Jumatatu, 18 Februari 2019

Kumkana Kristo wa Siku za Mwisho Humkufuru Roho Mtakatifu

Kumkana Kristo wa Siku za Mwisho Humkufuru Roho Mtakatifu

I
Kristo ameonekana katika siku za mwisho,
ili wale wote wanaomwamini kwa kweli
waweze kupewa uzima, waweze kupewa uzima.
Kazi iliyofanywa na Kristo kwa ajili ya
kuhitimisha enzi na kuleta enzi mpya.
Ni njia ambayo lazima ishikwe
na wote ambao wataingia katika enzi mpya.
Kama umeshindwa kumkubali,
badala ya kumshutumu, kumkufuru au kumtesa,
huna budi kuchomeka milele
na hutaingia kamwe katika ufalme wa Mungu.
Kristo Mwenyewe ndiye maonyesho
ya Roho Mtakatifu na Mungu,
Yule ambaye Mungu amemwaminia
kufanya kazi Yake duniani.
Kwa hiyo Mungu anasema kama huwezi kukubali kinachofanywa
na Kristo wa siku za mwisho,
basi unamkufuru Roho Mtakatifu.
Na rada iliyopitiwa ni dhahiri kwa wote.
II
Mungu anakuambia kwamba ukipinga
na ukimkana Kristo wa siku za mwisho,
hakuna anayeweza kuyavumilia matokeo,
hakuna anayeweza kuyavumilia kwa niaba yako.
Hutakuwa na nafasi zaidi
ili kupata idhini ya Mungu tangu siku hii kuendelea.
Unaweza kujaribu kujiokoa,
lakini huwezi kuuona uso wa Mungu tena.
Kwa kuwa unayempinga si mwanadamu,
unachokipinga si kiumbe mdogo,
ni Kristo unayemkataa.
Unayajua matokeo haya?
Kristo Mwenyewe ndiye maonyesho
ya Roho Mtakatifu na Mungu,
Yule ambaye Mungu amemwaminia
kufanya kazi Yake duniani.
Kwa hiyo Mungu anasema kama huwezi kukubali kinachofanywa
na Kristo wa siku za mwisho,
basi unamkufuru Roho Mtakatifu.
Na rada iliyopitiwa ni dhahiri kwa wote.
III
Umefanya kosa ovu sana, si kosa dogo tu.
Hivyo usifanye ishara za kuogofya mbele ya ukweli
au kufanya ukosoaji ovyo ovyo.
Kwani ni ukweli tu unaoweza kukuletea maisha
na kuruhusu uzaliwe upya na kuuona uso wa Mungu.
Kristo Mwenyewe ndiye maonyesho
ya Roho Mtakatifu na Mungu,
Yule ambaye Mungu amemwaminia
kufanya kazi Yake duniani.
Kwa hiyo Mungu anasema kama huwezi kukubali kinachofanywa
na Kristo wa siku za mwisho,
basi unamkufuru Roho Mtakatifu.
Na rada iliyopitiwa ni dhahiri kwa wote.
kutoka katika "Ni Kristo wa Siku za Mwisho Pekee Ndiye Anayeweza Kumpa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele" katika Neno Laonekana katika Mwili
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

0 意見:

Chapisha Maoni