
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-ni-wokovu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-ni-wokovu. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 18 Oktoba 2018
Hukumu ya Neno la Mungu ni Kumwokoa Mwanadamu
Oktoba 18, 2018Hukumu, maneno-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Mungu-ni-wokovu, Nyimbo, Umeme-wa-MasharikiNo comments


Hukumu ya Neno la Mungu ni Kumwokoa Mwanadamu
I
Ingawa Mungu amenena maneno mengi kwako
ya kuadibu, ya hukumu,
hayajafanyika kwako,
naam, hayajafanyika kwako kweli.
Mungu alikuja kufanya kazi Yake na kunena maneno.
Ingawa maneno Yake yanaweza kuwa makali,
yananenwa...