Jumanne, 29 Januari 2019

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Mungu Anatarajia Imani ya Kweli ya Mwanadamu

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Mungu Anatarajia Imani ya Kweli ya Mwanadamu

I
Mungu daima humchukulia mwanadamu kwa kiwango kikali.
Ikiwa uaminifu wako unakuja na masharti,
Hataki hiyo yako unayodai kuwa imani.
Mungu huwachukia watu wanaomdanganya kwa makusudi
na kumsihi kwa mahitaji.
Mungu anamtaka mwanadamu awe mwaminifu
na si mwaminifu kwa mwingine ila Yeye,
kufanya mambo yote kwa ajili ya imani,
na kuthibitisha hilo neno moja: imani, imani.
II
Mungu anadharau maneno yote yaliyotiwa utamu
ambayo unatumia kumfanya Afurahi.
Kwa sababu Yeye daima hukutendea kwa uaminifu Wake,
Anakutaka umtendee kwa imani ya kweli.
Mungu anamtaka mwanadamu awe mwaminifu
na si mwaminifu kwa mwingine ila Yeye,
kufanya mambo yote kwa ajili ya imani,
na kuthibitisha hilo neno moja: imani, imani.
thibitisha hilo neno moja: imani,
kuthibitisha hilo neno moja: imani.
kutoka katika "Je, Wewe Ni Muumini wa Kweli wa Mungu?" katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Sikiliza zaidi: nyimbo za dini

0 意見:

Chapisha Maoni