Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Vitendo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Vitendo. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 5 Januari 2019

Unapaswa Kuyachukuliaje Maneno na Vitendo Vyako Mwenyewe

I Unaamini maneno ya Mungu na rada? Kwamba Atawaadhibu wanaodanganya, kumsaliti? Unapenda zaidi siku hiyo ije mapema au baadaye? Unaogopa adhabu, au utampinga Mungu, hata ukijua kuna adhab...

Jumatano, 19 Desemba 2018

Ufafanuzi wa Tamko la Thelathini na Sita

Inasemekana kwamba Mungu ameanza sasa kuwaadibu watu, lakini hakuna yeyote anayeweza kusema kwa hakika, hakuna yeyote anayeweza kutoa jibu dhahiri iwapo kusudi la asili la kuadibu huku limewafika wanadamu. Kwani Mungu asema, "Mwanadamu hajawahi kugundua chochote katika kuadibu Kwangu, kwani hafanyi chochote ila kushika nira inayozunguka shingo kwa...

Jumanne, 6 Novemba 2018

Tamko la Arubaini na Tatu

Je, Sijawakumbusha? Msiwe wenye hofu; ninyi hamjanisikiliza tu, watu wasio na fikira ninyi! Je, mtaweza kuuelewa moyo Wangu lini? Kila siku kuna nuru mpya, kila siku kuna mwanga mpya. Ni mara ngapi mmeuelewa kwa ajili yenu wenyewe? Je, Sijawaambia Mwenyewe? Bado ninyi ni...

Jumapili, 10 Juni 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Utendaji (8)

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Utendaji (8) Mwenyezi Mungu alisema, Kuna mengi kupita kiasi juu ya watu ambayo yamekengeuka na yasiyo sahihi, hawawezi kamwe kujishughulikia wenyewe, na hivyo bado ni muhimu kuwaongoza katika kuingia kwenye njia sahihi;...