Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”

Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale, na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki. Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga, wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

Je, Biblia ndiye Bwana, au ni Mungu? | “Bwana Wangu Ni Nani” ( Filamu za Injili )

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.”

Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu | Drama ya Muziki “ Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19” | Haleluya

Mungu ametutunza daima–Yeye amesikiliza maombi yetu! Anajua tumekuwa tukitamani kurejea Kwake! Sasa kwa hakika Amerejea! Tunasubiri nini bado? Tafadhali endelea kutazama drama yenye muziki ya Kanisa la Mwenyezi Mungu—Kila Taifa Humwabudu Mungu wa Vitendo!

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Wakristo wanaoteswa katika filamu hii ni watu kutoka kwa vikundi vya kidini na madhehebu tofauti ambao walitafuta ukweli, na ambao waliisikia sauti ya Mungu na hivyo wakarudi kwa Mwenyezi Mungu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-ni-Upendo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-ni-Upendo. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 15 Mei 2019

Swahili Gospel Song | "Njia Yote Pamoja na Wewe" Mungu ni Upendo



Swahili Gospel Song | "Njia Yote Pamoja na Wewe" Mungu ni Upendo


Nilikuwa kama mashua, ikielea baharini.
Ulinichagua, na mahali pazuri Uliniongoza.
Sasa katika familia Yako, nikipewa joto na upendo Wako,
nina amani kabisa.
Unanibariki, Unatoa maneno Yako ya hukumu.
Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako.
Kila mara nikiasi, kwa namna fulani nikiuumiza moyo Wako.
Na bado Hunitendei kulingana na dhambi
zangu lakini Unafanya kazi kwa ajili ya wokovu wangu.
Ninapokuwa mbali, Unaniita nirudi kutoka hatarini.
Ninapoasi, Unauficha uso Wako, giza likinifunika.
Ninaporudi Kwako,
Unaonyesha neema, Unatabasamu ili kukumbatia.
Shetani anaponipiga,
Unatibu vidonda vyangu, Unaupa joto moyo wangu.
Shetani anaponiumiza,
Uko nami kuanzia mwanzo hadi mwisho wa majaribu.
Alfajiri itafika karibuni,
na anga itang’aa samawati kama awali,
wakati Uko nami.
Alfajiri itafika karibuni,
anga itang’aa samawati kama awali,
wakati Uko nami.

Wewe ni uhai wangu, Wewe ni Bwana wangu.
Mwenzi wa kila siku, kivuli cha karibu kando yangu.
Ukinifunza jinsi ya kuwa binadamu
na kunipa ukweli na uhai.
Pamoja na Wewe maisha yangu yanasonga mbele kwa utukufu .
Bila chaguo langu, natii amri Yako.
Kuwa kiumbe wa kweli, narudi upande Wako.
Kuishi katika uwepo Wako,
nazungumza na Wewe na kusikia sauti Yako.
Hutangoja tena katika umbali mpweke.
Pamoja na Wewe, hakuna kuogopa dhoruba.
Usiku unaponifunika, siko pekee yangu tena.
Pamoja na Wewe kando yangu,
hatari au matatizo, naweza kuvikabili.
Pamoja na Wewe, safari hazitakuwa ngumu sana.
Njia zenye mabonde zinapita katika matatizo,
zinafungua njia kwenda kwa chemichemi ya kupendeza.
Alfajiri itafika karibuni,
anga itang’aa samawati kama awali,
wakati Uko nami.
Pamoja na Wewe, hakuna kuogopa dhoruba tena.
Usiku unaponifunika, siko pekee yangu tena.
Pamoja na Wewe kando yangu,
hatari na matatizo, naweza kuvikumba.
Pamoja na Wewe, safari haziwezi kuwa ngumu sana.
Njia zenye mabonde zinapita katika matatizo,
zinafungua njia kwenda kwa chemichemi ya kupendeza.
Alfajiri itafika karibuni,
anga itang’aa samawati kama awali.
Niko pamoja na Wewe.

kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Uimbe Nyimbo Mpya


Tufuate: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumapili, 21 Januari 2018

Swahili Gospel Song | "Njia Yote Pamoja na Wewe" Mungu ni Upendo

Swahili Gospel Song | "Njia Yote Pamoja na Wewe" Mungu ni Upendo

Nilikuwa kama mashua, ikielea baharini. Ulinichagua, na mahali pazuri Uliniongoza. Sasa katika familia Yako, nikipewa joto na upendo Wako, nina amani kabisa. Unanibariki, Unatoa maneno Yako ya hukumu. Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako. Kila mara nikiasi, kwa namna fulani nikiuumiza moyo Wako. Na bado Hunitendei kulingana na dhambi zangu lakini Unafanya kazi kwa ajili ya wokovu wangu. Ninapokuwa mbali, Unaniita nirudi kutoka hatarini.