Alhamisi, 14 Februari 2019

Katika enzi ya Ufalme Mungu Anakamilisha Mwanadamu Kwa Maneno

I
Katika enzi hii, Mungu atagundua hili kati yenu: kwamba wote wanatenda ukweli Wake,
kwamba wote wanaishi kwa kudhihirisha neno Lake na wanampenda Yeye na mioyo yao.
Neno la Mungu ni msingi wa maisha yao.
Wote wana mioyo inayomwogopa Mungu.
Kupitia kutenda maneno ya Mungu, watatawala na kuongoza na Mungu.
Neno la Mungu pekee ndilo linalompa mwanadamu uzima.
Neno la Mungu pekee ndilo linaloweza kumletea mwanadamu mwangaza, likionyesha njia ya utendaji.
Hili ni kweli zaidi katika Enzi ya Ufalme.
II
Maneno ya Mungu, yanamtawala mwanadamu. Neno la Mungu ni chakula na nguvu.
Hisi vizuri unapolila. Kosa kula na utakosa njia ya kwenda.
Katika Biblia, inasema: Mwanadamu hataishi kwa mkate pekee,
lakini kwa maneno kutoka kwa kinywa cha Mungu.
Sasa Mungu atafanikisha hili ndani yako.
Neno la Mungu pekee ndilo linalompa mwanadamu uzima.
Neno la Mungu pekee ndilo linaloweza kumletea mwanadamu mwangaza, likionyesha njia ya utendaji.
Hili ni kweli zaidi katika Enzi ya Ufalme.
III
Katika enzi hii, Mungu anatumia kimsingi neno kuwatawala wote.
Watu wanahukumiwa na kukamilishwa, wanaweza kuingia katika ufalme Wake,
yote kwa sababu ya neno Lake.
Neno la Mungu pekee ndilo linalompa mwanadamu uzima.
Neno la Mungu pekee ndilo linaloweza kumletea mwanadamu mwangaza, likionyesha njia ya utendaji.
Hili ni kweli zaidi katika Enzi ya Ufalme.
Kunywa neno la Mungu kila siku. Kila siku kula neno la Mungu.
Usiache ukweli ndani yake. Na utafanywa mkamilifu.
kutoka katika "Enzi ya Ufalme Ndiyo Enzi ya Neno" katika Neno Laonekana katika Mwili
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

0 意見:

Chapisha Maoni