Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siku-za -mwisho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siku-za -mwisho. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 24 Juni 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 113
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 113
Kila kitendo Ninachokifanya kina hekima Yangu ndani yake, lakini mwanadamu hawezi kukielewa kamwe; mwanadamu anaweza tu kuona matendo Yangu na maneno Yangu, lakini hawezi kuuona utukufu Wangu, au kuonekana kwa nafsi Yangu, kwa sababu mwanadamu hasa anakosa uwezo huu. Chini ya hali ya kutombadilisha mwanadamu,...
Jumapili, 5 Novemba 2017
Kristo Hufanya Kazi ya Hukumu Kwa Ukweli
Novemba 05, 2017Hukumu, Kristo, Matamshi ya Mwenyezi Mungu, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za -mwisho, VitabuNo comments

Kristo Hufanya Kazi ya Hukumu Kwa Ukweli
Mwenyezi Mungu alisema, Kazi ya siku za mwisho ni kutenganisha vitu vyote kulingana na jinsi yavyo, kuhitimisha mpango wa usimamizi wa Mungu, kwa maana muda u karibu na siku ya Mungu imewadia. Mungu huwaleta wote ambao wameingia katika ufalme Wake, yaani, wale wote ambao wamekuwa waaminifu Kwake...