Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu! Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho ya hoja yaliyopangwa kwa uhusiano ukweli. Panga kwa tarehe Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho ya hoja yaliyopangwa kwa uhusiano ukweli. Panga kwa tarehe Onyesha machapisho yote

Jumapili, 3 Juni 2018

Sura ya 10. Wale Wanaopenda Ukweli Wana Njia ya Kufuata

Sura ya 10. Wale Wanaopenda Ukweli Wana Njia ya Kufuata 1. Kama hali ya Watu Ni Ya Kawaida Inategemea na Kama Wanapenda Ukweli au La Mwenyezi Mungu alisema, Watu wengi wameibua suala lifuatalo: Baada ya ushirika wa juu, wanahisi wazi kabisa, wanakuwa na...

Jumapili, 26 Novemba 2017

Kukubali Ukweli kwa Hakika Ni Nini?

53. Kukubali Ukweli kwa Hakika Ni Nini? Xiaohe Mji wa Puyang, Mkoa wa Henan Hapo awali, kila wakati niliposoma maneno yaliyofichuliwa na Mungu kuhusu jinsi watu hawakubali ukweli, sikuamini kwamba maneno hayo yangetumika kwangu. Nilifurahia kula na kunywa neno la Mungu...

Ijumaa, 22 Juni 2018

59. Uzoefu wa Kutenda Ukweli

59. Uzoefu wa Kutenda Ukweli Hengxin     Jiji la Zhuzhou, Mkoa wa Hunan Sio muda mrefu mno uliopita, nilisikia "Ushirika na Kuhubiri Kuhusu Kuingia kwa Maisha," jambo ambalo lilinielekeza kuelewa kwamba ni wale tu wanaotenda ukweli wanaoweza kupata ukweli na...

Jumanne, 20 Februari 2018

Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa

Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa Mwenyezi Mungu alisema, Kazi na neno la Mungu vina maana ya kuleta mabadiliko katika tabia zenu; lengo Lake si kuwafanya tu kulielewa au kulitambua na kufanya hilo kuwa mwisho wa jambo hilo. Kama mmoja wa uwezo wa kupokea, hampaswi...

Ijumaa, 23 Machi 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wale Waliofanywa Kuwa Watimilifu Ndio Tu Wanaoweza Kuishi Maisha Yenye Maana

Mwenyezi Mungu alisema, Kwa kweli, kazi inayofanywa sasa ni kuwafanya watu kumtoroka Shetani, kutoroka babu zao wa kale. Hukumu zote kwa neno zinalenga kufichua tabia potovu ya binadamu na kuwawezesha watu kuelewa kiini cha maisha. Hukumu hizi zote zilizorudiwa zinapenyeza...

Ijumaa, 11 Mei 2018

34. Kupata Ahueni kwa Njia ya Kumwamini Mungu

34. Kupata Ahueni kwa Njia ya Kumwamini Mungu Zhuanbian     Mji wa Shanghai Ingawa nilikuwa nikimfuata Mungu kwa miaka mingi, nilikuwa karibu sijafanya maendeleo yoyote na kuingia kwangu katika maisha, na hii ilinifanya nihisi kuwa na wasiwasi san...

Jumanne, 5 Juni 2018

Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli

Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli 1. Uhusiano Kati ya Ubinadamu na Uwezo wa Kutenda Ukweli Mwenyezi Mungu alisema, Watu husema kuwa kutenda ukweli ni vigumu kabisa. Basi mbona watu wengine wanaweza kutenda ukweli? Watu wengine husema ni kwa sababu...

Jumatatu, 3 Juni 2019

Uso halisi wa Mtu Anayedaiwa Kuwa Mtu Mzuri

Kemu Jiji la Zhumadian, Mkoa wa Henan Katika mawazo yangu mwenyewe, daima nimejifikiria kuwa na ubinadamu mzuri. Nimefikiria hivi kwa sababu, majirani zangu mara nyingi walinisifu mbele ya wazazi wangu kwa kuwa mwenye busara na wa kuijali familia yetu; wakisema kuwa mimi nilikuwa kipenzi cha wazazi wangu. Baada ya kuolewa, wakwe zangu walinishukuru...

Jumanne, 1 Mei 2018

64. Huku Ni Kuweka Ukweli Katika Vitendo

64. Huku Ni Kuweka Ukweli Katika Vitendo Fan Xing    Mji wa Zhumadian, Mkoa wa Henan Katika siku za nyuma, nilikuwa nimeunganishwa na dada mmoja kufanya kazi kwa wajibu fulani. Kwa sababu nilikuwa na majisifu na mwenye kiburi na sikutafuta ukweli, nilikuwa na...

Jumanne, 27 Machi 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Unapaswa Kuzingatia Matendo Yako

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mnapaswa Kuzingatia Matendo Yenu Kulingana na vitendo na matendo katika maisha yenu, nyote mnahitaji kurasa za maneno ya kuwajaza na kuwajenga kila siku, kwani mko na upungufu mno, na ujuzi na maarifa yenu ya kupokea ni ya hali ya chini sana....

Alhamisi, 10 Januari 2019

Umeme wa Mashariki | Njia ya Kutafuta Ukweli

I Hali yako ina ushawishi katika jinsi unavyouelewa ukweli? Wewe hushangaa katika mapambano ni ukweli upi ambao ni wa kweli? Basi tafuta ukweli huu na utaona mapenzi ya Mungu katika yote ufanyay...

Jumanne, 29 Mei 2018

Sura ya 21. Ukimbizaji Ukweli Tu Ndiyo Imani ya Kweli katika Mungu

Sura ya 21. Ukimbizaji Ukweli Tu Ndiyo Imani ya Kweli katika Mungu Mwenyezi Mungu alisema, Kama huna uzoefu wa kitu, basi wewe hakika hutajua jinsi ya kukisimamia na utakisimamia vibaya. Hata kama unakisimamia, na ufikiri: “Mimi nimeeleza kiasi haya yote na...

Jumapili, 20 Mei 2018

70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana!

70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana! Shiji    Jiji la Ma’anshan , Mkoa wa Anhui Wakati wa kufanya kazi kwangu kama kiongozi katika kanisa, kiongozi wangu mara nyingi angeshirikiana mifano ya kushindwa kwa wengine ili kutumikia kama somo kwetu. Kwa mfano: Viongozi wengine walizungumza tu kuhusu elimu na mafundisho lakini walikosa kutaja...

Jumanne, 14 Agosti 2018

Utakapouona Mwili wa Kiroho wa Yesu ndio Utakuwa Wakati Ambao Mungu Ametengeneza Upya Mbingu na Dunia

Utakapouona Mwili wa Kiroho wa Yesu Ndio Utakuwa Wakati Ambao Mungu Ametengeneza Upya Mbingu na Dunia Je, ungependa kumwona Yesu? Je, ungependa kuishi na Yesu? Je, ungependa kusikia maneno yaliyonenwa na Yesu? Iwapo ni hivyo, basi utakaribishaje, kurudi kwa Yesu? Je, uko...

Ijumaa, 7 Juni 2019

Ni kwa Kuingia Katika Ukweli Mimi Mwenyewe tu Ndio Ninaweza Kuwasaidia Wengine

Du Fan Mkoa wa Jiangsu Hivi karibuni, kanisa moja lilikuwa linakipiga kura ili kumchagua kiongozi mpya, lakini kiongozi aliyeongoza alienda kinyume na kanuni za kanisa, akitumia njia yake mwenyewe kutekeleza upigaji kura. Wakati ndugu fulani wa kiume na wa kike walipotoa...

Ijumaa, 1 Juni 2018

Sura ya 9. Kutafuta Mapenzi ya Mungu na Kuuweka Ukweli Katika Vitendo Kwa Kiasi Kikubwa Zaidi Iwezekanavyo

Sura ya 9. Kutafuta Mapenzi ya Mungu na Kuuweka Ukweli Katika Vitendo Kwa Kiasi Kikubwa Zaidi Iwezekanavyo      Mwenyezi Mungu alisema, Punde tu watu wanapokuwa na haraka wakati wakiutumiza wajibu wao, hawajui jinsi ya kuuzoea; punde tu wanaposhughulika...

Ijumaa, 11 Januari 2019

Matamshi ya Kristo | Kuwa Mtu Anayekubali Ukweli

I Eh~ Chagua njia yako mwenyewe, usikatae ukweli au kumkufuru Roho Mtakatifu. Usiwe mjinga, usiwe na kiburi. Tii mwongozo wa Roho Mtakatif...

Jumapili, 15 Julai 2018

Tafakuri kuhusu Kubadilishwa

Tafakuri kuhusu Kubadilishwa Yi Ran    Mji wa Laiwu , Mkoa wa Shandong Wakati fulani awali, kwa sababu yangu kutoelewa kanuni iliyotumiwa na kanisa ya masahihisho ya wafanyakazi wa kanisa, wakati kanisa lilibadilisha kiongozi, dhana iliibuka ndani yangu. Kutoka...

Jumamosi, 10 Februari 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo?

73. Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo? Suxing Mkoa wa Shanxi Mimi ni mtu mwenye kiburi na majivuno, na cheo kimekuwa udhaifu wangu. Kwa miaka mingi, nimefungwa na sifa na cheo na sijaweza kujiweka huru kutoka kwazo. Mara kwa mara nimepandishwa cheo na kubadilishwa...

Jumatano, 27 Juni 2018

Sura ya 92. Njia ya Utendaji katika Kusuluhisha Ukaidi

Sura ya 92. Njia ya Utendaji katika Kusuluhisha Ukaidi Mwenyezi Mungu alisema, Mtu huwa na tatizo lipi anapopenda kupeana visingizio? Ni nini kiini chake? Yeye ni mkaidi. Watu wakaidi hawakubali ukweli kwa urahisi; sio watiifu, na wanaposikia neno moja ambalo...