Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tabia-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tabia-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 27 Juni 2019
Maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa “Maonyo Matatu” | How to Be a Loyal Servant of God
Juni 27, 2019neno-la-Mungu, Tabia-ya-Mungu, ukweli, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa “Maonyo Matatu” | How to Be a Loyal Servant of God
Mwenyezi Mungu anasema, “Kama muumini wa Mungu, hufai kuwa watiifu kwa yeyote mwingine isipokuwa Yeye katika mambo yote na mjilinganishe na moyo Wake katika mambo yote. Hata hivyo, ingawa wote huelewa mafundisho haya, ukweli huu wa kimsingi ulio wazi...
Ijumaa, 10 Mei 2019
5. Ni nini umuhimu na matokeo ya ulimwengu wa kidini kuikataa kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho?
Mei 10, 2019Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Kupata-Mwili, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

III. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kazi ya Mungu ya Hukumu katika Siku za Mwisho
5. Ni nini umuhimu na matokeo ya ulimwengu wa kidini kuikataa kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho?
Maneno Husika ya Mungu:
Katika kila kipindi cha wakati, Mungu ataanza kazi mpya, na katika kila kipindi, patakuwepo na mwanzo mpya...
Jumanne, 7 Mei 2019
3. Ni vipi kazi ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho humtakasa na kumwokoa wanadamu?
Mei 07, 2019Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, maneno-ya-Mungu, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments


III. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kazi ya Mungu ya Hukumu katika Siku za Mwisho
3. Ni vipi kazi ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho
humtakasa na kumwokoa wanadamu?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Na iwapo mtu yeyote atayasikia maneno...
Jumatatu, 6 Mei 2019
2. Kazi ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho ni hukumu ya kiti cha enzi kikubwa, cheupe, kama ilivyotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo
Mei 06, 2019Hukumu, Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

III. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kazi ya Mungu ya Hukumu katika Siku za Mwisho
2. Kazi ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho ni hukumu ya kiti cha enzi kikubwa, cheupe, kama ilivyotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Kwa maana muda umekuja ambao lazima hukumu ianze katika nyumba ya...
Ijumaa, 3 Mei 2019
3. Uhusiano Kati ya Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
Mei 03, 2019Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, kumjua-Mungu, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

II. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Hatua Tatu za Kazi ya Wokovu wa Mungu kwa Wanadamu
3. Uhusiano Kati ya Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
Maneno Husika ya Mungu:
Kutoka kwa kazi ya Yehova mpaka ile ya Yesu, na kutoka kwa kazi ya Yesu hadi kwa kazi iliyoko kwa awamu hii ya sasa, awamu hizi tatu zinajumlisha upana...
Jumatano, 1 Mei 2019
2. Kujua madhumuni na Umuhimu wa Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
Mei 01, 2019Kazi-ya-Mungu, Kupata-Mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

II. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Hatua Tatu za Kazi ya Wokovu wa Mungu kwa Wanadamu
2. Kujua madhumuni na Umuhimu wa Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
(1) Lengo na umuhimu wa kazi ya Mungu katika Enzi ya Sheria
Maneno Husika ya Mungu:
Kazi ambayo Yehova alifanya kwa Waisraeli ilianzisha mahali pa Mungu pa asili...
1. Jua madhumuni ya hatua tatu za kazi ya usimamizi wa Mungu wa wanadamu
Mei 01, 2019Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments


II. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Hatua Tatu za Kazi ya Wokovu wa Mungu kwa Wanadamu
1. Jua madhumuni ya hatua tatu za kazi ya usimamizi wa Mungu wa wanadamu
Maneno Husika ya Mungu:
Mpango Wangu mzima wa usimamizi, mpango ambao una urefu wa...
Jumanne, 30 Aprili 2019
10. Kwa nini ni kwa kupitia na kuitii kazi ya Mungu mwenye mwili pekee ndipo mtu anaweza kumjua Mungu?
Aprili 30, 2019kumjua-Mungu, Kupata-Mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
10. Kwa nini ni kwa kupitia na kuitii kazi ya Mungu mwenye mwili
pekee ndipo mtu anaweza kumjua Mungu?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Na Neno alifanywa kuwa mwili, na akakaa kati yetu, (nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule wa Mwana wa pekee aliyezaliwa...
Jumanne, 23 Aprili 2019
3. Tofauti ni ipi kati ya kazi ya Mungu mwenye mwili na kazi ya Roho?
Aprili 23, 2019Kazi-ya-Mungu, Kupata-Mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
3. Tofauti ni ipi kati ya kazi ya Mungu mwenye mwili na kazi ya
Roho?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Naye akasema, nakuomba, nionyeshe utukufu wako. Na Yehova alisema, … Huwezi kuuona uso wangu: kwani hakuna mtu atakayeniona, na kisha aishi” (Kutoka 33:18-20).
“Na...
Jumatatu, 22 Aprili 2019
2. Kupata Mwili Ni Nini? Ni Nini Kiini cha Kupata Mwili?
Aprili 22, 2019Kazi-ya-Mungu, Kupata-Mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

I. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
2. Kupata Mwili Ni Nini? Ni Nini Kiini cha Kupata Mwili?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Mwanzoni kulikuwa na Neno, na Neno alikuwa na Mungu, na Neno alikuwa Mungu” (Yohana1:1).
“Na Neno alifanywa kuwa mwili, na akakaa kati yetu, (nasi tukautazama utukufu wake, utukufu...
Alhamisi, 11 Aprili 2019
Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Kutazama Kuonekana kwa Mungu katika Hukumu na Kuadibu Kwake"
Aprili 11, 2019Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, Kuonekana-kwa-Mungu, Tabia-ya-Mungu, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Kutazama Kuonekana kwa Mungu katika Hukumu na Kuadibu Kwake"
Mwenyezi Mungu anasema, “Hakuna mtu mbali na Yeye anayeweza kujua mawazo yetu yote, au kufahamu asili yetu na kiini chetu kwa dhahiri na ukamilifu, ama kuhukumu uasi na upotovu wa binadamu, ama kusema nasi na kufanya kazi kati yetu kama hivi...
Jumatatu, 8 Aprili 2019
Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II” Sehemu ya Tatu
Aprili 08, 2019Kazi-ya-Mungu, Kumcha-Mungu, Tabia-ya-Mungu, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II” Sehemu ya Tatu
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Maonyesho Mahususi ya Kumcha Mungu kwa Ayubu na Kujiepusha na Maovu katika Maisha Yake ya Kila siku
Mungu Amruhusu Shetani Kumjaribu Ayubu ili Imani ya...
Alhamisi, 28 Machi 2019
Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Kwanza
Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Kwanza
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili...
Jumanne, 26 Machi 2019
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VI Utakatifu wa Mungu III” Sehemu ya Pili
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VI Utakatifu wa Mungu (III)” Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu anasema, “Zaidi ya mwanadamu kutafuta kwa tamaa umaarufu na faida, daima anaendelea kutekeleza uchunguzi wa sayansi na utafiti wa kina, kisha bila kikomo huridhisha mahitaji yake ya mwili na tamaa; yapi tena ni matokeo ya mwanadamu?...
Jumamosi, 23 Machi 2019
Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III” Sehemu ya Pili
Machi 23, 2019hekima-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, Tabia-ya-Mungu, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III” Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu anasema, “Hakuna kizuizi chochote katika kazi Yake na kile Anachokifanya, na haitawekewa kizuizi chochote na binadamu yeyote, kitu chochote, au kifaa chochote, na haitakatizwa na nguvu zozote za kikatil...
Alhamisi, 21 Machi 2019
Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I” Sehemu ya Tatu
Machi 21, 2019Kazi-ya-Mungu, neno-la-Mungu, Tabia-ya-Mungu, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I” Sehemu ya Tatu
Mwenyezi Mungu anasema, “Katika moyo wa Nuhu na fahamu yake, uwepo wa Mungu ulikuwepo na bila shaka, na hivyo basi utiifu wake kwa Mungu ulikuwa haujatiwa doa wala toa na ungeweza kustahimili majaribio. Moyo wake ulikuwa safi na wazi kwa Mung...
Alhamisi, 14 Machi 2019
Wimbo wa injili | Sifu Mafanikio ya Kazi ya Mungu
Machi 14, 2019maneno-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Tabia-ya-Mungu, Vitabu, watu-wa-MunguNo comments

Ⅰ
Kazi kuu ya Mungu inabadilika upesi sana, ni ngumu kuielewa, ya kusadikisha kwa mwanadamu.
Tazama pale ulipo, sio kama awali, kila kitu ni kizuri na kipya.
Kila kitu kinafufuliwa, vyote kufanyunywa upya, vyote kubadilishwa...
Alhamisi, 21 Februari 2019
Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Tano
Februari 21, 2019maneno-ya-Mungu, sauti-ya-Mungu, Tabia-ya-Mungu, Utongoaji-wa-Neno-la-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Tano
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Sehemu ya Mwanzo ya Kumcha Mungu ni Kumtendea Kama Mungu
Maudhui ya video hii:
Majaliwa ya Binadamu Yanaamuliwa na Mwelekeo Wake Kwa Mungu
Maneno ya Maonyo
Wale Watu Wasiotambuliwa...
Jumapili, 17 Februari 2019
Ushuhuda wa Mkristo: Jinsi Alivyoshinda Majaribu ya Kuwa na Mpenzi wa Siri (Sehemu ya 1)

Na Xiyue, Mkoa wa Henan
Jioni moja, Jingru alikuwa akinadhifisha kwake.
“Krr, krr.” Simu ilianza kulia. Aliijibu na sauti ngeni lakini bado inayojulikana ililia sikioni mwake: “Halo! Ni Wang Wei. Uko nyumbani!”
“Wang Wei?” Jingru kwa namna fulani alistaajabu:...
Jumamosi, 16 Februari 2019
Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II" Sehemu ya Pili
Februari 16, 2019Dondoo-za-Filamu, Kazi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tabia-ya-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II" Sehemu ya Pili
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hi...