Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada “Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki”

Mungu aliipa Israeli utukufu Wake kisha Akauhamisha mbali na pale, na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki. Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga, wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

Je, Biblia ndiye Bwana, au ni Mungu? | “Bwana Wangu Ni Nani” ( Filamu za Injili )

Liu Zhizhong ni mzee katika kanisa moja la mtaani la nyumba nchini China. Amekuwa muumini kwa zaidi ya miaka 30, na amesisitiza bila kukoma kwamba “Biblia ni ufunuo wa Mungu,” “Biblia inamwakilisha Mungu, kuamini katika Mungu ni kuamini katika Biblia, kuamini katika Biblia ni kuamini katika Mungu.”

Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu | Drama ya Muziki “ Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19” | Haleluya

Mungu ametutunza daima–Yeye amesikiliza maombi yetu! Anajua tumekuwa tukitamani kurejea Kwake! Sasa kwa hakika Amerejea! Tunasubiri nini bado? Tafadhali endelea kutazama drama yenye muziki ya Kanisa la Mwenyezi Mungu—Kila Taifa Humwabudu Mungu wa Vitendo!

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA (Christian Videos) swahili

Wakristo wanaoteswa katika filamu hii ni watu kutoka kwa vikundi vya kidini na madhehebu tofauti ambao walitafuta ukweli, na ambao waliisikia sauti ya Mungu na hivyo wakarudi kwa Mwenyezi Mungu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 4 Februari 2019

Watu Walio na Kazi ya Roho Mtakatifu Peke Yao Ndio Wanaoweza Kukamilishwa

I
Masharti yanazidi kuwa bora kwa sehemu ya watu.
Roho anavyozidi kufanya kazi, ndivyo wanavyopumzika wakijiamini.
Wanavyopata uzoefu zaidi, ndivyo wawezavyo kuhisi
fumbo kubwa la kazi ya Mungu.
Mungu hutenda kazi Yake mwanadamu apate ukweli.

Jumapili, 3 Februari 2019

Jinsi ya Kuingia Katika Maombi ya Kweli

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maombi,

Jinsi ya Kuingia Katika Maombi ya Kweli

I
Wakati wa maombi moyo wako lazima uwe na amani
mbele ya Mungu, moyo wako lazima uwe wa kweli.
Wasiliana kweli unapoomba kwa Mungu.
Usimdanganye Mungu kwa maneno ya kupendeza sikio.

Jumamosi, 2 Februari 2019

Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili

Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili
                                                    I
Kitu kikifanyika ambacho kinakuhitaji uvumilie mateso,
elewa na ujali kuhusu mapenzi ya Mungu katika wakati huo.
Usijiridhishe mwenyewe, jiweke kando mwenyewe.
Hakuna kitu duni kuliko mwili.

Alhamisi, 31 Januari 2019

Kiumbe Aliyeumbwa Anapaswa Kuwa Chini ya Mungu

I
Haijalishi nini Mungu anachouliza kutoka kwako, toa kikamilifu.
Onyesha uaminifu wako Kwake mpaka tu mwisho kabisa.
Ukimwona kwenye kiti cha enzi na tabasamu ya furaha
siku hiyo unaiacha dunia hii nyuma,
unaweza kucheka kwa furaha unapofunga macho yako.

Jumatano, 30 Januari 2019

Mabadiliko Katika Tabia Yanahitaji Kazi ya Roho Mtakatifu

I
Kazi ya Roho Mtakatifu na uwepo
vinaamua kama unatafuta kwa kweli,
sio hukumu ya wengine, wala maoni yao.
Lakini zaidi ya hili, kile kinachoamua uaminifu wako ni,
baada ya muda, kama kazi ya Roho Mtakatifu
inakubadilisha na kukufanya umjue Mungu.

Jumatatu, 28 Januari 2019

Ni Kama Tu Mtu Anamjua Mungu Ndiyo Anaweza Kumcha Mungu na Kuepuka Uovu

I
Ili kuepuka uovu, lazima ujifunze kumcha Mungu.
Ili kufikia uchaji, lazima ujifunze kuhusu Mungu.
Kujifunza juu ya Mungu lazima utende maneno Yake,
kuonja hukumu Yake na nidhamu.

Jumamosi, 26 Januari 2019

Nyimbo za dini | Ufuatiliaji Unaopaswa Kufuatwa na Waumini

 Nyimbo za dini | Ufuatiliaji Unaopaswa Kufuatwa na Waumini

I
Mungu amefanya kazi kiasi gani ndani yako?
Umepitia kiasi gani, na kuonja kiasi gani?
Anakujaribu, anakufunza nidhamu. Anatekeleza kazi Yake kwako.
Kama mmoja anayetafuta ukamilishaji wa Mungu, je, unaweza kuonyesha matendo Yake yote,
kuwaruzuku wengine kwa njia ya uzoefu na kujitumia mwenyewe kufanya kazi Yake?
Kufuatilia kuonyesha matendo ya Mungu.

Ijumaa, 25 Januari 2019

Lazima Uweke Imani Katika Mungu Juu ya Vingine Vyote

I
Ikiwa unataka kuamini,
ikiwa unataka kumpata Mungu na kuridhika Kwake,
kama huvumilii maumivu na kuweka juhudi,
hutaweza kufanikisha mambo haya.

Alhamisi, 24 Januari 2019

Mpe Mungu Moyo Wako ili Upate Kibali Chake

I
Ili kumpenda na kumwamini Mungu,
mwanadamu anapaswa kugusa Roho wa Mungu kwa moyo, kwa moyo,
ili apate kuridhika kwa Mungu.
Mwanadamu anapaswa kushiriki neno la Mungu kwa moyo,
ili aguswe, aguswe na Roho wa Mungu.

Jumanne, 22 Januari 2019

Nyimbo za dini | Unajua Chanzo cha Uzima wa Milele?

Nyimbo za dini | Unajua Chanzo cha Uzima wa Milele?

I
Mungu ndiye chanzo cha uzima wa mwanadamu; mbingu na nchi vinaishi kwa mamlaka Yake.
Hakuna kitu kilicho hai kinachoweza kujitoa kutoka kwa utawala na mamlaka ya Mungu.

Jumatatu, 21 Januari 2019

Wajibu wa Mtu ni Wito wa Kiumbe Aliyeumbwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo za dini
I
Wajibu wa mwanadamu hauhusu hata kidogo yeye kubarikiwa au kulaaniwa.
Wajibu wake ni kile anachopaswa kutimiza bila malipo au masharti.
"Kubarikiwa" kunamaanisha kufurahia wema baada ya mwanadamu kuhukumiwa na kufanywa mkamilifu.

Jumapili, 20 Januari 2019

Nyimbo za dini | Usafishaji wa Mungu wa Mwanadamu Ni Wa Maana Zaidi

Nyimbo za dini | Usafishaji wa Mungu wa Mwanadamu Ni Wa Maana ZaidiI

Akikabiliwa na mtazamo wa mwanadamu kwa Mungu,
Mungu amefanya kazi mpya, ili mwanadamu aweze kuwa na
maarifa na utiifu Kwake, upendo na ushuhuda Kwake.

Jumamosi, 19 Januari 2019

Wale Wanaoyathamini Maneno ya Mungu Wamebarikiwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli ,
I
Walio tayari kukubali kuangaliwa na Mungu
ni wale wanaofuatilia maarifa ya Mungu.
Wao wako tayari kukubali maneno ya Mungu.
Watapata urithi na baraka za Mungu.
Hawa ndio ambao wamebarikiwa zaidi.

Alhamisi, 17 Januari 2019

Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake

I
Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza Mwenyewe kwa kiwango fulani,
kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu,
hapo ndipo wataweza kuwa wasiri Wake,
hapo ndipo wanaweza kuwa marafiki Zake wa karibu.

Jumatano, 16 Januari 2019

Anachotaka Mungu Katika Majaribio Ni Moyo wa Kweli wa Mwanadamu

I
Unapokuwa mchanga, ujasiri wako ni wa chini sana;
ni vigumu kujua cha kufanya wakati una ufahamu finyu wa ukweli.
Kama umakabiliwa na majaribio yako, unaweza kuomba kwa dhati,
umwache Mungu autawale moyo wako, uvitoe vyote unavyovipenda.

Jumanne, 15 Januari 2019

Mapenzi Ya Mungu Yamekuwa Wazi kwa Kila Mtu

Kutoka kwa uumbaji wa mwanadamu,
asili ya Mungu, mapenzi Yake, mali Yake na tabia
vimekuwa wazi kwa kila mmoja na wazi kwa wote.
I
Mungu hajawahi kamwe kuficha kiini Chake,
wala tabia ama mapenzi Yake kimakusudi.

Jumatatu, 14 Januari 2019

Mungu Humtendea Mwanadamu kama Mpendwa Wake Mkuu

I
Mungu aliwaumba binadamu;
ikiwa mwanadamu amepotoshwa
au kama anamfuata,
Mungu huwachukulia binadamu kama wapendwa,
au kama mwanadamu anavyoweza kusema, jamaa Yake mpendwa.

Jumapili, 13 Januari 2019

Maana ya Kweli ya Maneno ya Mungu Haijawahi Kueleweka

I
Wanadamu hawajui jinsi ya kufurahia
baraka walizopangiwa mikononi mwa Mungu,
maana hawawezi tofautisha mateso kutoka baraka.
Hivyo si wakweli katika kumtaka Mungu.

Jumamosi, 12 Januari 2019

nyimbo za injili | Je, Umehisi Matumaini ya Mungu Kwako?

nyimbo za injili | Je, Umehisi Matumaini ya Mungu Kwako?

I
Ni nani aliyetafutwa na Mungu katika ulimwengu huu usio na mwisho?
Ni nani ambaye amesikia mwenyewe maneno ya Roho wa Mungu?
Nani kati yenu anayeweza kumjibu Ayubu? Ni nani kati yenu ni Petro?
Kwa nini Mungu amemtaja Ayubu na Petro mara nyingi?
Je, umeelewa matumaini ya Mungu kwako?
Eh, unapaswa kutumia muda mwingi kutafakari, eh, kutafakari.

Jumamosi, 5 Januari 2019

Unapaswa Kuyachukuliaje Maneno na Vitendo Vyako Mwenyewe

I
Unaamini maneno ya Mungu na rada?
Kwamba Atawaadhibu wanaodanganya, kumsaliti?
Unapenda zaidi siku hiyo ije mapema au baadaye?
Unaogopa adhabu,
au utampinga Mungu, hata ukijua kuna adhabu?