Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kristo. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 20 Oktoba 2019
Maneno ya Roho Mtakatifu | “Kiini Cha Kristo Ni Utiifu kwa Mapenzi ya Baba wa Mbinguni” (Dondoo 1)
Maneno ya Roho Mtakatifu | “Kiini Cha Kristo Ni Utiifu kwa Mapenzi ya Baba wa Mbinguni” (Dondoo 1)
Mwenyezi Mungu anasema, “Mungu mwenye mwili Anaitwa Kristo, na Kristo ni mwili uliovishwa na Roho wa Mungu. Mwili huu ni tofauti na wa mwanadamu yeyote aliye wa nyama. Tofauti hii ni kwa sababu Kristo sio wa mwili na damu bali ni mwili wa Roho....
Jumanne, 6 Agosti 2019
"Kwaya ya Kichina Onyesho la 13" Clip 1 Matukio ya Kuzimu | Kwaya za Injili
"Kwaya ya Kichina Onyesho la 13" Clip 1 Matukio ya Kuzimu | Kwaya za Injili
Je, unafikiria kuna kuzimu? Je, kuzimu iko namna gani hasa? Tafadhali fuatilia dondoo hii ya video!
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho....
Jumamosi, 6 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 104
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 104
Watu, matukio na vitu vyote nje Yangu vitakufa na kuwakatika hali ya kutokuwepo, ilhali watu, matukio na vitu vyote vilivyo ndani Yangu vitapata kila kitu kutoka Kwangu na kuingia katika utukufu pamoja na Mimi, kuingia katika Mlima Wangu Sayuni, makazi Yangu, na kuishi pamoja kwa amani nami milele. Niliumba...
Jumatano, 3 Julai 2019
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 107
Maneno ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 107
Wakati maneno Yangu ni makali kwa kiwango fulani, watu wengi huondoka kwa sababu ya maneno Yangu. Ni wakati huu hasa ambapo wazaliwa Wangu wa kwanza wanafichuliwa. Nimesema kuwa Sitafanya lolote, lakini Nitatumia tu maneno Yangu kutimiza mambo yote. Ninatumia maneno Yangu kuwaangamiza wote ambao Ninawachukia,...
Jumatatu, 1 Julai 2019
"Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance
Wimbo wa Kuabudu | “Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu” | Kids Dance
Safi na mwaminifu, kama mtoto bila hatia,
mchangamfu na mwenye nguvu za ujana,
Bila udanganyifu, na mioyo iliyo wazi tu, wao ni waadilifu.
wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni.
Wao ni watu waaminifu ambao Mungu anapenda.
Wanatoa mioyo...
Ijumaa, 21 Desemba 2018
"Nimewahi Treni ya Mwisho" (6) : Mwenyezi Mungu Hutoa Njia ya Uzima wa Milele kwa Binadamu
"Nimewahi Treni ya Mwisho" (6) : Mwenyezi Mungu Hutoa Njia ya Uzima wa Milele kwa Binadamu
Mwishoni mwa Enzi ya Sheria, Wayahudi walishikilia kwa ukaidi sheria yao na kukataa kukubali kazi ya Bwana Yesu, ambayo iliwafanya waanguke katika giza na kupoteza wokovu wa Mungu. Sasa katika zile siku za mwisho, dunia nzima ya kidini inalinda tu jina...
Jumatano, 5 Desemba 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Moja
Desemba 05, 2018baraka, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Moja
Kwa macho ya mwanadamu, inaonekana hakuna badiliko katika matamshi ya Mungu wakati wa kipindi hiki, ambalo ni kwa sababu watu hawawezi kuelewa sheria ambazo kwazo Mungu hunena, na hawafahamu muktadha wa maneno Yake. Baada ya kusoma maneno...
Ijumaa, 30 Novemba 2018
Maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa | "Kristo Hufanya Kazi ya Hukumu kwa Ukweli"
Maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa | "Kristo Hufanya Kazi ya Hukumu kwa Ukweli"
Mwenyezi Mungu anasema, "Katika siku za mwisho, Kristo anatumia ukweli tofauti kumfunza mwanadamu, kufichua kiini cha mwanadamu, na kuchangua maneno na matendo yake. Maneno haya yanajumuisha ukweli mbalimbali, kama vile wajibu wa mwanadamu, jinsi mwanadamu anavyofaa...
Alhamisi, 29 Novemba 2018
Maneno ya Roho Mtakatifu | "Jinsi ya Kumjua Mungu Duniani"
Maneno ya Roho Mtakatifu | "Jinsi ya Kumjua Mungu Duniani"
Mwenyezi Mungu anasema, "Mnachukulia matendo yote ya Kristo kwa upande wa wasio wema na kuhukumu kazi Yake yote na utambulisho Wake na kiini Chake kwa mtazamo wa waovu. Mmefanya kosa kubwa sana na kufanya kile ambacho hakijawahi kufanywa na wale kabla yenu. Hiyo ni, mnamtumikia tu...
Jumapili, 18 Novemba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Kumi na Nane
Novemba 18, 2018Kristo, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tamko la Kumi na Nane
Kujenga kanisa si kitu rahisi cha kufanya! Niliweka moyo Wangu wote katika kulijenga na Shetani angefanya kila kitu ingeweza kuibomoa. Kama unataka kujengwa lazima uwe na maono; lazima uishi maisha kwa Mimi, kuwa...
Ijumaa, 16 Novemba 2018
Tamko la Nane
Novemba 16, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukweli, VitabuNo comments


Kwa kuwa Mwenyezi Mungu—Mfalme wa ufalme—ameshuhudiwa, mawanda ya usimamizi wa Mungu yamejitokeza kabisa katika ulimwengu wote. Sio tu kwamba kuonekana kwa Mungu kumeshuhudiwa nchini China, lakini jina la Mwenyezi Mungu limeshuhudiwa katika mataifa yote na nchi zote. Wote...
Jumatano, 14 Novemba 2018
Swahili Christian Video "Mazungumzo" (6) : Jinsi Wakristo Wanavyojibu "Chambo cha Familia" cha CCP
Novemba 14, 2018baraka, Kristo, Mwenyezi-Mungu-alisema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VideoNo comments

Swahili Christian Video "Mazungumzo" (6) : Jinsi Wakristo Wanavyojibu "Chambo cha Familia" cha CCP
Wakati ambapo CCP hakipati mafanikio katika jitihada zake za kuwalazimisha Wakristo kumtelekeza Mungu kupitia mateso yao ya ukatili na kutia kasumba, wao kisha huzitumia familia zao kama chambo kuwajaribu. Wakiwa wamekabiliwa na mbinu hizi duni,...
Jumanne, 13 Novemba 2018
Tamko la Kwanza
Novemba 13, 2018Kristo, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, utukufu, VitabuNo comments


Sifa zimekuja Uyahudi na makazi ya Mungu yameonekana. Jina tukufu takatifu linasifiwa na watu wote, na linaenea. Ah, Mwenyezi Mungu! Mkuu wa ulimwengu, Kristo wa siku za mwisho—Yeye ni Jua linalong’aa, na Ameinuka juu ya Mlima Sayuni ulio na uadhimu na mzuri kabisa katika...
Ijumaa, 9 Novemba 2018
Maneno ya Roho Mtakatifu | "Unapaswa Kutafuta Njia ya Uwiano na Kristo"
Maneno ya Roho Mtakatifu | "Unapaswa Kutafuta Njia ya Uwiano na Kristo"
Mwenyezi Mungu anasema, "Ninyi mnatafuta tu uwiano na Mungu asiye yakini, na kutafuta tu imani zisizo yakini ilhali ninyi hulingani na Kristo. Si uovu wenu utapata adhabu kama ile wanayostahili waovu? Wakati uo huo, mtagundua kuwa hakuna mtu yeyote asiyelingana na Kristo atakayeepuka...
Alhamisi, 8 Novemba 2018
Tamko la Arubaini
Novemba 08, 2018Hukumu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukweli, VitabuNo comments


Kwa nini ninyi ni wa mwendo wa polepole? Kwa nini hamsikii? Makumbusho kadhaa hayajawazindua; hili linanihuzunisha. Kwa kweli Sipendi kuwaona wanangu namna hii. Moyo Wangu unawezaje kustahimili hili? Ah! Lazima Niwafundishe kwa mkono Wangu mwenyewe. Mwendo Wangu unaendelea...
Jumatano, 7 Novemba 2018
Matamshi ya Mungu | "Kiini Cha Kristo Ni Utiifu kwa Mapenzi ya Baba wa Mbinguni"
Matamshi ya Mungu | "Kiini Cha Kristo Ni Utiifu kwa Mapenzi ya Baba wa Mbinguni"
Mwenyezi Mungu anasema, "Mungu mwenye mwili Anaitwa Kristo, na Kristo ni mwili uliovishwa na Roho wa Mungu. Mwili huu ni tofauti na wa mwanadamu yeyote aliye wa nyama. Tofauti hii ni kwa sababu Kristo sio wa mwili na damu bali ni mwili wa Roho. Anao ubinadamu wa kawaida...
Jumamosi, 3 Novemba 2018
Tamko la Arubaini na Saba
Novemba 03, 2018huruma, Kristo, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukweli, utukufu, VitabuNo comments


Mwenyezi Mungu mwenye haki—Mwenyezi! Ndani Yako hakuna chochote kabisa kilichofichwa. Kila fumbo tangu zamani hadi milele, ambalo binadamu hawajawahi kufichua, ndani Yako linadhihirika na kwa jumla kuwa wazi. Hatuhitaji tena kutafuta na kupapasa, kwa maana leo nafsi Yako...
Ijumaa, 12 Oktoba 2018
Wimbo za Injili "Kiini cha Kristo Ni Mungu" | Differences Between the True Christ and False Christs
💞💞💞💞~~~~🌺🌺🌺🎼🎼→ →🎙️🎙️🎻🎻🎻
Wimbo za Injili "Kiini cha Kristo Ni Mungu" | Differences Between the True Christ and False Christs
Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo,
na hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu.
Si kupita kiasi kusema hivyo,
kwani Ana kiini cha Mungu, Ana tabia ya Mungu na hekima...
Alhamisi, 11 Oktoba 2018
Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko La Thelathini na Tatu
Oktoba 11, 2018Kristo, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko La Thelathini na Tatu
Mwenyezi Mungu alisema, Ufalme Wangu unawahitaji wale ambao ni waaminifu, wasio wanafiki, na wasio wadanganyifu. Je, si watu wenye moyo safi na waaminifu duniani hawapendwi na watu? Mimi ni kinyume...
Jumatatu, 8 Oktoba 2018
Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven
🎼🎼 → → 🎙️🎙️ ↓↓💞💞💞💞💞@🎶@@@@🎤@🎶@@@@🎤
Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven
Ufalme, mji wa watakatifu, ufalme wa Kristo.
Katika ufalme, utajiri na utukufu wa Mungu hudhihirishwa.
Umeme unatoka Mashariki na kuangaza hadi Magharibi.
Mwanga wa kweli...