Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo neema. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo neema. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 19 Mei 2019
1. Kuna tofauti ipi kati ya maneno yaliyoonyeshwa na Bwana Yesu katika Enzi ya Neema na maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu katika Enzi ya Ufalme?
Mei 19, 2019Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, neema, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

V. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Tofauti Kati ya Kazi ya Mungu ya Hukumu Katika Siku za Mwisho na Kazi Yake ya Ukombozi Katika Enzi ya Neema
1. Kuna tofauti ipi kati ya maneno yaliyoonyeshwa na Bwana Yesu katika Enzi ya Neema na maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu katika Enzi ya Ufalme?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Tubuni:...
Jumapili, 5 Mei 2019
1. Mungu aliwakomboa wanadamu katika Enzi ya Neema, hivyo kwa nini bado anahitaji kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho?
Mei 05, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, neema, VitabuNo comments

III. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kazi ya Mungu ya Hukumu katika Siku za Mwisho
1. Mungu aliwakomboa wanadamu katika Enzi ya Neema, hivyo kwa nini bado anahitaji kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Kwa hivyo mtakuwa watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu” (Walawi 11:45).
“Utakatifu,...
Jumatano, 20 Machi 2019
Wimbo wa dini | Mwenyezi Mungu, Sasa Niko na Wewe
Machi 20, 2019Kumpenda-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, neema, Ufalme, VitabuNo comments

Wimbo wa dini | Mwenyezi Mungu, Sasa Niko na Wewe
Ⅰ
Mwenyezi Mungu, sasa kwa sababu tuko na Wewe, masumbuko yanabadilika kuwa furaha.
Kula, kunywa, kufurahia maneno Yako, tuko na Wewe kila siku.
Maji Yako ya uzima yanatustawisha, tuna ukarimu kwa vyote.
Jua ukweli, ingia katika ukweli, yote yanakutegemea Wew...
Jumamosi, 17 Novemba 2018
Tamko La Kumi Na Saba

Tamko la Kumi na Saba
Kanisa linajengwa na Shetani anajaribu kwa uwezo wake kulibomoa. Anataka kubomoa ujenzi Wangu kwa njia yoyote iwezekanayo, kwa hivyo, lazima kanisa litakaswe kwa haraka. Lazima kusiwe na makapi au mabaki yoyote maovu; lazima litakaswe ili lisiwe na...
Alhamisi, 15 Novemba 2018
Tamko la Tano

Tamko la Tano
Milima na mito huenda ikibadilika, vijito hutiririka mbele, na maisha ya mtu ni yenye uvumilivu mdogo kuliko ardhi na anga. Mwenyezi Mungu pekee ndiye maisha ya milele yaliyofufuka milele, katika vizazi hai milele! Vitu vyote na matukio viko katika mikono...
Jumatano, 14 Novemba 2018
Tamko la Pili
Novemba 14, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, maisha, neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushahidi, VitabuNo comments


Tamko la Pili
Kanisa la Filadelfia limechukua umbo, na hili limesababishwa kabisa na neema na rehema za Mungu. Watakatifu wameleta upendo wao wa Mungu mbele na kamwe hawakuyumbayumba kutoka kwa njia yao ya kiroho. Kuwa imara katika imani kwamba Mungu mmoja wa kweli...
Jumamosi, 10 Novemba 2018
Matamshi ya Mungu | "Unajua Nini Kuhusu Imani?"
Matamshi ya Mungu | "Unajua Nini Kuhusu Imani?"
Mwenyezi Mungu anasema, "Ninasema kwamba binadamu ana imani Kwangu kwa sababu Nampa neema nyingi kupindukia, na mambo yapo mengi sana ya kupata. Wayahudi waliniamini Mimi kwa neema Yangu, na wakanifuata Mimi popote Nilipoenda. Binadamu hawa wasiojua wenye maarifa na uzoefu finyu walitafuta tu kuona...
Ijumaa, 2 Novemba 2018
Tamko la Sabini na Tatu
Novemba 02, 2018baraka, Hukumu, Kanisa, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Tamko la Sabini na Tatu
Maneno Yangu yanatimizwa mara tu yanaposemwa; hayabadiliki kamwe na ni sahihi kabisa. Kumbuka hili! Kila neno na kirai kutoka katika kinywa Changu lazima yafikiriwe kwa uangalifu. Kuwa makini zaidi, usije ukapitia upotezaji na kupokea hukumu Yangu,...
Alhamisi, 1 Novemba 2018
Tamko la Sabini na Nne
Novemba 01, 2018Kanisa, neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukweli, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Wamebarikiwa wale ambao wamelisoma neno Langu na kuamini kwamba litatimizwa—Sitakutendea vibaya, lakini Nitafanya yale unayoamini yatimizwe kwako. Hii ni baraka Yangu ikija juu yako. Neno Langu linapiga siri zilizofichwa ndani ya kila mtu. Kila mtu ana majeraha ya mauti,...
Jumatano, 31 Oktoba 2018
Tamko la Themanini na Sita
Oktoba 31, 2018baraka, huruma, Mwenyezi-Mungu, neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Watu husema kuwa Mimi ni Mungu mwenye huruma na wao husema kwamba Nitaoa wokovu kwa kila kitu Nilichokiumba—mambo haya yote yanasemwa kulingana na fikira za binadamu. Kunitaja Mimi kama Mungu mwenye huruma kunaelekezewa wazaliwa Wangu wa kwanza na kuletea Kwangu wokovu kunaelekezewa wazaliwa Wangu wa kwanza na watu Wangu. Kwa sababu Mimi ni Mungu...
Jumapili, 28 Oktoba 2018
Tamko la Tisini na Nne
Oktoba 28, 2018huruma, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Narudi Sayuni pamoja na wazaliwa Wangu wa kwanza—kweli mnaelewa maana ya kweli ya maneno haya? Nimewakumbusha tena na tena kwamba Mimi nataka mkue haraka ili mtawale na Mimi. Je, mnakumbuka? Vitu hivi vyote vinahusiana moja kwa moja na kupata mwili Kwangu. Kutoka Sayuni...
Ijumaa, 26 Oktoba 2018
Tamko la Tisini na Tisa
Oktoba 26, 2018Hukumu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Tamko la Tisini na Tisa
Kwa sababu mwendo wa kazi Yangu unaongeza kasi, hakuna anayeweza kuenda mwendo sawa na nyayo Zangu, na hakuna anayeweza kupenya akili Yangu, lakini hii ndiyo njia tu ambayo lazima isafiriwe. Hii ni “wafu” yaani wakati Ninapoongea kuhusu kufufuliwa...
Jumatatu, 15 Oktoba 2018
Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Mia Moja na Moja
Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Mia Moja na Moja
Mwenyezi Mungu alisema, Sitakuwa mwenye huruma kwa yeyote anayeingilia usimamizi Wangu ama anayejaribu kuiharibu mipango Yangu. Kila mtu anapaswa kuelewa kile Ninachomaanisha kutoka kwa maneno Ninayosema na lazima aelewe vizuri kile Ninachozungumzia. Kwa kuzingatia hali iliyopo,...
Jumamosi, 6 Oktoba 2018
Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Mia Moja na Kumi na Tisa

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Tamko la Mia Moja na Kumi na Tisa
Mwenyezi Mungu alisema, Ni lazima nyote muelewe nia Zangu, nyote mnapaswa kuelewa hali Yangu ya moyo. Sasa ni wakati wa kujiandaa kurudi Sayuni, sina mawazo ya lolote isipokuwa hili. Mimi...
Alhamisi, 30 Agosti 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu swahili worship songs | Njia Yote Pamoja na Wewe
Agosti 30, 2018Hukumu, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, neema, Nyimbo, Wimbo-wa-Uzoefu-wa-MaishaNo comments


Kanisa la Mwenyezi Mungu swahili worship songs | Njia Yote Pamoja na Wewe
@page { margin: 2cm }
h3.cjk { font-family: "Arial Unicode MS" }
h3.ctl { font-family: "Arial Unicode MS" }
p { margin-bottom: 0.25cm; line-height: 120% }
a:link { so-language:...
Jumatatu, 30 Julai 2018
Umeme wa Mashariki | Tamko la Arubaini na Saba

Umeme wa Mashariki | Tamko la Arubaini na Saba
Ili kuwafanya wanadamu wawe wakomavu katika maisha na kuwafanya wanadamu na Mimi tuweze kutimiza matokeo katika udhanifu wetu wa pamoja, Nimewaendeka wanadamu kila mara, Nikiwakubalia kupata chakula na riziki kutoka...
Jumapili, 21 Januari 2018
Swahili Gospel Song | "Njia Yote Pamoja na Wewe" Mungu ni Upendo
Swahili Gospel Song | "Njia Yote Pamoja na Wewe" Mungu ni Upendo
Nilikuwa kama mashua, ikielea baharini.
Ulinichagua, na mahali pazuri Uliniongoza.
Sasa katika familia Yako, nikipewa joto na upendo Wako,
nina amani kabisa.
Unanibariki, Unatoa maneno Yako ya hukumu.
Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako.
Kila mara nikiasi, kwa...