Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 4 Februari 2019
Watu Walio na Kazi ya Roho Mtakatifu Peke Yao Ndio Wanaoweza Kukamilishwa
Februari 04, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

I
Masharti yanazidi kuwa bora kwa sehemu ya watu.
Roho anavyozidi kufanya kazi, ndivyo wanavyopumzika wakijiamini.
Wanavyopata uzoefu zaidi, ndivyo wawezavyo kuhisi
fumbo kubwa la kazi ya Mungu.
Mungu hutenda kazi Yake mwanadamu apate ukwel...
Jumapili, 3 Februari 2019
Jinsi ya Kuingia Katika Maombi ya Kweli
Februari 03, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, maombi, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments


Jinsi ya Kuingia Katika Maombi ya Kweli
I
Wakati wa maombi moyo wako lazima uwe na amani
mbele ya Mungu, moyo wako lazima uwe wa kweli.
Wasiliana kweli unapoomba kwa Mungu.
Usimdanganye Mungu kwa maneno ya kupendeza siki...
Jumamosi, 2 Februari 2019
Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili
Februari 02, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

Nyimbo za injili | Utendaji wa Kuacha Mwili
I
Kitu kikifanyika ambacho kinakuhitaji uvumilie mateso,
elewa na ujali kuhusu mapenzi ya Mungu katika wakati huo.
Usijiridhishe...
Alhamisi, 31 Januari 2019
Kiumbe Aliyeumbwa Anapaswa Kuwa Chini ya Mungu
Januari 31, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kiumbe-Aliyeumbwa, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

I
Haijalishi nini Mungu anachouliza kutoka kwako, toa kikamilifu.
Onyesha uaminifu wako Kwake mpaka tu mwisho kabisa.
Ukimwona kwenye kiti cha enzi na tabasamu ya furaha
siku hiyo unaiacha dunia hii nyuma,
unaweza kucheka kwa furaha unapofunga macho yak...
Jumatano, 30 Januari 2019
Mabadiliko Katika Tabia Yanahitaji Kazi ya Roho Mtakatifu
Januari 30, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

I
Kazi ya Roho Mtakatifu na uwepo
vinaamua kama unatafuta kwa kweli,
sio hukumu ya wengine, wala maoni yao.
Lakini zaidi ya hili, kile kinachoamua uaminifu wako ni,
baada ya muda, kama kazi ya Roho Mtakatifu
inakubadilisha na kukufanya umjue Mung...
Jumatatu, 28 Januari 2019
Ni Kama Tu Mtu Anamjua Mungu Ndiyo Anaweza Kumcha Mungu na Kuepuka Uovu
Januari 28, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kumcha-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, neno-la-Mungu, VitabuNo comments

I
Ili kuepuka uovu, lazima ujifunze kumcha Mungu.
Ili kufikia uchaji, lazima ujifunze kuhusu Mungu.
Kujifunza juu ya Mungu lazima utende maneno Yake,
kuonja hukumu Yake na nidham...
Jumamosi, 26 Januari 2019
Nyimbo za dini | Ufuatiliaji Unaopaswa Kufuatwa na Waumini
Januari 26, 2019imani-katika-Mungu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

Nyimbo za dini | Ufuatiliaji Unaopaswa Kufuatwa na Waumini
I
Mungu amefanya kazi kiasi gani ndani yako?
Umepitia kiasi gani, na kuonja kiasi gani?
Anakujaribu, anakufunza nidhamu. Anatekeleza kazi Yake kwako.
Kama mmoja anayetafuta ukamilishaji wa Mungu, je, unaweza kuonyesha matendo Yake yote,
kuwaruzuku wengine kwa njia ya uzoefu na...
Ijumaa, 25 Januari 2019
Lazima Uweke Imani Katika Mungu Juu ya Vingine Vyote
Januari 25, 2019imani-katika-Mungu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, maneno-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

I
Ikiwa unataka kuamini,
ikiwa unataka kumpata Mungu na kuridhika Kwake,
kama huvumilii maumivu na kuweka juhudi,
hutaweza kufanikisha mambo hay...
Alhamisi, 24 Januari 2019
Mpe Mungu Moyo Wako ili Upate Kibali Chake
Januari 24, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, maneno-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, neno-la-Mungu, VideoNo comments

I
Ili kumpenda na kumwamini Mungu,
mwanadamu anapaswa kugusa Roho wa Mungu kwa moyo, kwa moyo,
ili apate kuridhika kwa Mungu.
Mwanadamu anapaswa kushiriki neno la Mungu kwa moyo,
ili aguswe, aguswe na Roho wa Mung...
Jumanne, 22 Januari 2019
Nyimbo za dini | Unajua Chanzo cha Uzima wa Milele?
Januari 22, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, uzima-wa-milele, VitabuNo comments

Nyimbo za dini | Unajua Chanzo cha Uzima wa Milele?
I
Mungu ndiye chanzo cha uzima wa mwanadamu; mbingu na nchi vinaishi kwa mamlaka Yake.
Hakuna kitu kilicho hai kinachoweza kujitoa kutoka kwa utawala na mamlaka ya Mung...
Jumatatu, 21 Januari 2019
Wajibu wa Mtu ni Wito wa Kiumbe Aliyeumbwa
Januari 21, 2019baraka, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kiumbe-Aliyeumbwa, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments


I
Wajibu wa mwanadamu hauhusu hata kidogo yeye kubarikiwa au kulaaniwa.
Wajibu wake ni kile anachopaswa kutimiza bila malipo au masharti.
"Kubarikiwa" kunamaanisha kufurahia wema baada ya mwanadamu kuhukumiwa na kufanywa mkamilif...
Jumapili, 20 Januari 2019
Nyimbo za dini | Usafishaji wa Mungu wa Mwanadamu Ni Wa Maana Zaidi
Januari 20, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Usafishaji, Ushuhuda, VitabuNo comments

Nyimbo za dini | Usafishaji wa Mungu wa Mwanadamu Ni Wa Maana ZaidiI
Akikabiliwa na mtazamo wa mwanadamu kwa Mungu,
Mungu amefanya kazi mpya, ili mwanadamu aweze kuwa na
maarifa na utiifu Kwake, upendo na ushuhuda Kwak...
Jumamosi, 19 Januari 2019
Wale Wanaoyathamini Maneno ya Mungu Wamebarikiwa
Januari 19, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, neno-la-Mungu, VitabuNo comments


I
Walio tayari kukubali kuangaliwa na Mungu
ni wale wanaofuatilia maarifa ya Mungu.
Wao wako tayari kukubali maneno ya Mungu.
Watapata urithi na baraka za Mungu.
Hawa ndio ambao wamebarikiwa zaid...
Alhamisi, 17 Januari 2019
Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake
Januari 17, 2019baraka, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

I
Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza Mwenyewe kwa kiwango fulani,
kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu,
hapo ndipo wataweza kuwa wasiri Wake,
hapo ndipo wanaweza kuwa marafiki Zake wa karib...
Jumatano, 16 Januari 2019
Anachotaka Mungu Katika Majaribio Ni Moyo wa Kweli wa Mwanadamu
Januari 16, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Majaribio, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, ukweli, VitabuNo comments

I
Unapokuwa mchanga, ujasiri wako ni wa chini sana;
ni vigumu kujua cha kufanya wakati una ufahamu finyu wa ukweli.
Kama umakabiliwa na majaribio yako, unaweza kuomba kwa dhati,
umwache Mungu autawale moyo wako, uvitoe vyote unavyovipend...
Jumanne, 15 Januari 2019
Mapenzi Ya Mungu Yamekuwa Wazi kwa Kila Mtu
Januari 15, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Kuonekana-kwa-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

Kutoka kwa uumbaji wa mwanadamu,
asili ya Mungu, mapenzi Yake, mali Yake na tabia
vimekuwa wazi kwa kila mmoja na wazi kwa wote.
I
Mungu hajawahi kamwe kuficha kiini Chake,
wala tabia ama mapenzi Yake kimakusud...
Jumatatu, 14 Januari 2019
Mungu Humtendea Mwanadamu kama Mpendwa Wake Mkuu
Januari 14, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Muumba, Tabia ya Mungu, VitabuNo comments

I
Mungu aliwaumba binadamu;
ikiwa mwanadamu amepotoshwa
au kama anamfuata,
Mungu huwachukulia binadamu kama wapendwa,
au kama mwanadamu anavyoweza kusema, jamaa Yake mpendw...
Jumapili, 13 Januari 2019
Maana ya Kweli ya Maneno ya Mungu Haijawahi Kueleweka
Januari 13, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, VitabuNo comments

I
Wanadamu hawajui jinsi ya kufurahia
baraka walizopangiwa mikononi mwa Mungu,
maana hawawezi tofautisha mateso kutoka baraka.
Hivyo si wakweli katika kumtaka Mung...
Jumamosi, 12 Januari 2019
nyimbo za injili | Je, Umehisi Matumaini ya Mungu Kwako?
Januari 12, 2019Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Nyimbo, Nyimbo-za-injili, VitabuNo comments

nyimbo za injili | Je, Umehisi Matumaini ya Mungu Kwako?
I
Ni nani aliyetafutwa na Mungu katika ulimwengu huu usio na mwisho?
Ni nani ambaye amesikia mwenyewe maneno ya Roho wa Mungu?
Nani kati yenu anayeweza kumjibu Ayubu? Ni nani kati yenu ni Petro?
Kwa nini Mungu amemtaja Ayubu na Petro mara nyingi?
Je, umeelewa matumaini ya Mungu kwako?
Eh,...
Jumamosi, 5 Januari 2019
Unapaswa Kuyachukuliaje Maneno na Vitendo Vyako Mwenyewe
Januari 05, 2019Kanisa, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Vitabu, VitendoNo comments

I
Unaamini maneno ya Mungu na rada?
Kwamba Atawaadhibu wanaodanganya, kumsaliti?
Unapenda zaidi siku hiyo ije mapema au baadaye?
Unaogopa adhabu,
au utampinga Mungu, hata ukijua kuna adhab...