Jumatano, 30 Januari 2019

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Majaribu Yanahitaji Imani

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo,

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Majaribu Yanahitaji Imani

I
Majaribu yanapokuja watu wanaweza kuwa dhaifu, hisia hasi zinaweza kuinuka ndani yao.
Wanaweza kukosa uwazi kwa mapenzi ya Mungu
au njia iliyo bora zaidi kwao kutenda.
Lakini lazima uwe na imani katika kazi ya Mungu, kama tu Ayubu,
ambaye alikuwa dhaifu na aliilaani siku yake ya kuzaliwa,
na bado hakukana kwamba Mungu anatoa vitu vyote na kwamba Yeye pia anavichukua.
Haijalishi jinsi alivyojaribiwa, alidumisha imani hii.
Haijalishi usafishaji unaopitia kutoka kwa maneno ya Mungu,
kile ambacho Mungu anakamilisha ni imani na maazimio yako.
Wakati huwezi kuyagusa, na wakati huwezi kuyaona,
ni wakati huo ndio imani yako inahitajika.
II
Imani ya watu inahitajika kwa wakati ambao kitu hakiwezi kuonekana.
Wakati kimefichwa kutoka kwa macho matupu,
wakati huwezi kuziachilia dhana zako mwenyewe,
wakati hujui kazi ya Mungu, kuwa na imani,
chukua msimamo imara na kuwa shahidi.
Ayubu alipofikia hatua hii, Mungu alimwonekania na kuzungumza naye.
Imani tu ndiyo inayoweza kukufanya umwone Mungu na inamruhusu Mungu akukamilishe.
Haijalishi usafishaji unaopitia kutoka kwa maneno ya Mungu,
kile ambacho Mungu anakamilisha ni imani na maazimio yako.
Wakati huwezi kuyagusa, na wakati huwezi kuyaona,
ni wakati huo ndio imani yako inahitajika.
Haijalishi usafishaji unaopitia kutoka kwa maneno ya Mungu,
kile ambacho Mungu anakamilisha ni imani na maazimio yako.
Wakati huwezi kuyagusa, na wakati huwezi kuyaona,
ni wakati huo ndio imani yako inahitajika.
Ee, ni wakati huo ndio imani yako inahitajika.
Ndiyo, ni wakati huo ndio imani yako inahitajika.
kutoka katika "Ni Lazima Wale Wanaofaa Kufanywa Wakamilifu Wapitie Usafishaji" katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Sikiliza zaidi: nyimbo za dini

0 意見:

Chapisha Maoni