Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi-ya-Kusimamia. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi-ya-Kusimamia. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 8 Septemba 2018
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kazi ya Kusimamia Mwanadamu ni Gani?
Septemba 08, 2018Kazi-ya-Kusimamia, Kazi-ya-Mungu, Mambo-Muhimu-ya-Muumini-Mpya, Ufalme, VitabuNo comments

Sura ya 3 Ukweli Kuhusu Awamu Tatu za Kazi ya Mungu
1. Kazi ya Kusimamia Mwanadamu ni Gani?
Maneno Husika ya Mungu:
Kazi ya kumsimamia mwanadamu imegawanywa katika hatua tatu, na ina maana kuwa kazi ya kumwokoa mwanadamu imegawanywa katika hatua tatu. Hatua hizi tatu hazihusishi kazi ya kuuumba ulimwengu, ila ni hatua tatu za kazi ya Enzi...