Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”

Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale, na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki. Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga, wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

Je, Biblia ndiye Bwana, au ni Mungu? | “Bwana Wangu Ni Nani” ( Filamu za Injili )

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.”

Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu | Drama ya Muziki “ Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19” | Haleluya

Mungu ametutunza daima–Yeye amesikiliza maombi yetu! Anajua tumekuwa tukitamani kurejea Kwake! Sasa kwa hakika Amerejea! Tunasubiri nini bado? Tafadhali endelea kutazama drama yenye muziki ya Kanisa la Mwenyezi Mungu—Kila Taifa Humwabudu Mungu wa Vitendo!

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Wakristo wanaoteswa katika filamu hii ni watu kutoka kwa vikundi vya kidini na madhehebu tofauti ambao walitafuta ukweli, na ambao waliisikia sauti ya Mungu na hivyo wakarudi kwa Mwenyezi Mungu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nzuri ya Kanaani. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nzuri ya Kanaani. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 16 Novemba 2017

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani”

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani”

Nimerudi kwa familia ya Mungu, mchangamfu na mwenye furaha.
Mikono yangu imemshika mpendwa wangu, moyo wangu ni miliki Yake.
Japo nimepitia Bonde la Machozi, nimeyaona mapenzi ya Mungu.
Mapenzi yangu kwa Mungu hukua siku baada ya siku, Mungu ndiye chanzo cha furaha yangu.
Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu, moyo wangu umeshikizwa kwa Mungu.
Siwezi kumpenda Mungu vya kutosha, nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu, nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
Siwezi kumpenda Mungu vya kutosha, nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.

Katika nchi hii iliyobarikiwa ya Kanaani, yote ni mabichi, yote ni mapya,
yakifurika na nafsi ya uhai ya maisha.
Maji ya uzima hutiririka kutoka kwa Mungu wa vitendo, hunifanya niruzukike na maisha.
Naweza kufurahia baraka kutoka mbinguni, hakuna tena kutafuta, kuchakura, kuwa na uchu.
Nimewasili katika nchi iliyobarikiwa ya Kanaani, furaha yangu haina kifani!
Upendo wangu kwa Mungu huniletea nguvu isiyoisha.
Sauti za kusifu hupaa juu mbinguni, zikimwambia upendo wangu wa ndani.
Ni haiba ilioje mpendwa wangu aliyo nayo! Uzuri Wake huiteka roho yangu.
Manukato ya mpendwa wangu hunifanya nione ugumu wa kumwacha.

Nyota mbinguni zatabasamu kwangu, jua lanikubali kutoka juu.
Pamoja na mwanga wa jua, na mvua na umande, tunda la uzima hukua kwa uthabiti na ubivu.
Maneno ya Mungu, mengi na ya fahari, hutuletea sikukuu tamu.
Riziki nzima na ya kutosha ya Mungu hutufanya tutosheke.
Nchi ya Kanaani, ulimwengu wa maneno ya Mungu; upendo Wake hutuletea furaha isiyokoma.
Nchi ya Kanaani, ulimwengu wa maneno ya Mungu; upendo Wake hutuletea furaha isiyokoma.
Harufu nzuri ya matunda hujaa hewani.
Ukikaa hapa kwa siku chache, utapapenda kuliko chochote kingine.
Hakuna wakati utataka kuondoka.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,
Mwezi wa fedha hunurisha mwanga wake. Mzuri na mchangamfu, ni maisha yangu.
Uliye mpendwa moyoni mwangu, uzuri Wako umepita maneno yote.
Moyo wangu u katika mapenzi matamu Nawe, siwezi kujizuia kuruka kwa furaha.
Daima Uko moyoni mwangu, nitakuwa nawe maisha yangu yote.
Moyo wangu hukutamani Wewe daima; kukupenda Wewe hufurahisha moyo wangu kila siku.
Ee mpenzi moyoni mwangu! Nimekupa mapenzi yangu yote.
Moyo wangu hukutamani Wewe daima; kukupenda Wewe hufurahisha moyo wangu kila siku.
Ee mpenzi moyoni mwangu! Nimekupa mapenzi yangu yote.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho.