
Inaonyesha machapisho ya hoja yaliyopangwa kwa uhusiano ukweli. Panga kwa tarehe Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho ya hoja yaliyopangwa kwa uhusiano ukweli. Panga kwa tarehe Onyesha machapisho yote
Jumapili, 3 Juni 2018
Sura ya 10. Wale Wanaopenda Ukweli Wana Njia ya Kufuata

Sura ya 10. Wale Wanaopenda Ukweli Wana Njia ya Kufuata
1. Kama hali ya Watu Ni Ya Kawaida Inategemea na Kama Wanapenda Ukweli au La
Mwenyezi Mungu alisema, Watu wengi wameibua suala lifuatalo: Baada ya ushirika wa juu, wanahisi wazi kabisa, wanakuwa na...
Jumapili, 26 Novemba 2017
Kukubali Ukweli kwa Hakika Ni Nini?
Novemba 26, 2017Kukubali Ukweli, maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


53. Kukubali Ukweli kwa Hakika Ni Nini?
Xiaohe Mji wa Puyang, Mkoa wa Henan
Hapo awali, kila wakati niliposoma maneno yaliyofichuliwa na Mungu kuhusu jinsi watu hawakubali ukweli, sikuamini kwamba maneno hayo yangetumika kwangu. Nilifurahia kula na kunywa neno la Mungu...
Ijumaa, 22 Juni 2018
59. Uzoefu wa Kutenda Ukweli
Juni 22, 2018Kanisa, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


59. Uzoefu wa Kutenda Ukweli
Hengxin Jiji la Zhuzhou, Mkoa wa Hunan
Sio muda mrefu mno uliopita, nilisikia "Ushirika na Kuhubiri Kuhusu Kuingia kwa Maisha," jambo ambalo lilinielekeza kuelewa kwamba ni wale tu wanaotenda ukweli wanaoweza kupata ukweli na...
Jumanne, 20 Februari 2018
Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa

Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa
Mwenyezi Mungu alisema, Kazi na neno la Mungu vina maana ya kuleta mabadiliko katika tabia zenu; lengo Lake si kuwafanya tu kulielewa au kulitambua na kufanya hilo kuwa mwisho wa jambo hilo. Kama mmoja wa uwezo wa kupokea, hampaswi...
Ijumaa, 23 Machi 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wale Waliofanywa Kuwa Watimilifu Ndio Tu Wanaoweza Kuishi Maisha Yenye Maana

Mwenyezi Mungu alisema, Kwa kweli, kazi inayofanywa sasa ni kuwafanya watu kumtoroka Shetani, kutoroka babu zao wa kale. Hukumu zote kwa neno zinalenga kufichua tabia potovu ya binadamu na kuwawezesha watu kuelewa kiini cha maisha. Hukumu hizi zote zilizorudiwa zinapenyeza...
Ijumaa, 11 Mei 2018
34. Kupata Ahueni kwa Njia ya Kumwamini Mungu
Mei 11, 2018Kumwamini-Mungu, mabadiliko, maneno-ya-Mungu, Ushuhuda, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments

34. Kupata Ahueni kwa Njia ya Kumwamini Mungu
Zhuanbian Mji wa Shanghai
Ingawa nilikuwa nikimfuata Mungu kwa miaka mingi, nilikuwa karibu sijafanya maendeleo yoyote na kuingia kwangu katika maisha, na hii ilinifanya nihisi kuwa na wasiwasi san...
Jumanne, 5 Juni 2018
Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli
Juni 05, 2018Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Mungu, Roho- Mtakatifu, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli
1. Uhusiano Kati ya Ubinadamu na Uwezo wa Kutenda Ukweli
Mwenyezi Mungu alisema, Watu husema kuwa kutenda ukweli ni vigumu kabisa. Basi mbona watu wengine wanaweza kutenda ukweli? Watu wengine husema ni kwa sababu...
Jumatatu, 3 Juni 2019
Uso halisi wa Mtu Anayedaiwa Kuwa Mtu Mzuri
Kemu Jiji la Zhumadian, Mkoa wa Henan
Katika mawazo yangu mwenyewe, daima nimejifikiria kuwa na ubinadamu mzuri. Nimefikiria hivi kwa sababu, majirani zangu mara nyingi walinisifu mbele ya wazazi wangu kwa kuwa mwenye busara na wa kuijali familia yetu; wakisema kuwa mimi nilikuwa kipenzi cha wazazi wangu. Baada ya kuolewa, wakwe zangu walinishukuru...
Jumanne, 1 Mei 2018
64. Huku Ni Kuweka Ukweli Katika Vitendo
Mei 01, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, kutenda-ukweli, Kuweka-Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


64. Huku Ni Kuweka Ukweli Katika Vitendo
Fan Xing Mji wa Zhumadian, Mkoa wa Henan
Katika siku za nyuma, nilikuwa nimeunganishwa na dada mmoja kufanya kazi kwa wajibu fulani. Kwa sababu nilikuwa na majisifu na mwenye kiburi na sikutafuta ukweli, nilikuwa na...
Jumanne, 27 Machi 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Unapaswa Kuzingatia Matendo Yako

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mnapaswa Kuzingatia Matendo Yenu
Kulingana na vitendo na matendo katika maisha yenu, nyote mnahitaji kurasa za maneno ya kuwajaza na kuwajenga kila siku, kwani mko na upungufu mno, na ujuzi na maarifa yenu ya kupokea ni ya hali ya chini sana....
Alhamisi, 10 Januari 2019
Umeme wa Mashariki | Njia ya Kutafuta Ukweli
Januari 10, 2019Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, neno-la-Mungu, Nyimbo, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Hali yako ina ushawishi katika jinsi unavyouelewa ukweli?
Wewe hushangaa katika mapambano ni ukweli upi ambao ni wa kweli?
Basi tafuta ukweli huu na utaona mapenzi ya Mungu katika yote ufanyay...
Jumanne, 29 Mei 2018
Sura ya 21. Ukimbizaji Ukweli Tu Ndiyo Imani ya Kweli katika Mungu

Sura ya 21. Ukimbizaji Ukweli Tu Ndiyo Imani ya Kweli katika Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Kama huna uzoefu wa kitu, basi wewe hakika hutajua jinsi ya kukisimamia na utakisimamia vibaya. Hata kama unakisimamia, na ufikiri: “Mimi nimeeleza kiasi haya yote na...
Jumapili, 20 Mei 2018
70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana!
Mei 20, 2018hekima-ya-Mungu, Kazi-ya-Mungu, ukamilifu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments

70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana!
Shiji Jiji la Ma’anshan , Mkoa wa Anhui
Wakati wa kufanya kazi kwangu kama kiongozi katika kanisa, kiongozi wangu mara nyingi angeshirikiana mifano ya kushindwa kwa wengine ili kutumikia kama somo kwetu. Kwa mfano: Viongozi wengine walizungumza tu kuhusu elimu na mafundisho lakini walikosa kutaja...
Jumanne, 14 Agosti 2018
Utakapouona Mwili wa Kiroho wa Yesu ndio Utakuwa Wakati Ambao Mungu Ametengeneza Upya Mbingu na Dunia
Agosti 14, 2018Kupata-Mwili, Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-Chaguzi, ukweli, Vitabu, YesuNo comments


Utakapouona Mwili wa Kiroho wa Yesu Ndio Utakuwa Wakati Ambao Mungu Ametengeneza Upya Mbingu na Dunia
Je, ungependa kumwona Yesu? Je, ungependa kuishi na Yesu? Je, ungependa kusikia maneno yaliyonenwa na Yesu? Iwapo ni hivyo, basi utakaribishaje, kurudi kwa Yesu? Je, uko...
Ijumaa, 7 Juni 2019
Ni kwa Kuingia Katika Ukweli Mimi Mwenyewe tu Ndio Ninaweza Kuwasaidia Wengine
Juni 07, 2019Kanisa, neno-la-Mungu, ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Du Fan Mkoa wa Jiangsu
Hivi karibuni, kanisa moja lilikuwa linakipiga kura ili kumchagua kiongozi mpya, lakini kiongozi aliyeongoza alienda kinyume na kanuni za kanisa, akitumia njia yake mwenyewe kutekeleza upigaji kura. Wakati ndugu fulani wa kiume na wa kike walipotoa...
Ijumaa, 1 Juni 2018
Sura ya 9. Kutafuta Mapenzi ya Mungu na Kuuweka Ukweli Katika Vitendo Kwa Kiasi Kikubwa Zaidi Iwezekanavyo
Juni 01, 2018Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Mungu, ukweli, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Sura ya 9. Kutafuta Mapenzi ya Mungu na Kuuweka Ukweli Katika Vitendo Kwa Kiasi Kikubwa Zaidi Iwezekanavyo
Mwenyezi Mungu alisema, Punde tu watu wanapokuwa na haraka wakati wakiutumiza wajibu wao, hawajui jinsi ya kuuzoea; punde tu wanaposhughulika...
Ijumaa, 11 Januari 2019
Matamshi ya Kristo | Kuwa Mtu Anayekubali Ukweli
Januari 11, 2019Hukumu, Kanisa, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

I
Eh~ Chagua njia yako mwenyewe, usikatae ukweli
au kumkufuru Roho Mtakatifu.
Usiwe mjinga, usiwe na kiburi.
Tii mwongozo wa Roho Mtakatif...
Jumapili, 15 Julai 2018
Tafakuri kuhusu Kubadilishwa
Julai 15, 2018Kanisa, Mwenyezi-Mungu, ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Tafakuri kuhusu Kubadilishwa
Yi Ran Mji wa Laiwu , Mkoa wa Shandong
Wakati fulani awali, kwa sababu yangu kutoelewa kanuni iliyotumiwa na kanisa ya masahihisho ya wafanyakazi wa kanisa, wakati kanisa lilibadilisha kiongozi, dhana iliibuka ndani yangu. Kutoka...
Jumamosi, 10 Februari 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo?

73. Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo?
Suxing Mkoa wa Shanxi
Mimi ni mtu mwenye kiburi na majivuno, na cheo kimekuwa udhaifu wangu. Kwa miaka mingi, nimefungwa na sifa na cheo na sijaweza kujiweka huru kutoka kwazo. Mara kwa mara nimepandishwa cheo na kubadilishwa...
Jumatano, 27 Juni 2018
Sura ya 92. Njia ya Utendaji katika Kusuluhisha Ukaidi
Juni 27, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, ukweli, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Sura ya 92. Njia ya Utendaji katika Kusuluhisha Ukaidi
Mwenyezi Mungu alisema, Mtu huwa na tatizo lipi anapopenda kupeana visingizio? Ni nini kiini chake? Yeye ni mkaidi. Watu wakaidi hawakubali ukweli kwa urahisi; sio watiifu, na wanaposikia neno moja ambalo...