikamilifu mipangilio ya kanisa. Ningetii ikiwa ilinifaa, lakini iwapo haingenifaa ningechagua iwapo ningetii...