Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo imani-katika-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo imani-katika-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 26 Januari 2019

Nyimbo za dini | Ufuatiliaji Unaopaswa Kufuatwa na Waumini

 Nyimbo za dini | Ufuatiliaji Unaopaswa Kufuatwa na Waumini I Mungu amefanya kazi kiasi gani ndani yako? Umepitia kiasi gani, na kuonja kiasi gani? Anakujaribu, anakufunza nidhamu. Anatekeleza kazi Yake kwako. Kama mmoja anayetafuta ukamilishaji wa Mungu, je, unaweza kuonyesha matendo Yake yote, kuwaruzuku wengine kwa njia ya uzoefu na...

Ijumaa, 25 Januari 2019

Lazima Uweke Imani Katika Mungu Juu ya Vingine Vyote

I Ikiwa unataka kuamini, ikiwa unataka kumpata Mungu na kuridhika Kwake, kama huvumilii maumivu na kuweka juhudi, hutaweza kufanikisha mambo hay...

Jumanne, 8 Januari 2019

Enzi Tofauti, Kazi Tofauti ya Mungu

Katika siku za mwisho, hasa ni ukweli kwamba "Neno linakuwa mwili" ambalo limetimizwa na Mungu. I Kupitia kazi Yake halisi duniani, Mungu humfanya mwanadamu kumjua, humfanya mwanadamu kushiriki naye, na humfanya mwanadamu aone matendo Yake halis...

Alhamisi, 27 Desemba 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II

Kwenye mkutano wetu wa mwisho tuliweza kuzungumzia mada muhimu sana. Je, mnakumbuka mada hiyo ilikuwa kuhusu nini? Hebu Niirudie. Mada ya ushirika wetu wa mwisho ilikuwa: Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyew...

Jumanne, 25 Desemba 2018

Ahadi kwa Wale Ambao Wamekamilishwa

Ni njia gani ambayo Mungu hutumia kumkamilisha mwanadamu? Ni vipengele vipi vinavyojumuishwa? Je, uko tayari kukamilishwa na Mungu? Je, uko tayari kukubali hukumu na kuadibu kwa Mungu? Unajua nini kuhusu maswali haya? Kama huwezi kuzungumzia maarifa kama haya, basi hii inaonyesha kwamba bado huijui kazi ya Mungu na hujapatiwa nuru katu na Roho ...

Jumatano, 11 Julai 2018

Kutoka katika Siasa Isiyo na Kadri hadi Kutafuta kuwa Msaliaji | neno la Mwenyezi Mungu

Kutoka katika Siasa Isiyo na Kadri hadi Kutafuta kuwa Msaliaji 1. Uhamaji wa Watu kuelekea kwenye Siasa Isiyo na Kadri Mwenyezi Mungu alisema, Je, nyote mmekuwa mkitafuta nini hivi karibuni? Je, imekuwa mabadiliko ya tabia na kuwa na ushuhuda wa Mungu? Haijakuwa...

Jumamosi, 19 Mei 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Vitabu vya Shetani Vinaweza Kutulisha Sumu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Vitabu vya Shetani Vinaweza Kutulisha Sumu Peihe    Jiji la Xianning, Mkoa wa Hubei Daima niliamini kwamba mimi na mume wangu tulipitia maisha yetu "na nyuso zetu kwa mchanga na migongo yetu kwa jua" kwa sababu hatukusoma vya kutosha tulipokuwa vijana, na kwa sababu hatukuwa na elimu.&nbs...

Jumatano, 16 Mei 2018

"Imani katika Mungu" (6) - Imani ya Kweli katika Mungu Inamaanisha Nini?

"Imani katika Mungu" (6) - Imani ya Kweli katika Mungu Inamaanisha Nini? Utambulisho Watu wengi wanaamini kwamba imani katika Mungu ni imani katika Biblia, na kwamba kumfanyia Bwana kazi kwa bidii ni uhalisi wa kuamini katika Mungu. Hakuna mtu katika ulimwengu wa dini ana uwezo wa kuelewa kabisa imani ya kweli katika Mungu ina maana gani. Mwenyezi...

Jumanne, 15 Mei 2018

"Imani katika Mungu" (5) - Je, Kufanya Kazi kwa Bidii kwa ajili ya Bwana ni Uhalisi wa Imani katika Bwana?

"Imani katika Mungu" (5) - Je, Kufanya Kazi kwa Bidii kwa ajili ya Bwana ni Uhalisi wa Imani katika Bwana? Utambulisho Waumini wengi huamini kwamba mradi tunalilinda jina la Bwana, kuomba mara kwa mara, kusoma Biblia na kuwa na mikutano, na mradi sisi huyaacha vitu, hutumia rasilmali na kufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya Bwana, basi hii ni...

Alhamisi, 10 Mei 2018

"Imani katika Mungu" (2) - Je, Njia Inayoshutumiwa na CCP na Miongoni mwa Watu wa Dini Siyo Njia ya kweli? Utambulisho Watu wengi hutafuta na kuchunguza njia ya kweli pasipo kutegemeza vitendo hivi katika maneno na kazi ya Mungu. Badala yake, wao hufuata mitindo ya ulimwengu...

Alhamisi, 26 Aprili 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kupenya Ukungu ili Kuona Mwanga

Kupenya Ukungu ili Kuona Mwanga Faith China Mimi ni mfanyakazi wa kawaida. Mwishoni mwa Novemba, 2013, mfanyakazi mwenza aliona kwamba mke wangu na mimi tungefanya kelele nyingi sana juu ya vitu vidogo, kwamba kila siku tulikuwa na wasiwasi na huzuni, hivyo alipitisha kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku mwisho kwetu. Kutoka kwa neno la Mwenyezi...

Jumanne, 24 Aprili 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kuna Furaha Kubwa Katika Uaminifu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kuna Furaha Kubwa Katika Uaminifu Gan'en    Mji wa Hefei, Mkoa wa Anhui Katika maisha yangu, siku zote nimeongozwa na msemo, "Mtu hapaswi kuwa na moyo wa kuwadhuru wengine, lakini lazima awe macho ili asidhuriwe" katika uingiliano wa kijamii. Kamwe huwa siwaridhii wengine imani yangu kwa urahisi.&nbs...

Jumamosi, 2 Desemba 2017

Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu

Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu Mwenyezi Mungu alisema,  Mungu huzungumza maneno Yake na kufanya kazi Yake kulingana na enzi tofauti, na katika enzi tofauti, Anazungumza maneno tofauti. Mungu hafuati sheria, ama kurudia kazi ya awali, ama kuhisi hali...