Jumamosi, 5 Januari 2019

Unapaswa Kuyachukuliaje Maneno na Vitendo Vyako Mwenyewe

I
Unaamini maneno ya Mungu na rada?
Kwamba Atawaadhibu wanaodanganya, kumsaliti?
Unapenda zaidi siku hiyo ije mapema au baadaye?
Unaogopa adhabu,
au utampinga Mungu, hata ukijua kuna adhabu?
Na siku hiyo itakapofika,
utakuwa kati ya kilio au shangwe?
Una matumaini au unahofia
kuwa maneno yote ya Mungu yatatimizwa?
Kama una matumaini kuwa Mungu anaondoka punde ili kutimiza maneno Yake,
unapaswa kuyachukuliaje maneno na matendo yako?
Kama hutumainii hili litokee,
kwa nini umwamini kamwe?
II
Unatamani kuwa na miisho ipi?
Unamwamini kikamilifu au unamshuku Mungu?
Umechunguza matokeo na miisho
ambayo vitendo na tabia zako zitaleta?
Una matumaini au unahofia
kuwa maneno yote ya Mungu yatatimizwa?
Kama una matumaini kuwa Mungu anaondoka punde ili kutimiza maneno Yake,
unapaswa kuyachukuliaje maneno na matendo yako?
Kama hutumainii hili litokee,
kwa nini umwamini kamwe?
III
Unajua ni kwa nini unamfuata?
Kama ni ili tu kupanua upeo wako,
basi hakuna haja ya kupitia malalamiko haya.
Lakini kama ni ili kubarikiwa na kuepuka maafa,
kwa nini hujali kuhusu tabia yako?
Kwa nini usijiulize
kama unaweza kuyaridhisha matakwa Yake?
Au unastahili kupata baraka Zake za baadaye?
Kama una matumaini kuwa Mungu anaondoka punde ili kutimiza maneno Yake,
unapaswa kuyachukuliaje maneno na matendo yako?
Kama hutumainii hili litokee,
kwa nini umwamini kamwe?
kutoka kwa "Tatizo Kubwa Sana: Usaliti (2)" katika Neno Laonekana katika Mwili

 kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya


0 意見:

Chapisha Maoni