Jumanne, 12 Februari 2019

Nyimbo za kuabudu | Kiini Cha Upinzani wa Mafarisayo kwa Yesu

Nyimbo za kuabudu | Kiini Cha Upinzani wa Mafarisayo kwa Yesu

I
Je, ungependa kujua kiini cha sababu ya Mafarisayo kumpinga Yesu?
Je, ungependa kujua kiini chao ni nini?
Walikuwa wamejawa na ndoto kuu kumhusu Masiha,
wakiamini tu katika kuja Kwake, kutotafuta ukweli wa maisha.
Hadi leo bado wanamngoja, bila kujua bado njia ya ukweli ama uzima.
II
Watu wapumbavu, wakaidi na washenzi kama hawa wanawezaje kupata baraka za Mungu?
Inawezekanaje wao kumwona Masiha?
Walimpinga Yesu kwa sababu hawakuijua njia ya kweli Aliyozungumzia,
hawakumwelewa Masiha ama kazi ya Roho Mtakatifu.
Kwa kuwa hawakuwa wamewahi kumwona ama kuwa na Yeye,
walionyesha heshima tupu kwa jina Lake
huku wakipinga kiini Chake kwa kila njia.
III
Wakaidi, wenye kiburi, walishikilia kwa ukaidi imani hii.
Ingawa mahubiri Yake yalikuwa mazito na mamlaka Yake ya juu,
kama tu Anaitwa Masiha ndiyo wao wangekuwa tayari kukubali.
Lakini haya ni maneno ambayo mwanadamu anafaa kudhihaki na kuyaita ndoto za kujionyesha.
IV
Mungu anakuuliza: Je, si wewe utarudia makosa ya Mafarisayo?
Kwa kuwa humwelewi Yesu Kristo,
je, unaweza kuitambua njia ya ukweli na njia ya uzima?
Je, unaweza kufuata kazi ya Roho Mtakatifu?
Je, unaweza kutoa uhakika kuwa hutampinga Kristo?
Kama huwezi, basi uko ukingoni mwa kifo.
kutoka katika "Utakapouona Mwili wa Kiroho wa Yesu ndio Utakuwa Wakati Ambao Mungu Ametengeneza Upya Mbingu na Dunia" katika Neno Laonekana katika Mwili
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Tufuate: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

0 意見:

Chapisha Maoni